KAMANDA WA POLISI DODOMA AKANUSHA UVUMI WA KUFARIKI DUNIA JOSEPH ELIAZA CHILONGANI ANAYEDAIWA KUPIGWA NA MH. JOB NDUGAI
Na. Lakia Ndwellah wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Mnamo tarehe 28.7.2015 majira ya jioni JOSEPH ELIAZA CHILONGANI alifika katika kituo cha Polisi Kibaigwa akilalalmika kuwa wakati wakiwa kwenye kampeni za kujinadi kwa wanachama kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea ubunge kupitia CCM alishambuliwa kwa fimbo sehemu za kichwani na tumboni na JOB YUSTOO NDUGAI (MB).
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamiz wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema mtu huyo aliyejeruhiwa alipewa PF3 na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--wvmopa_I2Y/VQZ0w-tVo-I/AAAAAAABIVc/B2RCKR0VcUc/s72-c/unnamed.jpg)
KAMANDA WA POLISI DODOMA AKANUSHA UVUMI WA KUFARIKI DUNIA JOSEPH ELIAZA CHILONGANI ANAYEDAIWA KUPIGWA NA JOBU YUSTOO NDUGAI (MB).
![](http://3.bp.blogspot.com/--wvmopa_I2Y/VQZ0w-tVo-I/AAAAAAABIVc/B2RCKR0VcUc/s1600/unnamed.jpg)
Na. Lakia Ndwellah wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Mnamo tarehe 28.7.2015 majira ya jioni JOSEPH ELIAZA CHILONGANI alifika katika kituo cha Polisi Kibaigwa akilalalmika kuwa wakati wakiwa kwenye kampeni za kujinadi kwa wanachama kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea ubunge kupitia CCM alishambuliwa kwa fimbo sehemu za kichwani na tumboni na JOBU YUSTOO NDUGAI (MB).
Kamanda wa...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-87JeSvSjaHA/VPgko-kLyJI/AAAAAAAAB3k/Pkomn1p6gTk/s72-c/Job-Ndugai.jpg)
Ndugai akanusha uvumi wa yeye kuugua
NA MOHAMMED ISSABAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu na kutoonekana kwenye shughuli mbalimbali, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai ameibuka na kusema yupo hai na ni mzima wa afya.
![](http://4.bp.blogspot.com/-87JeSvSjaHA/VPgko-kLyJI/AAAAAAAAB3k/Pkomn1p6gTk/s1600/Job-Ndugai.jpg)
10 years ago
Habarileo29 Oct
Anayedaiwa kupigwa na mumewe baa afariki dunia
MWANAMKE Sakina Kopa (41) amefariki dunia siku tatu baada ya kupigwa na kujeruhiwa na mumewe anayedaiwa kuchukizwa kwa kumkuta akiwa baa usiku. Aidha, katika tukio jingine linalohusishwa na wivu, dereva wa bodaboda amemjeruhi kwa visu mpenzi wake ambaye ni Mwalimu, na baada ya kudhani amemuua, naye alijichoma kisu hadi utumbo kutoka nje, ingawa bado yu hai.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8J_ZePcW9w/VP8Rj2ho9DI/AAAAAAAHJXQ/YguQF4Kxgf8/s72-c/unnamed%2B(69).jpg)
MAMA MARIA NYERERE AKANUSHA UVUMI ULIOENEA JANA KUWA AMEFARIKI DUNIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8J_ZePcW9w/VP8Rj2ho9DI/AAAAAAAHJXQ/YguQF4Kxgf8/s1600/unnamed%2B(69).jpg)
Mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere leo amezungumza na waandishi wa habari,nyumbani kwake Msasani jijini dar es salaam juu ya uvumi ulioenea nchini kuwa amefariki Dunia.
Mama Maria amewathibitishia watanzania kuwa bado yu hai na mwenye nguvu hivyo wasiwe na hofu nae. Alisema jana amepokea simu nyingi sana kutoka kwa watu mbalimbali wakiwemo watoto zake, wake wa watoto zake wote, familia yake pamoja na watu mbalimbali ili kumjulia hali.
Amesema alipopokea taarifa hizo wala hakushtushwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KAMANDA WA POLISI MORO AKANUSHA WATU WATATU KUUAWA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zCzcUUJVYuw/Xp7K81X-dmI/AAAAAAALntI/q8YYgeMRkyUnrQy070h1gL-DZyP4aZw5wCLcBGAsYHQ/s72-c/Pic-3-aAA-768x578.jpg)
SPIKA JOB NDUGAI AKABIDHIWA MASHINE MAALUM YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zCzcUUJVYuw/Xp7K81X-dmI/AAAAAAALntI/q8YYgeMRkyUnrQy070h1gL-DZyP4aZw5wCLcBGAsYHQ/s640/Pic-3-aAA-768x578.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/Pic-3-bAA-1024x774.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/Pic-4AA-1024x761.jpg)
5 years ago
MichuziSPIKA JOB NDUGAI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI, AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI JIJINI DODOMA
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na waandishi wa habari katika kikao kilichofanyika leo nyumbani kwake uzunguni Jijini Dodoma. Mmoja ya agenda ya kikao hicho ilikuwa ni kupokea Mapendekezo ya Mabadiliko ya Ratiba ya Mkutano wa 19 wa Bunge.
Wajumbe kamati ya uongozi wakimsikiliza Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai wakati wa kikao cha kamati hiyo kilichokaa ili kupokea Mapendekezo ya Mabadiliko ya Ratiba ya Mkutano wa 19 wa Bunge leo nyumbani kwake uzunguni Jijini Dodoma.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4bBNFqwlGXY/XoX-_PjGkqI/AAAAAAAC828/KtkAS70k2UQvQdEFSHBzVP5o8Ots3dFTQCLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
SPIKA JOB NDUGAI AONGOZA MAWAZIRI, KAMISHNA TRA WALIPOTEMBELEA SHULE YA WASICHANA BUNGE JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4bBNFqwlGXY/XoX-_PjGkqI/AAAAAAAC828/KtkAS70k2UQvQdEFSHBzVP5o8Ots3dFTQCLcBGAsYHQ/s640/01.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-aO5vz8FcUJs/XoX-_PQhr4I/AAAAAAAC83E/4Kt2jao1l7gfKNBRObdJU6Y-3_RlsCvqACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vZH8C4fYdbk/XoX-_MenScI/AAAAAAAC83A/RsqprOr-lrwsBQmZwBql05Jd_X2YHE0XQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Oct
Kikongwe apigwa risasi na polisi na kufariki dunia
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu, Singida
KIKONGWE mmoja mkazi wa kitongoji cha Ilolo kata ya Iglansoni tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi, Joyce Maragabu (65),amefariki dunia baada ya kupigwa kwa risasi na askari polisi waliokuwa wakijihami dhidi ya kundi kubwa la wananchi waliokuwa wakitaka kuwavamia,ili wasiweze kumkamata mhalifu.
Askari hao walikuwa wakitaka kumkamata Nkida Gwisu, aliyekuwa akituhumiwa kumshambulia mtu...