Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nusu ya waingereza kuugua saratani

Mmoja kati ya watu wawili nchini Uingereza wataugua ugonjwa wa saratani katika maisha yao wachanganuzi wamesema.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

JK alificha siri ya kuugua saratani!

jk18

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na waandishi wa habari na viongozi mbalimbali waliokuja kumlaki baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Marekani kwenye matibabu  jana.

*Mama Salma alijua miezi nane baadaye

 *Aeleza alivyokuwa akihamanika na siri  

RAIS Jakaya Kikwete, amerejea nchini akiwa mzima wa afya na kuelezea Watanzania namna alivyoficha siri ya kuugua saratani kwa zaidi ya mwaka mmoja, huku akihamanika moyoni...

 

11 years ago

GPL

ATELEKEZWA NA MUMEWE KWA KUUGUA SARATANI YA KIZAZI

Stori: Haruni Sanchawa INASIKITISHA! Mama mmoja  mkazi Karagwe mkoani Kagera, Josephine Domisian (34) ametelekezwa na mumewe aitwaye Dominic baada  ya kupatwa na ugonjwa wa  saratani ya kizazi miaka mitatu iliyopita. Josephine Domisian akiwa katika Hospitali ya Ocean Road, jijini Dar akisumbuliwa na ugonjwa wa Saratani ya kizazi. Akizungumza kwa uchungu akiwa katika hospitali ya magonjwa ya Saratani ya Ocean Road,...

 

10 years ago

Bongo5

‘Nusu Nusu’ ya Joh Makini yaingia kwenye Official African Chart ya MTV Base

Joh Makini anazidi kupaa juu zaidi. Video ya wimbo wake ‘Nusu Nusu’ aliyomshirikisha G-Nako, imeingia kwenye ‘Official African Chart’ ya MTV Base. Video hiyo iliyofanyika nchini Afrika Kusini imekamata nafasi ya 8 wiki hii. Huo ni wimbo wa kwanza wa Joh Makini kuwahi kuingia kwenye chart hizo. Video hiyo pia inafanya vizuri kwenye kituo cha […]

 

10 years ago

Mwananchi

Majimbo ya Siha, Same Magharibi na Same Mashariki ni nusu kwa nusu

Jimbo la Siha Siha ni moja ya wilaya zilizoko katika mkoa wa Kilimanjaro na ilianzishwa mwaka 2005 baada ya kuigawa Wilaya ya Hai. Jimbo la Siha lina jumla ya kata 12 na vijiji 39 na lina zaidi ya watu 150,000.

 

10 years ago

Bongo5

Video mpya ya Joh Makini ‘Nusu Nusu’ kutambulishwa ‘Exclusive’ na MTV Base Ijumaa (April 24)

Rapper wa Weusi Joh Makini anaingia kwenye orodha ya wasanii wa Tanzania wanaoliwania soko la kimataifa. Video mpya ya rapper huyo wa Weusi iitwayo ‘Nusu Nusu’ itaoneshwa kwa mara ya kwanza (Exclusive) Ijumaa April, 24 na kituo cha kimataifa MTV Base saa kumi na mbili jioni saa za Afrika Mashariki, kupitia kipindi chao cha kutambulisha […]

 

10 years ago

GPL

VITUKO UGHAIBUNI: JAMAA AZIGAWA MALI ZAKE NUSU KWA NUSU BAADA YA KUMWAGANA NA MKEWE

Baiskeli iliyokatwa na jamaa huyo. Gari hili nalo lilikatwa katikati kwa ajili ya kumaliza mgogoro kati ya jamaa huyo na mkewe. Video ya jamaa huyo akikata mali zake katikati. NJEMBA mmmoja nchini Ujerumani amezua sintofahamu baada ya kuamua kugawa nusu kwa nusu kila mali…

 

10 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani