Ndugai akanusha uvumi wa yeye kuugua
![](http://4.bp.blogspot.com/-87JeSvSjaHA/VPgko-kLyJI/AAAAAAAAB3k/Pkomn1p6gTk/s72-c/Job-Ndugai.jpg)
NA MOHAMMED ISSABAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu na kutoonekana kwenye shughuli mbalimbali, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai ameibuka na kusema yupo hai na ni mzima wa afya. JOB NdugaiNdugai ambaye tokea kuanza kwa mkutano wa 18 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano la Tanzania alikuwa hajaongoza kikao chochote. Muda mwingi katika kikao hicho, kilikuwa kikitumia wenyeviti wakati Spika, Anne Makinda, anapokuwa hayupo bungeni. Akizungumza na Uhuru kwa njia ya simu jana, Ndugai (Kongwa-CCM),...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi29 Jul
KAMANDA WA POLISI DODOMA AKANUSHA UVUMI WA KUFARIKI DUNIA JOSEPH ELIAZA CHILONGANI ANAYEDAIWA KUPIGWA NA MH. JOB NDUGAI
Mnamo tarehe 28.7.2015 majira ya jioni JOSEPH ELIAZA CHILONGANI alifika katika kituo cha Polisi Kibaigwa akilalalmika kuwa wakati wakiwa kwenye kampeni za kujinadi kwa wanachama kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea ubunge kupitia CCM alishambuliwa kwa fimbo sehemu za kichwani na tumboni na JOB YUSTOO NDUGAI (MB).
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamiz wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema mtu huyo aliyejeruhiwa alipewa PF3 na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--wvmopa_I2Y/VQZ0w-tVo-I/AAAAAAABIVc/B2RCKR0VcUc/s72-c/unnamed.jpg)
KAMANDA WA POLISI DODOMA AKANUSHA UVUMI WA KUFARIKI DUNIA JOSEPH ELIAZA CHILONGANI ANAYEDAIWA KUPIGWA NA JOBU YUSTOO NDUGAI (MB).
![](http://3.bp.blogspot.com/--wvmopa_I2Y/VQZ0w-tVo-I/AAAAAAABIVc/B2RCKR0VcUc/s1600/unnamed.jpg)
Na. Lakia Ndwellah wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Mnamo tarehe 28.7.2015 majira ya jioni JOSEPH ELIAZA CHILONGANI alifika katika kituo cha Polisi Kibaigwa akilalalmika kuwa wakati wakiwa kwenye kampeni za kujinadi kwa wanachama kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea ubunge kupitia CCM alishambuliwa kwa fimbo sehemu za kichwani na tumboni na JOBU YUSTOO NDUGAI (MB).
Kamanda wa...
10 years ago
Bongo Movies23 Feb
Gardner Akanusha Uvumi wa Kuachana Mkewe Jack
Gardner Dibibi ambae ni mume wa mwigizaji wa filamu Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuz’ amekanusha taarifa zilizoenea mtandao na kwenye magazeti ya udaku kuwa ameachana mke wake Jack.
Gardner ameimbia Bongomovies.com kuwa taarifa za yeye kuacha na mkwe wake sio za kweli japo kuwa ni kweli walikuwa natofauti za kawaida na wameshazimaliza na pia amekanusha kuwa hakumpa talaka kama ilivyoripotiwa .
”“Taarifa hizo sio za kweli, sisi tuko pamoja, tulikua na matatizo ya kawaida tu lakini...
10 years ago
Vijimambo12 Nov
EDEN HAZARD AKANUSHA UVUMI WA KUHAMIA REAL MADRID
![](https://lh5.googleusercontent.com/-YkltQ-5M9uI/VGDGWXs3i7I/AAAAAAACdQM/uanoLGS76nc/w1000-h667/Eden%2BHazard%2B1.jpg)
9 years ago
Bongo509 Oct
Drake akanusha uvumi kuwa amemchumbia Serena Williams
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/OKoHDsxB4rg/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8J_ZePcW9w/VP8Rj2ho9DI/AAAAAAAHJXQ/YguQF4Kxgf8/s72-c/unnamed%2B(69).jpg)
MAMA MARIA NYERERE AKANUSHA UVUMI ULIOENEA JANA KUWA AMEFARIKI DUNIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8J_ZePcW9w/VP8Rj2ho9DI/AAAAAAAHJXQ/YguQF4Kxgf8/s1600/unnamed%2B(69).jpg)
Mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere leo amezungumza na waandishi wa habari,nyumbani kwake Msasani jijini dar es salaam juu ya uvumi ulioenea nchini kuwa amefariki Dunia.
Mama Maria amewathibitishia watanzania kuwa bado yu hai na mwenye nguvu hivyo wasiwe na hofu nae. Alisema jana amepokea simu nyingi sana kutoka kwa watu mbalimbali wakiwemo watoto zake, wake wa watoto zake wote, familia yake pamoja na watu mbalimbali ili kumjulia hali.
Amesema alipopokea taarifa hizo wala hakushtushwa...
9 years ago
Bongo509 Sep
David Beckham akanusha uvumi kuwa ana mpango wa kuigiza kama James Bond
10 years ago
CloudsFM12 Mar
Aunt Ezekiel akanusha tetesi za yeye kujifungua
Baada ya kuzagaa taarifa za staa wa filamu za kibongo Tanzania Aunty Ezekiel kujifungua hatimaye ameamua kufunguka na kusema kwamba yeye bado hajajifungua na ile video ambayo watu wameiona ni kipande cha movie yake ambayo itatoka hivi karibuni
![](http://api.ning.com/files/YIi6je0KpJNUNv95g5oTtO*9aq3Ov5x3qYbpQ3qvLXu0ynEEp0REnpFJh6brMVX*0fxdzTEVWSYXzBcLvH2cdLeIasBiDn-Q/2.png)