Wamachinga Igoma, Buhongwa kuondolewa
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Evarist Ndikilo ameagiza viongozi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana na Mkuu wa Kituo cha Polisi mkoani hapa, kuhakikisha wafanyabiashara ndogondogo maarufu Wamachinga wanaondolewa haraka kupisha ukarabati wa barabara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzCpHapoaBBKHYi7jT8WABl4jMl2tn7wJv7w2cMqoqRg-C8jM9*3tahu2sMfBu1oO7CdxByLjokZNQMQhfCsawuF/IMG20150504WA0004.jpg)
MADEREVA WA HAISI IGOMA BUHONGWA WAMBANA KIONGOZI WAO KUHUSU MGOMO
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Wamachinga kwenye foleni kuondolewa
MKURUGENZI wa Jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe amewataka wafanyabiashara wadogo (wamachinga) wanaouza bidhaa kwenye magari wakati wa foleni watafute maeneo rasmi, vinginevyo watakumbwa na operesheni safisha jiji inayoendelea....
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FOP2-IdqS84/U4ntaZbo64I/AAAAAAAAtRg/F6hfCCu-_gg/s72-c/13.jpg)
WAMACHINGA WANAOFANYA KAZI ZAO KWENYE VITUO VYA DALADALA NA MABASI DODOMA KUONDOLEWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-FOP2-IdqS84/U4ntaZbo64I/AAAAAAAAtRg/F6hfCCu-_gg/s1600/13.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JshWNd58-SE/U4ntbcs_vFI/AAAAAAAAtRk/D79d1eBvgEg/s1600/14.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BRMEbBd198o/U4ntbYc2qUI/AAAAAAAAtRs/-xQ-kaCHXOc/s1600/15.jpg)
9 years ago
Mwananchi02 Oct
Wafanyabiashara Buhongwa wahofia kuugua kipindupindu
10 years ago
Habarileo19 Dec
NHIF kuhudumia wamachinga
MFUKO wa Bima ya Afya wa Taifa (NHIF) umeanzisha mpango utakaowawezesha wamachinga na wajasiriamali walio katika vikundi, kupata huduma ya matibabu kwa njia ya bima.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pR5HeeeEQZ571D6vdE3AeMZSOr2ErD*fcX2ydJj6TrAGWB-aY2*PdaOpI3lecklZzjPcU*7RbSgvEpb8vjX*rn/wamachinga.jpg)
WAMACHINGA WAMUUA ASKARI
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Tatizo ni wamachinga au wateja?
HIVI karibuni serikali kupitia Mamlaka ya Usafirishaji wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) ilikihamisha kituo cha mabasi ya daladala kutoka eneo la Mwenge kwenda Makumbusho. Kitendo hiki kimeathiri makundi ya...
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Tatizo si wamachinga, ni serikali
HIVI karibuni Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) ilitangaza kuanzisha Operesheni Safisha Jiji ya kuwaondoa wamachinga wote walio katika maeneo yasiyo rasmi jijini Dar es...
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Polisi waondoa wamachinga Kariakoo
JESHI la Polisi limesema operesheni ya kuwaondoa wafanyabiashara ndogondogo ‘wamachinga’ kwenye maeneo yasiyo rasmi katika eneo la Kariakoo, Dar es Salaam imefanikiwa. Operesheni hiyo ilihusisha zaidi ya askari 200 wa...