Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wamachinga Igoma, Buhongwa kuondolewa

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Evarist Ndikilo ameagiza viongozi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana na Mkuu wa Kituo cha Polisi mkoani hapa, kuhakikisha wafanyabiashara ndogondogo maarufu Wamachinga wanaondolewa haraka kupisha ukarabati wa barabara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MADEREVA WA HAISI IGOMA BUHONGWA WAMBANA KIONGOZI WAO KUHUSU MGOMO

Maderava wakimbana  mwenyikiti wao aliefahamika kwa jina la Dede. Maderava wakiendelea na maongezi na mwenyikiti wao aliefahamika kwa jina la Dede. Baadhi ya Madereva wa Hai wa Gari za Igoma Buhongwa wakimbana mwenyekiti wa madereva Mr. Dede, katika kituo cha Haisi Igoma, kuhusu mgomo unaoendelea leo Dar es salaam na mikoa mingine, Madereva hao wanadai kwanini wao hawajagoma wakati mgomo unahusu nchi nzima, Mwenyekiti huyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wamachinga kwenye foleni kuondolewa

MKURUGENZI wa Jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe amewataka wafanyabiashara wadogo (wamachinga) wanaouza bidhaa kwenye magari wakati wa foleni watafute maeneo rasmi, vinginevyo watakumbwa na operesheni safisha jiji inayoendelea....

 

11 years ago

Michuzi

WAMACHINGA WANAOFANYA KAZI ZAO KWENYE VITUO VYA DALADALA NA MABASI DODOMA KUONDOLEWA

 Kamanda wa kikosi cha usalama Barabarani Mkoa wa Dodoma SSP Peter Sima akifafanua jambo  alipokuwa akizungumza na madiwani wa manispaa ya Dodoma  mwishoni mwa wiki hii.  Meya wa Manispaa ya Dodoma Emanuel Mwiliko akifafanua jambo kwenye baraza la madiwani lililokutana mwisho wa wiki kujadili juu ya makusanyo mbalimbali ili kukamili makadilio ya mwaka huu wa fedha, kushoto ni Naibu Meya Jumanne Ngede.
  Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma Robert Kitimbo akielezea jambo katikakikao...

 

9 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara Buhongwa wahofia kuugua kipindupindu

Wafanyabiashara wa Soko la Buhongwa Manispaa ya Nyamagana jijini Mwanza, wamesema kuwa wana hofu ya kukumbwa na kipindupindu kutokana na mrundikano wa taka kwenye dampo lililopo eneo hilo.

 

10 years ago

Habarileo

NHIF kuhudumia wamachinga

MFUKO wa Bima ya Afya wa Taifa (NHIF) umeanzisha mpango utakaowawezesha wamachinga na wajasiriamali walio katika vikundi, kupata huduma ya matibabu kwa njia ya bima.

 

11 years ago

GPL

WAMACHINGA WAMUUA ASKARI

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida vijana wanaodaiwa ni Wamachinga wamemuua askari mmoja wa Jiji la Dar es Salaam kwa kumpiga na stuli kichwani wakati akitimiza majukumu yake. Marehemu Stephano Benjamin Komba (36) ambaye aliyekuwa na cheo cha sajenti. Akizungumza na waandishi wetu mwishoni mwa wiki iliyopita Hospitali ya Taifa Muhimbili wakati wa kuuaga mwili huo, Mkuu wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tatizo ni wamachinga au wateja?

HIVI karibuni serikali kupitia Mamlaka ya Usafirishaji wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) ilikihamisha kituo cha mabasi ya daladala kutoka eneo la Mwenge kwenda Makumbusho. Kitendo hiki kimeathiri makundi ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tatizo si wamachinga, ni serikali

HIVI karibuni Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) ilitangaza kuanzisha Operesheni Safisha Jiji ya kuwaondoa wamachinga wote walio katika maeneo yasiyo rasmi jijini Dar es...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi waondoa wamachinga Kariakoo

JESHI la Polisi limesema operesheni ya kuwaondoa wafanyabiashara ndogondogo ‘wamachinga’ kwenye maeneo yasiyo rasmi katika eneo la Kariakoo, Dar es Salaam imefanikiwa. Operesheni hiyo ilihusisha zaidi ya askari 200 wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani