Daladala namba ‘T 111 BRN’
Nani atabisha kwamba hakuna jambo linalogusa Wabongo kama elimu? Au labda tuseme hakuna jambo linalogusa Wabongo kama matokeo ya mitihani. Ndiyo maana sikushangaa kupokea mapepe kibao wiki hii. Hebu niwaonyeshe mbili tu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oncLOIv1tO7DlAFtgP9aMx9mVuMUymBNI80A*wzVod1YliYKBYq3KXZJSPUfCqTPvdgtUjOjzKz*nnf5AOuafOxinnMY5lp8/noma.jpg?width=650)
MATESO! MIAKA 14, KILO 111, ASIMAMISHWA SHULE
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
‘Wataicheza namba’ au ‘Wataisoma Namba’?
Tukiwa tuko ukingoni kumaliza upigaji kura wa uchaguzi 2015 mengi yametokea na tumejifunza. CCM na nyimbo yao maarufu Wataisoma Namba. Kwangu mimi nikuwa Wataicheza Namba. CCM imekuwa ikijigamba kuwa na mbinu kadhaa za kushinda. Hoja ambayo […]
The post ‘Wataicheza namba’ au ‘Wataisoma Namba’? appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/uJuz7o36yfo/default.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
Wanafunzi 808,111 wa darasa la saba kufanya mitihani leo
NA RACHEL KYALASERIKALI imewataka wakaguzi wa elimu katika ngazi zote nchini, kuhakikisha idadi ya wanafunzi 808,111 wanaopaswa kufanya mtihani wa darasa la saba inatimia.Aidha, imewataka wakaguzi hao kuchukua hatua kali dhidi ya wazazi na walezi watakaowaelekeza wanafunzi hao kufanya vibaya katika mitihani hiyo kama ambavyo imekuwa ikitokea kwa sababu zisizo za msingi.Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, alisema jana kuwa, kumekuwa na tabia ya baadhi ya wazazi na...
5 years ago
BBCSwahili28 May
Virusi vya corona: Ajuza wa miaka 111 apona nchini Chile
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Serikali imetumia zaidi ya Shilingi Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima
Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula Bw. Charles akiongea na waandishi wa Habari( Hawapo Pichani) kuhusu mafanikio yaliyopatikana na wakala hao ikiwamo kutumia Zaidi ya Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima katika kipindi cha Mwaka 2013/2014. wakati wa Mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mipango na Uendeshaji wa wakala huo Bi. Anna Mapunda.
Baadhi ya waandishi wa Habari waliohudhuria Mkutano huo...
10 years ago
Habarileo04 Mar
Taarifa ya BRN leo
SERIKALI kesho itatoa taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) kuhusu utekelezaji wa mikakati iliyowekwa katika sekta sita za kipaumbele zilizotekelezwa mwaka wa fedha uliopita.
10 years ago
Mwananchi06 Mar
‘BRN yaonyesha mafanikio’
9 years ago
IPPmedia17 Aug
Big Results Now (BRN)
IPPmedia
IPPmedia
The government's Big Results Now (BRN) initiative is said to be affecting Local Government Capital Development Grant (LGCDG) projects in that the money used to implement it is that meant for the latter projects. Presenting a paper on Efficiency and ...