MAMA MARIA NYERERE AKANUSHA UVUMI ULIOENEA JANA KUWA AMEFARIKI DUNIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8J_ZePcW9w/VP8Rj2ho9DI/AAAAAAAHJXQ/YguQF4Kxgf8/s72-c/unnamed%2B(69).jpg)
Mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere leo amezungumza na waandishi wa habari,nyumbani kwake Msasani jijini dar es salaam juu ya uvumi ulioenea nchini kuwa amefariki Dunia.
Mama Maria amewathibitishia watanzania kuwa bado yu hai na mwenye nguvu hivyo wasiwe na hofu nae. Alisema jana amepokea simu nyingi sana kutoka kwa watu mbalimbali wakiwemo watoto zake, wake wa watoto zake wote, familia yake pamoja na watu mbalimbali ili kumjulia hali.
Amesema alipopokea taarifa hizo wala hakushtushwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMAMA MARIA NYERERE AWAOMBA WAKE WA VIONGOZI KUENDELEA KUIOMBEA NCHI IENDELEE KUWA NA AMANI NA MAENDELEO
9 years ago
Bongo509 Oct
Drake akanusha uvumi kuwa amemchumbia Serena Williams
9 years ago
Bongo509 Sep
David Beckham akanusha uvumi kuwa ana mpango wa kuigiza kama James Bond
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Lzlv5UssJDk/VG9Blc9951I/AAAAAAAA9X4/PKnu4QSjdjw/s72-c/Sande%2BMrema.png)
KIJANA SANDE ALIYEKUWA NA KILO 250, AMEFARIKI DUNIA NA KUZIKWA JANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Lzlv5UssJDk/VG9Blc9951I/AAAAAAAA9X4/PKnu4QSjdjw/s1600/Sande%2BMrema.png)
10 years ago
Michuzi29 Jul
KAMANDA WA POLISI DODOMA AKANUSHA UVUMI WA KUFARIKI DUNIA JOSEPH ELIAZA CHILONGANI ANAYEDAIWA KUPIGWA NA MH. JOB NDUGAI
Mnamo tarehe 28.7.2015 majira ya jioni JOSEPH ELIAZA CHILONGANI alifika katika kituo cha Polisi Kibaigwa akilalalmika kuwa wakati wakiwa kwenye kampeni za kujinadi kwa wanachama kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea ubunge kupitia CCM alishambuliwa kwa fimbo sehemu za kichwani na tumboni na JOB YUSTOO NDUGAI (MB).
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamiz wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema mtu huyo aliyejeruhiwa alipewa PF3 na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--wvmopa_I2Y/VQZ0w-tVo-I/AAAAAAABIVc/B2RCKR0VcUc/s72-c/unnamed.jpg)
KAMANDA WA POLISI DODOMA AKANUSHA UVUMI WA KUFARIKI DUNIA JOSEPH ELIAZA CHILONGANI ANAYEDAIWA KUPIGWA NA JOBU YUSTOO NDUGAI (MB).
![](http://3.bp.blogspot.com/--wvmopa_I2Y/VQZ0w-tVo-I/AAAAAAABIVc/B2RCKR0VcUc/s1600/unnamed.jpg)
Na. Lakia Ndwellah wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Mnamo tarehe 28.7.2015 majira ya jioni JOSEPH ELIAZA CHILONGANI alifika katika kituo cha Polisi Kibaigwa akilalalmika kuwa wakati wakiwa kwenye kampeni za kujinadi kwa wanachama kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea ubunge kupitia CCM alishambuliwa kwa fimbo sehemu za kichwani na tumboni na JOBU YUSTOO NDUGAI (MB).
Kamanda wa...
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Mama Maria Nyerere kuandika kitabu
11 years ago
BBCSwahili09 Dec
Mama Maria Nyerere amsimulia Mandela
10 years ago
TheCitizen26 Nov
Mama Maria Nyerere’s take on escrow scandal