Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VITUKO UGHAIBUNI: JAMAA AZIGAWA MALI ZAKE NUSU KWA NUSU BAADA YA KUMWAGANA NA MKEWE

Baiskeli iliyokatwa na jamaa huyo. Gari hili nalo lilikatwa katikati kwa ajili ya kumaliza mgogoro kati ya jamaa huyo na mkewe. Video ya jamaa huyo akikata mali zake katikati. NJEMBA mmmoja nchini Ujerumani amezua sintofahamu baada ya kuamua kugawa nusu kwa nusu kila mali…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Majimbo ya Siha, Same Magharibi na Same Mashariki ni nusu kwa nusu

Jimbo la Siha Siha ni moja ya wilaya zilizoko katika mkoa wa Kilimanjaro na ilianzishwa mwaka 2005 baada ya kuigawa Wilaya ya Hai. Jimbo la Siha lina jumla ya kata 12 na vijiji 39 na lina zaidi ya watu 150,000.

 

11 years ago

Habarileo

Wanawake wapania uwakilishi nusu kwa nusu

WANAWAKE ambao ni wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wamesema watapambana kuhakikisha Katiba inayotungwa, inatoa uwakilishi wa nusu kwa nusu kwenye nafasi mbalimbali za uongozi.

 

11 years ago

Michuzi

34 MBARONI KWA KUFANYA FUJO NA KUHARIBU MALI KIBAIGWA NA WENGINE WATATU KWA KULIMA BANGI HEKARI SITA NA NUSU MKOANI DODOMA

Na Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma. 
 Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu 34 wakazi wa Mji mdogo wa Kibaigwa Kata ya Kibaigwa Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma kwa makosa ya kufanya fujo na kuharibu mali tukio lililotokea tarehe 05/05/2014 majira ya saa 13:30Hrs.   Kamanada wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP  (pichani)amesema Vijana wanaokadiriwa kuwa zaidi ya 300 wakishirikiana na Wabeba mizigo wa Soko Kuu la Mazao...

 

11 years ago

Michuzi

34 MBARONI KWA KUFANYA FUJO NA KUHARIBU MALI KIBAIGWA NA WENGINE WATATU (3) KWA KULIMA BANGI HEKARI SITA NA NUSU MKOANI DODOMA

Na Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu 34 wakazi wa Mji mdogo wa Kibaigwa Kata ya Kibaigwa Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma kwa makosa ya kufanya fujo na kuharibu mali tukio lililotokea tarehe 05/05/2014 majira ya saa 13:30Hrs.
Kamanada wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema Vijana wanaokadiriwa kuwa zaidi ya miatatu wakishirikiana na Wabeba mizigo wa Soko Kuu la Mazao la...

 

10 years ago

Bongo5

‘Nusu Nusu’ ya Joh Makini yaingia kwenye Official African Chart ya MTV Base

Joh Makini anazidi kupaa juu zaidi. Video ya wimbo wake ‘Nusu Nusu’ aliyomshirikisha G-Nako, imeingia kwenye ‘Official African Chart’ ya MTV Base. Video hiyo iliyofanyika nchini Afrika Kusini imekamata nafasi ya 8 wiki hii. Huo ni wimbo wa kwanza wa Joh Makini kuwahi kuingia kwenye chart hizo. Video hiyo pia inafanya vizuri kwenye kituo cha […]

 

11 years ago

Habarileo

Treni Dar kwa kadi, kila baada ya nusu saa

SERIKALI imetia saini mkataba wa uwekezaji wa pamoja kati yake na kampuni ya Marekani kwa ajili ya kuanza mradi wa usafiri wa treni ya kisasa itakayoanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Julius Nyerere (JNIA) hadi katikati ya Jiji la Dar es Salaam.

 

10 years ago

Bongo5

Video mpya ya Joh Makini ‘Nusu Nusu’ kutambulishwa ‘Exclusive’ na MTV Base Ijumaa (April 24)

Rapper wa Weusi Joh Makini anaingia kwenye orodha ya wasanii wa Tanzania wanaoliwania soko la kimataifa. Video mpya ya rapper huyo wa Weusi iitwayo ‘Nusu Nusu’ itaoneshwa kwa mara ya kwanza (Exclusive) Ijumaa April, 24 na kituo cha kimataifa MTV Base saa kumi na mbili jioni saa za Afrika Mashariki, kupitia kipindi chao cha kutambulisha […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani