EDEN HAZARD AKANUSHA UVUMI WA KUHAMIA REAL MADRID
Nyota wa Chelsea FC Eden Hazard (jezi na 10) amekanusha habari kwamba anampango wa kuhamia timu ya Real Madrid ya Hispania. Mchezaji huyo tumaini la Chelsea FC ya Uingereza amesema hana mpango wowote wa kuihama Chelsea kwani timu ya Chelsea ndio pekee ninayoiota usiku.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Managing Madrid21 Mar
Eden Hazard Recovery Update
9 years ago
Mtanzania19 Oct
Jose Mourinhoamkomalia Eden Hazard
LONDON, ENGLAND
KOCHA wa timu ya Chelsea, Jose Mourinho, amemwambia winga wake,Eden Hazard, ataendelea kuanzia benchi mpaka pale atakapofanya majukumu ya ukabaji kama vile Willian na Pedro.
Mchezaji huyo bora wa kulipwa England (PFA) msimu uliopita, juzi alianzia benchi wakati timu hiyo ilipoichapa Aston Villa mabao 2-0, ukiwa ni ushindi wao wa tatu msimu huu.
Mourinho baada ya mchezo huo amesema Hazard anatakiwa kufanya kazi ya ziada kushinda mtihani wa kurudisha nafasi yake.
“Nimemuweka...
10 years ago
Vijimambo08 Jan
10 years ago
GPLEDEN HAZARD ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA ENGLAND
10 years ago
Uhuru NewspaperNdugai akanusha uvumi wa yeye kuugua
NA MOHAMMED ISSABAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu na kutoonekana kwenye shughuli mbalimbali, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai ameibuka na kusema yupo hai na ni mzima wa afya. JOB NdugaiNdugai ambaye tokea kuanza kwa mkutano wa 18 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano la Tanzania alikuwa hajaongoza kikao chochote. Muda mwingi katika kikao hicho, kilikuwa kikitumia wenyeviti wakati Spika, Anne Makinda, anapokuwa hayupo bungeni. Akizungumza na Uhuru kwa njia ya simu jana, Ndugai (Kongwa-CCM),...
10 years ago
Bongo Movies23 Feb
Gardner Akanusha Uvumi wa Kuachana Mkewe Jack
Gardner Dibibi ambae ni mume wa mwigizaji wa filamu Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuz’ amekanusha taarifa zilizoenea mtandao na kwenye magazeti ya udaku kuwa ameachana mke wake Jack.
Gardner ameimbia Bongomovies.com kuwa taarifa za yeye kuacha na mkwe wake sio za kweli japo kuwa ni kweli walikuwa natofauti za kawaida na wameshazimaliza na pia amekanusha kuwa hakumpa talaka kama ilivyoripotiwa .
”“Taarifa hizo sio za kweli, sisi tuko pamoja, tulikua na matatizo ya kawaida tu lakini...
10 years ago
Michuzi9 years ago
Bongo509 Oct
Drake akanusha uvumi kuwa amemchumbia Serena Williams
5 years ago
Bongo514 Feb
Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League
Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.
Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.
Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.
Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.
Jamie Vardy alikomboa bao moja...