‘Hazard si namba 10 wa Chelsea’
Jose Mourinho amemwambia Eden Hazard yeye si mchezaji wa kucheza namba 10 katika kikosi cha Chelsea.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
The Top Flight19 Mar
Chelsea’s transfer targets fashion them serious title contenders next season
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Utani wa mashabiki baada ya Jose Mourinho kufukuzwa kazi Chelsea…(Video)
Jana uongozi wa klabu ya Chelsea ulimtimua kazi kocha wao Jose Mourinho baada ya timu yao kuendelea kupata matokeo mabaya katika mechi zake za ligi kuu. Licha ya kikosi hicho kuonekana bora na kutwaa ubingwa wa ligi kuu msimu uliopita, imeonekana kushindwa kwenda na ushindani wa timu pinzani msimu huu. Huu ndio utani niliokutana nao […]
The post Utani wa mashabiki baada ya Jose Mourinho kufukuzwa kazi Chelsea…(Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
‘Wataicheza namba’ au ‘Wataisoma Namba’?
Tukiwa tuko ukingoni kumaliza upigaji kura wa uchaguzi 2015 mengi yametokea na tumejifunza. CCM na nyimbo yao maarufu Wataisoma Namba. Kwangu mimi nikuwa Wataicheza Namba. CCM imekuwa ikijigamba kuwa na mbinu kadhaa za kushinda. Hoja ambayo […]
The post ‘Wataicheza namba’ au ‘Wataisoma Namba’? appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/uJuz7o36yfo/default.jpg)
9 years ago
Mtanzania19 Oct
Jose Mourinhoamkomalia Eden Hazard
LONDON, ENGLAND
KOCHA wa timu ya Chelsea, Jose Mourinho, amemwambia winga wake,Eden Hazard, ataendelea kuanzia benchi mpaka pale atakapofanya majukumu ya ukabaji kama vile Willian na Pedro.
Mchezaji huyo bora wa kulipwa England (PFA) msimu uliopita, juzi alianzia benchi wakati timu hiyo ilipoichapa Aston Villa mabao 2-0, ukiwa ni ushindi wao wa tatu msimu huu.
Mourinho baada ya mchezo huo amesema Hazard anatakiwa kufanya kazi ya ziada kushinda mtihani wa kurudisha nafasi yake.
“Nimemuweka...
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Hazard akana mvutano na Mourinho
5 years ago
Managing Madrid21 Mar
Eden Hazard Recovery Update
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NHPaItPS5Eg1RwhIIYzyXer2jR-1HCbtzNLhcruinU7zvd5z-CUfMBDU3Ma4NP9DQZZGv-N8WzJ4UEBSjltY5s20QXmGzYTl/josemourinhoresimleri.jpg?width=650)
MOURINHO, HAZARD WATWAA TUZO ENGLAND
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Hazard mchezaji bora wa mwaka England