Gardner Akanusha Uvumi wa Kuachana Mkewe Jack
Gardner Dibibi ambae ni mume wa mwigizaji wa filamu Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuz’ amekanusha taarifa zilizoenea mtandao na kwenye magazeti ya udaku kuwa ameachana mke wake Jack.
Gardner ameimbia Bongomovies.com kuwa taarifa za yeye kuacha na mkwe wake sio za kweli japo kuwa ni kweli walikuwa natofauti za kawaida na wameshazimaliza na pia amekanusha kuwa hakumpa talaka kama ilivyoripotiwa .
”“Taarifa hizo sio za kweli, sisi tuko pamoja, tulikua na matatizo ya kawaida tu lakini...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TL-la4qMC-2q15UX4ZZtz7wlVX7OGKiSouYI4WVugf7K2xsJae9x-qIR-URwf-LzoqvIgnULM4oYa*jUgSYvQbHcHsB6OpWt/gardner.jpg)
UNDANI WA JAY DEE NA GARDNER KUACHANA
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-87JeSvSjaHA/VPgko-kLyJI/AAAAAAAAB3k/Pkomn1p6gTk/s72-c/Job-Ndugai.jpg)
Ndugai akanusha uvumi wa yeye kuugua
NA MOHAMMED ISSABAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu na kutoonekana kwenye shughuli mbalimbali, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai ameibuka na kusema yupo hai na ni mzima wa afya.
![](http://4.bp.blogspot.com/-87JeSvSjaHA/VPgko-kLyJI/AAAAAAAAB3k/Pkomn1p6gTk/s1600/Job-Ndugai.jpg)
9 years ago
Bongo509 Oct
Drake akanusha uvumi kuwa amemchumbia Serena Williams
10 years ago
Vijimambo12 Nov
EDEN HAZARD AKANUSHA UVUMI WA KUHAMIA REAL MADRID
![](https://lh5.googleusercontent.com/-YkltQ-5M9uI/VGDGWXs3i7I/AAAAAAACdQM/uanoLGS76nc/w1000-h667/Eden%2BHazard%2B1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8J_ZePcW9w/VP8Rj2ho9DI/AAAAAAAHJXQ/YguQF4Kxgf8/s72-c/unnamed%2B(69).jpg)
MAMA MARIA NYERERE AKANUSHA UVUMI ULIOENEA JANA KUWA AMEFARIKI DUNIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8J_ZePcW9w/VP8Rj2ho9DI/AAAAAAAHJXQ/YguQF4Kxgf8/s1600/unnamed%2B(69).jpg)
Mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere leo amezungumza na waandishi wa habari,nyumbani kwake Msasani jijini dar es salaam juu ya uvumi ulioenea nchini kuwa amefariki Dunia.
Mama Maria amewathibitishia watanzania kuwa bado yu hai na mwenye nguvu hivyo wasiwe na hofu nae. Alisema jana amepokea simu nyingi sana kutoka kwa watu mbalimbali wakiwemo watoto zake, wake wa watoto zake wote, familia yake pamoja na watu mbalimbali ili kumjulia hali.
Amesema alipopokea taarifa hizo wala hakushtushwa...
9 years ago
Bongo509 Sep
David Beckham akanusha uvumi kuwa ana mpango wa kuigiza kama James Bond
9 years ago
Bongo526 Nov
Kylie Jenner akanusha taarifa za kuachana na Tyga
![kylie-tyga-ellen](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/kylie-tyga-ellen-300x194.jpg)
Mrembo wa familia ya Kardashians, Kylie Jenner amezungumzia kuhusu taarifa zilizosambaa wiki iliyopita kuwa amempiga chini rapper Tyga ambaye ni boyfriend wake.
Akizungumza katika kipindi cha The Ellen Show, Kylie amekanusha kuhusu uvumi huo na kusema kuwa watu walielewa vibaya lakini yeye na Tyga hawajaachana.
“Honestly, people have it all wrong, We’re not broken up. We became best friends before anything happened, so I think that that’s awesome and we’re just like, hanging out.”
Baada ya...
9 years ago
BBCSwahili22 Sep
Jack Warner akanusha mashtaka yake
10 years ago
Michuzi29 Jul
KAMANDA WA POLISI DODOMA AKANUSHA UVUMI WA KUFARIKI DUNIA JOSEPH ELIAZA CHILONGANI ANAYEDAIWA KUPIGWA NA MH. JOB NDUGAI
Mnamo tarehe 28.7.2015 majira ya jioni JOSEPH ELIAZA CHILONGANI alifika katika kituo cha Polisi Kibaigwa akilalalmika kuwa wakati wakiwa kwenye kampeni za kujinadi kwa wanachama kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea ubunge kupitia CCM alishambuliwa kwa fimbo sehemu za kichwani na tumboni na JOB YUSTOO NDUGAI (MB).
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamiz wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema mtu huyo aliyejeruhiwa alipewa PF3 na...