Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jose Mourinhoamkomalia Eden Hazard

Manchester United v Chelsea - Premier LeagueLONDON, ENGLAND

KOCHA wa timu ya Chelsea, Jose Mourinho, amemwambia winga wake,Eden Hazard, ataendelea kuanzia benchi mpaka pale atakapofanya majukumu ya ukabaji kama vile Willian na Pedro.

Mchezaji huyo bora wa kulipwa England (PFA) msimu uliopita, juzi alianzia benchi wakati timu hiyo ilipoichapa Aston Villa mabao 2-0, ukiwa ni ushindi wao wa tatu msimu huu.

Mourinho baada ya mchezo huo amesema Hazard anatakiwa kufanya kazi ya ziada kushinda mtihani wa kurudisha nafasi yake.

“Nimemuweka...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Managing Madrid

Eden Hazard Recovery Update

Eden Hazard Recovery Update  Managing MadridGood news for Real Madrid: Positive update on injured influential star  CaughtOffsideReports: Real Madrid Identify New Target  Soccer LadumaDoctors sanitised Hazard's room before removing stitches  MARCA.comView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

EDEN HAZARD AKANUSHA UVUMI WA KUHAMIA REAL MADRID

Nyota wa Chelsea FC Eden Hazard (jezi na 10) amekanusha habari kwamba anampango wa kuhamia timu ya Real Madrid ya Hispania. Mchezaji huyo tumaini la Chelsea FC ya Uingereza amesema hana mpango wowote wa kuihama Chelsea kwani timu ya Chelsea ndio pekee ninayoiota usiku.

 

10 years ago

GPL

EDEN HAZARD ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA ENGLAND

Eden Hazard akiwa na tuzo yake ya mchezaji bora wa mwaka nchini England. KIUNGO wa Chelsea, Eden Hazard ndiye mchezaji bora wa mwaka nchini England. Hazard mwenye umri wa miaka 24, raia wa Ubelgiji, amefunga jumla ya mabao 18 katika mechi alizoichezea timu yake msimu huu kwenye michuano mbalimbali na kuisaidia Chelsea kutwaa Kombe la Capital One huku ikishika usukani katika msimamo wa Ligi Kuu ya England inayoelekea...

 

10 years ago

TheCitizen

Latest finds make Rift Valley ‘Eden’

>Latest discovery of fossils in the region now make archeologists increasingly believe the East African Rift Valley is the Garden of Eden referred to in holy books.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Hazard si namba 10 wa Chelsea’

Jose Mourinho amemwambia Eden Hazard yeye si mchezaji wa kucheza namba 10 katika kikosi cha Chelsea.

 

10 years ago

Michuzi

MAHAFALI KIDATO CHA NNE SHULE YA SEKONDARI EDEN GARDEN EDUCATION TRUST

Wanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya sekondari Eden Garden Education Trust ya Mkoani Kilimanjaro wanaotarajia kufanya mitihani yao ya mwisho siku chache zijazo wakiingia ukumbini kwa ajili ya sherehe ya kuwaaga iliyofanyika shuleni hapo,Mbele ni mkuu wa Utawala shuleni hapo Peter Nayor .Wanafunzi wa kidato cha nne shule ya sekondari Eden Garden Education Trust wakiingia kwa madoido uwanjani.Baadhi ya wazazi wenye watoto wao katika shule ya sekondari Eden Garden Education Trust...

 

9 years ago

BBCSwahili

Hazard akana mvutano na Mourinho

Kiungo wa Chelsea na Ubelgiji Eden Hazard, amekana madai kuwa uhusiano wake na meneja Jose Mourinho umekumbwa na msukosuko.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hazard mchezaji bora wa mwaka England

Baada ya kusubiri kwa misimu miwili hatimae Eden Hazard ameibuka mchezaji bora wa mwaka wa England na kutwaa tuzo ya PFA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani