Jose Mourinhoamkomalia Eden Hazard
LONDON, ENGLAND
KOCHA wa timu ya Chelsea, Jose Mourinho, amemwambia winga wake,Eden Hazard, ataendelea kuanzia benchi mpaka pale atakapofanya majukumu ya ukabaji kama vile Willian na Pedro.
Mchezaji huyo bora wa kulipwa England (PFA) msimu uliopita, juzi alianzia benchi wakati timu hiyo ilipoichapa Aston Villa mabao 2-0, ukiwa ni ushindi wao wa tatu msimu huu.
Mourinho baada ya mchezo huo amesema Hazard anatakiwa kufanya kazi ya ziada kushinda mtihani wa kurudisha nafasi yake.
“Nimemuweka...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
Managing Madrid21 Mar
Eden Hazard Recovery Update
10 years ago
Vijimambo08 Jan
10 years ago
Vijimambo12 Nov
EDEN HAZARD AKANUSHA UVUMI WA KUHAMIA REAL MADRID
![](https://lh5.googleusercontent.com/-YkltQ-5M9uI/VGDGWXs3i7I/AAAAAAACdQM/uanoLGS76nc/w1000-h667/Eden%2BHazard%2B1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IxPfzOrgAhfuug-gQ1pyqQcoQ**6nyacOrVenjUMX7pkyAgDBHtjdf9CoH0kUktkvsRnca5vFif2-YOZVYiUMyHknDlVT7sk/HAZARD.jpg?width=650)
EDEN HAZARD ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA ENGLAND
10 years ago
TheCitizen02 Sep
Latest finds make Rift Valley ‘Eden’
9 years ago
Mwananchi30 Nov
‘Hazard si namba 10 wa Chelsea’
10 years ago
MichuziMAHAFALI KIDATO CHA NNE SHULE YA SEKONDARI EDEN GARDEN EDUCATION TRUST
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Hazard akana mvutano na Mourinho
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Hazard mchezaji bora wa mwaka England