Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EDEN HAZARD ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA ENGLAND

Eden Hazard akiwa na tuzo yake ya mchezaji bora wa mwaka nchini England. KIUNGO wa Chelsea, Eden Hazard ndiye mchezaji bora wa mwaka nchini England. Hazard mwenye umri wa miaka 24, raia wa Ubelgiji, amefunga jumla ya mabao 18 katika mechi alizoichezea timu yake msimu huu kwenye michuano mbalimbali na kuisaidia Chelsea kutwaa Kombe la Capital One huku ikishika usukani katika msimamo wa Ligi Kuu ya England inayoelekea...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Hazard mchezaji bora wa mwaka England

Baada ya kusubiri kwa misimu miwili hatimae Eden Hazard ameibuka mchezaji bora wa mwaka wa England na kutwaa tuzo ya PFA.

 

10 years ago

GPL

YAYA TOURE ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA AFRIKA MARA 4 MFULULIZO

Yaya Toure. KIUNGO wa Manchester City, Yaya Toure amekuwa mchezaji wa kwanza kushinda tuzo ya CAF ya Mchezaji Bora wa Afrika kwa mara ya nne mfululizo. Toure, 31, alitajwa kuwania tuzo hiyo baada ya kutoa mchango mkubwa kwa Manchester City kushinda Ligi Kuu ya England na kunyakua Kombe la Ligi. Pia aliisaidia Ivory Coast kufuzu kucheza Kombe la Mataifa ya Afrika 2015.
Toure alipambana na mshambuliaji kutoka Gabon...

 

11 years ago

GPL

DIAMOND ATWAA TUZO YA COLLABO BORA YA MWAKA AUSTRALIA

Tuzo waliyopata Dezert Eagle na Diamond Platnumz. Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz'. STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametwaa tuzo nyingine ya Afro-Australia Music and Movie Awards (AAMMA) 2014 kutoka Australia ya Collabo Bora ya Mwaka kupitia nyimbo aliyoshirikishwa na Desert Eagle iitwayo Everyday. Kupitia akaunti…

 

9 years ago

Bongo5

Rooney ashinda tuzo ya mchezaji Bora wa Mwaka 2015 Uingereza

150614192933_wayne_rooney__640x360_reuters

Mchezaji wa Manchester Wayne Rooney ametwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka kwa 2015 nchini Uingereza akitetea tena tuzo ambayo pia aliizoa mwaka 2014.

150614192933_wayne_rooney__640x360_reuters

Hii ni mara ya 4 Rooney kushinda tuzo hii ambayo hupigiwa kura na wanachama wa Chama cha Mashabiki wa Soka England.

Mwezi Desemba Shirikisho la Soka la England liliyaweka hadharani majina ya wagombea wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka nchini humo.

Mwaka wa 2015 Rooney alii isaidia England kufuzu kuingia fainali za Mataifa ya Ulaya, Euro 2016,...

 

10 years ago

GPL

BRAHIMI ASHINDA TUZO YA BBC YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA 2014 AFRIKA

Yacine Brahimi akiwa na tuzo yake ya BBC. MSHINDI wa tuzo ya BBC ya mchezaji bora wa mwaka 2014 Afrika imekwenda kwa mchezaji wa Algeria na nyota wa Porto, Yacine Brahimi. Hapajawahi kutokea katika miaka 23 ya historia ya shindano hilo kwa mchezaji bora kutoka Algeria kuishinda tuzo hiyo, lakini Brahimi amefanikiwa kutwaa tuzo hiyo baada ya mwaka uliokuwa na mbwembwe nyingi. Brahimi amewabwaga wachezaji wengine nyota wakiwemo,...

 

10 years ago

GPL

MOURINHO, HAZARD WATWAA TUZO ENGLAND

Jose Mourinho. KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho ametwaa tuzo ya Kocha Bora wa Ligi Kuu ya England kwa msimu huu wa 2014/2015 huku mchezaji wake Eden Hazard akitwaa tuzo ya mchezaji bora wa msimu. Eden Hazard. Hazard amechukua tuzo hiyo baada ya kuisaidia timu yake kutwaa taji la Ligi Kuu ya England huku akiifungia mabao 14. Hazard alikuwa akiwania tuzo hiyo pamoja na wachezaji wengine saba ambao ni: John Terry, Cesc Fabregas,...

 

5 years ago

Managing Madrid

Eden Hazard Recovery Update

Eden Hazard Recovery Update  Managing MadridGood news for Real Madrid: Positive update on injured influential star  CaughtOffsideReports: Real Madrid Identify New Target  Soccer LadumaDoctors sanitised Hazard's room before removing stitches  MARCA.comView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Mtanzania

Jose Mourinhoamkomalia Eden Hazard

Manchester United v Chelsea - Premier LeagueLONDON, ENGLAND

KOCHA wa timu ya Chelsea, Jose Mourinho, amemwambia winga wake,Eden Hazard, ataendelea kuanzia benchi mpaka pale atakapofanya majukumu ya ukabaji kama vile Willian na Pedro.

Mchezaji huyo bora wa kulipwa England (PFA) msimu uliopita, juzi alianzia benchi wakati timu hiyo ilipoichapa Aston Villa mabao 2-0, ukiwa ni ushindi wao wa tatu msimu huu.

Mourinho baada ya mchezo huo amesema Hazard anatakiwa kufanya kazi ya ziada kushinda mtihani wa kurudisha nafasi yake.

“Nimemuweka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani