Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wataicheza namba’ au ‘Wataisoma Namba’?

Tukiwa tuko ukingoni kumaliza upigaji kura wa uchaguzi 2015 mengi yametokea na tumejifunza. CCM na nyimbo yao maarufu Wataisoma Namba. Kwangu mimi nikuwa Wataicheza Namba. CCM imekuwa ikijigamba kuwa na mbinu kadhaa za kushinda. Hoja ambayo […]

The post ‘Wataicheza namba’ au ‘Wataisoma Namba’? appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kikwete: Wapinzani wataisoma namba

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, na mgombea mwenza, Samia Suluhu Hassan jana walichukua fomu kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), huku Rais Jakaya Kikwete akisema wapinzani wataisoma namba.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Hazard si namba 10 wa Chelsea’

Jose Mourinho amemwambia Eden Hazard yeye si mchezaji wa kucheza namba 10 katika kikosi cha Chelsea.

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa: Wameisoma namba

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayewakilisha vyama vinavyounda Ukawa, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsindikiza wakati akienda Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuchukua fomu ni salamu kwa CCM na ‘wameisoma namba’ kwamba Watanzania wanataka mabadiliko.

 

10 years ago

Mwananchi

Wengi watumia namba zisizosajiliwa

Licha ya muda wa usajili wa namba za simu kupita, imebainika kuwa idadi kubwa ya wananchi wanatumia namba hizo bila kuzisajili jambo linaloelezwa kuwa linachochea vitendo vya utapeli.

 

11 years ago

Habarileo

Hati za Muungano hoja Namba 1

SIKU ya kwanza ya kujadili rasimu jana, kwa kamati tatu zilizotoa taarifa, zimeeleza mjadala umeanza kwa amani huku wajumbe wengi wakitaka kuoneshwa kwanza hati za Muungano, zilizosainiwa na waasisi wake, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na Shekhe Abeid Amaan Karume, ndipo waanze mjadala.

 

10 years ago

Vijimambo

UMRI NI SAWA NA KUHESABU NAMBA 1, 2, 3

Babu kanyaga twende mjini kila mtu baby baby uzee mwisho kibaha habari ndiyo hii

 

11 years ago

Mwananchi

Daladala namba ‘T 111 BRN’

Nani atabisha kwamba hakuna jambo linalogusa Wabongo kama elimu? Au labda tuseme hakuna jambo linalogusa Wabongo kama matokeo ya mitihani. Ndiyo maana sikushangaa kupokea mapepe kibao wiki hii. Hebu niwaonyeshe mbili tu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Je namba ya bure ya 116 inaokoa TZ?

Ni kwa ajili ya kuripoti ukatili wa watoto

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani