Hazard mchezaji bora wa mwaka England
Baada ya kusubiri kwa misimu miwili hatimae Eden Hazard ameibuka mchezaji bora wa mwaka wa England na kutwaa tuzo ya PFA.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IxPfzOrgAhfuug-gQ1pyqQcoQ**6nyacOrVenjUMX7pkyAgDBHtjdf9CoH0kUktkvsRnca5vFif2-YOZVYiUMyHknDlVT7sk/HAZARD.jpg?width=650)
EDEN HAZARD ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA ENGLAND
9 years ago
Bongo529 Oct
Thierry Henry amtaja Paul Scholes kuwa ndiye mchezaji bora wa muda wote katika ligi kuu England
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Rooney mchezaji Bora wa Mwaka 2015.
9 years ago
Bongo506 Jan
Rooney ashinda tuzo ya mchezaji Bora wa Mwaka 2015 Uingereza
![150614192933_wayne_rooney__640x360_reuters](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/150614192933_wayne_rooney__640x360_reuters-300x194.jpg)
Mchezaji wa Manchester Wayne Rooney ametwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka kwa 2015 nchini Uingereza akitetea tena tuzo ambayo pia aliizoa mwaka 2014.
Hii ni mara ya 4 Rooney kushinda tuzo hii ambayo hupigiwa kura na wanachama wa Chama cha Mashabiki wa Soka England.
Mwezi Desemba Shirikisho la Soka la England liliyaweka hadharani majina ya wagombea wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka nchini humo.
Mwaka wa 2015 Rooney alii isaidia England kufuzu kuingia fainali za Mataifa ya Ulaya, Euro 2016,...
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Rooney achaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka 2015 wa Uingereza
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uingereza na klabu ya Manchester United, Wayne Rooney (pichani) amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka 2015 wa Uingereza baada ya fanikiwa kuvunja rekodi ya kufunga magoli mengi katika timu ya taifa ya magoli 49 ambayo awali ilikuwa imewekwa na Sir Bobby Chalton na baade kuweka ya kwake ya magoli 50.
Rooney mwaka 2015 aliichezea Uingereza michezo 8 na kufanikiwa kuifungia magoli 5 ambayo yaliisaidia Uingereza kujihakikishia nafasi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jNrZ7iSqItZO31rwxMJHwLx0UqwIS6yXpp-EDvFV3r6M43SEsO94JM2bLhyrip-V2sUNzoyRLk-K7GpQnXEXC2ZNEKPFFv8W/bbc.jpg?width=650)
BRAHIMI ASHINDA TUZO YA BBC YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA 2014 AFRIKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NHPaItPS5Eg1RwhIIYzyXer2jR-1HCbtzNLhcruinU7zvd5z-CUfMBDU3Ma4NP9DQZZGv-N8WzJ4UEBSjltY5s20QXmGzYTl/josemourinhoresimleri.jpg?width=650)
MOURINHO, HAZARD WATWAA TUZO ENGLAND
10 years ago
BBCSwahili22 May
Mourinho na Hazard ndio bora EPL