Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NHIF kuhudumia wamachinga

MFUKO wa Bima ya Afya wa Taifa (NHIF) umeanzisha mpango utakaowawezesha wamachinga na wajasiriamali walio katika vikundi, kupata huduma ya matibabu kwa njia ya bima.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi kuhudumia wakimbizi Ujerumani

Wizara ya ulinzi nchini ujerumani inasema kuwa wanajeshi 4000 watahudumia wakimbizi 4000 wanaotarajiwa kuwasili nchini humo.

 

9 years ago

Habarileo

Songwe kuhudumia ndege za kimataifa

KIWANJA cha ndege cha Songwe mkoani Mbeya kitaanza kuhudumia ndege za kimataifa kuanzia mwakani, baada ya kukamilika kwa miundombinu yote, ikiwemo taa kwa ajili ya ndege kutua nyakati za usiku.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikakali yahimizwa kuhudumia wazee

SERIKALI imetakiwa kuwahudumia wazee nchini kama imevyowahudumia baadhi ya viongozi wakubwa waliostaafu. Ushauri huo ulitolewa mjini japa jana na Meya wa Manispaa ya Moshi Japhary Michael (CHADEMA) alipokuwa akikabidhi msaada...

 

11 years ago

Habarileo

UNEP yaikabidhi Tanzania mitambo ya kuhudumia majokofu

Mkurugenzi wa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, Julius NinguTANZANIA imepokea msaada wa mitambo na vifaa vyenye teknolojia ya kisasa ya kuhudumia majokofu, viyoyozi na mitambo ya kupozea.

 

10 years ago

Mwananchi

Wauguzi wa zahanati watumia chemli kuhudumia wagonjwa

Wauguzi wa Zahanati ya Kurugee katika Kijiji cha Bulaga wilayani hapa wanalazimika kutumia chemli wodini wakati wa kuwahudumia wagonjwa kutokana na kukosekana kwa umeme.

 

9 years ago

Habarileo

Kila kituo kuhudumia wapigakura wasiozidi 500

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeandaa vituo vya kupigia kura 64,736. Kati ya hivyo, Tanzania Bara ina vituo 63,156 na Zanzibar 1,580 na kila kituo kimepangwa kuwa na uwezo wa kuhudumia wapiga kura 450 na wasiozidi 500.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tatizo ni wamachinga au wateja?

HIVI karibuni serikali kupitia Mamlaka ya Usafirishaji wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) ilikihamisha kituo cha mabasi ya daladala kutoka eneo la Mwenge kwenda Makumbusho. Kitendo hiki kimeathiri makundi ya...

 

11 years ago

GPL

WAMACHINGA WAMUUA ASKARI

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida vijana wanaodaiwa ni Wamachinga wamemuua askari mmoja wa Jiji la Dar es Salaam kwa kumpiga na stuli kichwani wakati akitimiza majukumu yake. Marehemu Stephano Benjamin Komba (36) ambaye aliyekuwa na cheo cha sajenti. Akizungumza na waandishi wetu mwishoni mwa wiki iliyopita Hospitali ya Taifa Muhimbili wakati wa kuuaga mwili huo, Mkuu wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tatizo si wamachinga, ni serikali

HIVI karibuni Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) ilitangaza kuanzisha Operesheni Safisha Jiji ya kuwaondoa wamachinga wote walio katika maeneo yasiyo rasmi jijini Dar es...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani