Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mourinho na Hazard ndio bora EPL

Mkufunzi wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho ametangazwa kuwa mkufunzi bora katika ligi ya Uingereza kwa mara ya tatu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Hazard akana mvutano na Mourinho

Kiungo wa Chelsea na Ubelgiji Eden Hazard, amekana madai kuwa uhusiano wake na meneja Jose Mourinho umekumbwa na msukosuko.

 

10 years ago

GPL

MOURINHO, HAZARD WATWAA TUZO ENGLAND

Jose Mourinho. KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho ametwaa tuzo ya Kocha Bora wa Ligi Kuu ya England kwa msimu huu wa 2014/2015 huku mchezaji wake Eden Hazard akitwaa tuzo ya mchezaji bora wa msimu. Eden Hazard. Hazard amechukua tuzo hiyo baada ya kuisaidia timu yake kutwaa taji la Ligi Kuu ya England huku akiifungia mabao 14. Hazard alikuwa akiwania tuzo hiyo pamoja na wachezaji wengine saba ambao ni: John Terry, Cesc Fabregas,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hazard mchezaji bora wa mwaka England

Baada ya kusubiri kwa misimu miwili hatimae Eden Hazard ameibuka mchezaji bora wa mwaka wa England na kutwaa tuzo ya PFA.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho:'Kulipiza kisasi inakubalika EPL'

Shirikisho la soka nchini Uingereza FA limeweka mfano mbaya kwa kubadilisha uamuzi wa kadi nyekundi aliyopewa beki wa Arsenal Gabriel Paulista kulingana na kocha wa Chelsea Jose Mourinho.

 

10 years ago

GPL

EDEN HAZARD ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA ENGLAND

Eden Hazard akiwa na tuzo yake ya mchezaji bora wa mwaka nchini England. KIUNGO wa Chelsea, Eden Hazard ndiye mchezaji bora wa mwaka nchini England. Hazard mwenye umri wa miaka 24, raia wa Ubelgiji, amefunga jumla ya mabao 18 katika mechi alizoichezea timu yake msimu huu kwenye michuano mbalimbali na kuisaidia Chelsea kutwaa Kombe la Capital One huku ikishika usukani katika msimamo wa Ligi Kuu ya England inayoelekea...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mourinho:Kinyang'anyiro cha EPL kiko wazi

Jose Mourinho amesema kuwa kinyang'anyiro cha kuwania taji la ligi ya EPL bado kiko wazi licha ya timu yake kuwa mbele

 

10 years ago

BBCSwahili

Mourinho ''ndio mkoko umealika maua''

Kocha wa Chelsea amewaonya wapinzani wake akisema kuwa bado anaari kubwa ya kutwaa vikombe zaidi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Suarez ndiye mchezaji bora katika EPL

Mshambulizi wa Liverpool Luis Suarez ni mchezaji bora msimu huu nchini Uingereza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani