MOURINHO, HAZARD WATWAA TUZO ENGLAND

Jose Mourinho. KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho ametwaa tuzo ya Kocha Bora wa Ligi Kuu ya England kwa msimu huu wa 2014/2015 huku mchezaji wake Eden Hazard akitwaa tuzo ya mchezaji bora wa msimu. Eden Hazard. Hazard amechukua tuzo hiyo baada ya kuisaidia timu yake kutwaa taji la Ligi Kuu ya England huku akiifungia mabao 14. Hazard alikuwa akiwania tuzo hiyo pamoja na wachezaji wengine saba ambao ni: John Terry, Cesc Fabregas,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
EDEN HAZARD ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA ENGLAND
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Hazard akana mvutano na Mourinho
10 years ago
BBCSwahili22 May
Mourinho na Hazard ndio bora EPL
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Hazard mchezaji bora wa mwaka England
10 years ago
Habarileo23 Dec
Waandishi Pwani watwaa tuzo ya usalama barabarani
CHAMA cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Pwani (CRPC), kimepewa tuzo na Kamati ya Usalama Barabarani kwa kutoa mchango wake wa kupunguza ajali kwenye mkoa huo.
10 years ago
Bongo511 Sep
Pellegrini na Andre Ayew watwaa tuzo ya mwezi ligi kuu ya Uingereza
9 years ago
Bongo512 Dec
Jamie Vardy na kocha wake Claudio Ranieri watwaa tuzo ya EPL

Mshambuliaji wa Leicester Jamie Vardy pamoaja na Manager wa Leicester City Claudio Ranieri wameshinda tuzo ya kocha bora na mchezaji bora wa mwezi November kwenye ligi ya England (EPL) baada ya kukiongoza kikosi chao kukaa kileleni mwa ligi hiyo.
Vardy baada ya kufunga magoli matatu katika mechi za mwezi Novemba ikiwemo kuvunja rekodi ya magoli wakati kikosi chake kilipotoka sare ya 1-1 na Manchester United.
Goli lake katika dakika ya 24 dhidi ya Mashetani Wekundu lilimfanya avunje rekodi...
10 years ago
Mwananchi08 Nov
Rodgers, Mourinho w yatiwa majaribuni upya England