Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vita ya kipindupindu yaanzia kwa wafanyabiashara

Wilaya ya Makete imeanza kutoa elimu ya usafi wa mazingira kwa wafanyabiashara wa migahawa na hoteli kama njia mojawapo ya kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa kipindupindu ambao umeyakumba maeneo mengi nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara Buhongwa wahofia kuugua kipindupindu

Wafanyabiashara wa Soko la Buhongwa Manispaa ya Nyamagana jijini Mwanza, wamesema kuwa wana hofu ya kukumbwa na kipindupindu kutokana na mrundikano wa taka kwenye dampo lililopo eneo hilo.

 

9 years ago

Michuzi

MAKALA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU: Tujilaumu Watanzania kwa kuugua Kipindupindu

Na  Raymond Mushumbusi- MAELEZO
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...

 

9 years ago

StarTV

Vita Dhidi Ya Kipindupindu  Watumishi, wakazi wa Bukoba wafanya usafi

 

Kauli ya Rais John Magufuli ya kufanya usafi na kutokomeza ugonjwa wa kipindupindu imeanza kuungwa mkono na watumishi wa Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera ambao wameungana na wakazi wa manispaa hiyo kufanya usafi na kusimamia zoezi hilo.

Kitendo cha watumishi hao kinakwenda sambamba na kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu ambao hadi sasa umekwishapoteza maisha ya watu wawili katika manispaa hiyo.

Moja ya maeneo ya biashara ambayo yameamuriwa kufungwa ,kutokana na eneo hilo kukithiri kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara waendeleza vita ya EFD

Mgomo wa wafanyabiashara wenye maduka umeendelea sehemu mbalimbali nchini huku wakimtaka Rais Jakaya Kikwete kufanyia kazi malalamiko ya kiwango kikubwa cha bei za Mashine za Kielektroniki za Kutoza Kodi (EFD).

 

9 years ago

Habarileo

Yanga yaanzia kileleni

MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga jana walianza vyema kampeni ya kutetea ubingwa wao wa Ligi Kuu baada ya kupata ushindi wa mabao 2-0 mbele ya Coastal Union ya Tanga katika mchezo mkali uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

GPL

KIPINDUPINDU CHANYEMELEA NYUMBANI KWA WEMA

Brighton Masalu Taarifa za ugonjwa wa kipindupindu zimebadili mfumo wa maisha ya watu wengi ikiwa ni pamoja na kuhakikisha maeneo wanayoishi ni masafi lakini nyumbani kwa msanii wa filamu Bongo, Wema Sepetu, Kijitonyama jijini Dar hali ni tofauti..  ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1LFlwUH

 

9 years ago

Vijimambo

KWA STAILI HII KIPINDUPINDU HAKITATUACHA

 Maji ya shida, umeme kwa mgao, internet kwa vifurushi, daresalama mambo yake si salama, haya ndio yanayowakuta wakaazi wa daresalama. shida inapotokea wengine wananufaika, wengine wanahasirika, waburuta vitoroli kwao inakuwa neema, tenda za kuchota maji zinawaongezea kipato, lakini usalama wa maji hayo hauna uhakika wapi wameyapata, ugumu wa jibu  wasuali hilo, inawafanya wengine wakaze buti wakayatafute maji popote yalipo kwa gharama yoyote. PICHA NA VIJIMAMBO/KWANZA PRODUCTIONPamoja na...

 

9 years ago

Mtanzania

Watu 19 wafariki dunia kwa kipindupindu

magesa-mulongoNa Benjamin Masese, Mwanza

SERIKALI imesema watu 631 mkoani Mwanza wameugua ugonjwa wa kipindupindu kati ya Januari  hadi Desemba 15, mwaka huu ambapo kati yao 19 wamefariki dunia.

Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo wakati akizungumza na madiwani pamoja watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu wiki iliyopita.

Wakati Mulongo akitoa takwimu hizo,  Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Dk. Lwakyendera Onesmo  aliliambia MTANZNAIA jana kwamba wagonjwa wapya wameendelea...

 

9 years ago

Michuzi

NANE WAFARIKI KWA KIPINDUPINDU KINONDONI

Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Mhandisi Mussa Natty wapili (kushoto) akiwakabidhi ufagio Mwenyekiti wa bodi wa Benki ya Covenant Balozi, Salome Sijaona, wa pili (kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Sabetha Mwambenja wakati Uzinduzi wa kampeni ya kupambana na kipindupindu katika Manispaa hiyo ambapo benki hiyo imetoa basi kuwatembeza wananchi waliojitolea kutoa elimu kuhusu ugonjwa wa Kipindupindu na kufanya usafi, kulia ni Mratibu wa Federation Taifa, Khadija Kingi.Mkurugenzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani