Mourinho na Hazard ndio bora EPL
Mkufunzi wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho ametangazwa kuwa mkufunzi bora katika ligi ya Uingereza kwa mara ya tatu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Hazard akana mvutano na Mourinho
Kiungo wa Chelsea na Ubelgiji Eden Hazard, amekana madai kuwa uhusiano wake na meneja Jose Mourinho umekumbwa na msukosuko.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NHPaItPS5Eg1RwhIIYzyXer2jR-1HCbtzNLhcruinU7zvd5z-CUfMBDU3Ma4NP9DQZZGv-N8WzJ4UEBSjltY5s20QXmGzYTl/josemourinhoresimleri.jpg?width=650)
MOURINHO, HAZARD WATWAA TUZO ENGLAND
Jose Mourinho. KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho ametwaa tuzo ya Kocha Bora wa Ligi Kuu ya England kwa msimu huu wa 2014/2015 huku mchezaji wake Eden Hazard akitwaa tuzo ya mchezaji bora wa msimu. Eden Hazard. Hazard amechukua tuzo hiyo baada ya kuisaidia timu yake kutwaa taji la Ligi Kuu ya England huku akiifungia mabao 14. Hazard alikuwa akiwania tuzo hiyo pamoja na wachezaji wengine saba ambao ni: John Terry, Cesc Fabregas,...
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Hazard mchezaji bora wa mwaka England
Baada ya kusubiri kwa misimu miwili hatimae Eden Hazard ameibuka mchezaji bora wa mwaka wa England na kutwaa tuzo ya PFA.
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Mourinho:'Kulipiza kisasi inakubalika EPL'
Shirikisho la soka nchini Uingereza FA limeweka mfano mbaya kwa kubadilisha uamuzi wa kadi nyekundi aliyopewa beki wa Arsenal Gabriel Paulista kulingana na kocha wa Chelsea Jose Mourinho.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IxPfzOrgAhfuug-gQ1pyqQcoQ**6nyacOrVenjUMX7pkyAgDBHtjdf9CoH0kUktkvsRnca5vFif2-YOZVYiUMyHknDlVT7sk/HAZARD.jpg?width=650)
EDEN HAZARD ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA ENGLAND
Eden Hazard akiwa na tuzo yake ya mchezaji bora wa mwaka nchini England. KIUNGO wa Chelsea, Eden Hazard ndiye mchezaji bora wa mwaka nchini England. Hazard mwenye umri wa miaka 24, raia wa Ubelgiji, amefunga jumla ya mabao 18 katika mechi alizoichezea timu yake msimu huu kwenye michuano mbalimbali na kuisaidia Chelsea kutwaa Kombe la Capital One huku ikishika usukani katika msimamo wa Ligi Kuu ya England inayoelekea...
10 years ago
BBCSwahili11 Apr
Mourinho:Kinyang'anyiro cha EPL kiko wazi
Jose Mourinho amesema kuwa kinyang'anyiro cha kuwania taji la ligi ya EPL bado kiko wazi licha ya timu yake kuwa mbele
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
Mourinho ''ndio mkoko umealika maua''
Kocha wa Chelsea amewaonya wapinzani wake akisema kuwa bado anaari kubwa ya kutwaa vikombe zaidi.
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
Suarez ndiye mchezaji bora katika EPL
Mshambulizi wa Liverpool Luis Suarez ni mchezaji bora msimu huu nchini Uingereza.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania