Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hazard akana mvutano na Mourinho

Kiungo wa Chelsea na Ubelgiji Eden Hazard, amekana madai kuwa uhusiano wake na meneja Jose Mourinho umekumbwa na msukosuko.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mourinho na Hazard ndio bora EPL

Mkufunzi wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho ametangazwa kuwa mkufunzi bora katika ligi ya Uingereza kwa mara ya tatu.

 

10 years ago

GPL

MOURINHO, HAZARD WATWAA TUZO ENGLAND

Jose Mourinho. KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho ametwaa tuzo ya Kocha Bora wa Ligi Kuu ya England kwa msimu huu wa 2014/2015 huku mchezaji wake Eden Hazard akitwaa tuzo ya mchezaji bora wa msimu. Eden Hazard. Hazard amechukua tuzo hiyo baada ya kuisaidia timu yake kutwaa taji la Ligi Kuu ya England huku akiifungia mabao 14. Hazard alikuwa akiwania tuzo hiyo pamoja na wachezaji wengine saba ambao ni: John Terry, Cesc Fabregas,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mourinho akana kuwepo kwa mgomo Chelsea

Mkufunzi wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho amekana madai kwamba kuna mgomo baridi miongoni mwa wachezaji katika kilabu ya Chelsea

 

9 years ago

Mwananchi

‘Hazard si namba 10 wa Chelsea’

Jose Mourinho amemwambia Eden Hazard yeye si mchezaji wa kucheza namba 10 katika kikosi cha Chelsea.

 

5 years ago

Managing Madrid

Eden Hazard Recovery Update

Eden Hazard Recovery Update  Managing MadridGood news for Real Madrid: Positive update on injured influential star  CaughtOffsideReports: Real Madrid Identify New Target  Soccer LadumaDoctors sanitised Hazard's room before removing stitches  MARCA.comView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Mtanzania

Jose Mourinhoamkomalia Eden Hazard

Manchester United v Chelsea - Premier LeagueLONDON, ENGLAND

KOCHA wa timu ya Chelsea, Jose Mourinho, amemwambia winga wake,Eden Hazard, ataendelea kuanzia benchi mpaka pale atakapofanya majukumu ya ukabaji kama vile Willian na Pedro.

Mchezaji huyo bora wa kulipwa England (PFA) msimu uliopita, juzi alianzia benchi wakati timu hiyo ilipoichapa Aston Villa mabao 2-0, ukiwa ni ushindi wao wa tatu msimu huu.

Mourinho baada ya mchezo huo amesema Hazard anatakiwa kufanya kazi ya ziada kushinda mtihani wa kurudisha nafasi yake.

“Nimemuweka...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

BBCSwahili

Hazard mchezaji bora wa mwaka England

Baada ya kusubiri kwa misimu miwili hatimae Eden Hazard ameibuka mchezaji bora wa mwaka wa England na kutwaa tuzo ya PFA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani