Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daladala namba ‘T 111 BRN’

Nani atabisha kwamba hakuna jambo linalogusa Wabongo kama elimu? Au labda tuseme hakuna jambo linalogusa Wabongo kama matokeo ya mitihani. Ndiyo maana sikushangaa kupokea mapepe kibao wiki hii. Hebu niwaonyeshe mbili tu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MATESO! MIAKA 14, KILO 111, ASIMAMISHWA SHULE

GRACE Simon mwenye miaka 14 anateseka na uzito wa kupindukia  wa kilo 111 (kama gunia moja la mahindi na viroba vitatu) hali iliyomsababishia akatishwe masomo na walimu katika Shule ya Msingi Amani, Ukonga, Ilala jijini Dar es Salaam alikokuwa anasoma. Grace Simon mwenye miaka 14 anateseka na uzito. Grace ambaye mwaka huu angekuwa darasa la saba lakini aliachishwa shule mwaka 2010 akiwa darasa la nne na walimu wakimtaka...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

‘Wataicheza namba’ au ‘Wataisoma Namba’?

Tukiwa tuko ukingoni kumaliza upigaji kura wa uchaguzi 2015 mengi yametokea na tumejifunza. CCM na nyimbo yao maarufu Wataisoma Namba. Kwangu mimi nikuwa Wataicheza Namba. CCM imekuwa ikijigamba kuwa na mbinu kadhaa za kushinda. Hoja ambayo […]

The post ‘Wataicheza namba’ au ‘Wataisoma Namba’? appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Wanafunzi 808,111 wa darasa la saba kufanya mitihani leo


NA RACHEL KYALASERIKALI imewataka wakaguzi wa elimu katika ngazi zote nchini, kuhakikisha idadi ya wanafunzi 808,111 wanaopaswa kufanya mtihani wa darasa la saba inatimia.Aidha, imewataka wakaguzi hao kuchukua hatua kali dhidi ya wazazi na walezi watakaowaelekeza wanafunzi hao kufanya vibaya katika mitihani hiyo kama ambavyo imekuwa ikitokea kwa sababu zisizo za msingi.Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, alisema jana kuwa, kumekuwa na tabia ya baadhi ya wazazi na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Ajuza wa miaka 111 apona nchini Chile

Bi Zúñiga alikutwa na ugonjwa huo baada ya kutokea mlipuko wa maambukizi katika kituo cha kulea wazee ambacho anatunzwa.

 

11 years ago

Dewji Blog

Serikali imetumia zaidi ya Shilingi Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima

IMG_5996

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula Bw. Charles akiongea na waandishi wa Habari( Hawapo Pichani) kuhusu mafanikio yaliyopatikana na wakala hao ikiwamo kutumia Zaidi ya Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima katika kipindi cha Mwaka 2013/2014. wakati wa Mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mipango na Uendeshaji wa wakala huo Bi. Anna Mapunda.

IMG_6007

Baadhi ya waandishi wa Habari waliohudhuria Mkutano huo...

 

10 years ago

Habarileo

Taarifa ya BRN leo

SERIKALI kesho itatoa taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) kuhusu utekelezaji wa mikakati iliyowekwa katika sekta sita za kipaumbele zilizotekelezwa mwaka wa fedha uliopita.

 

10 years ago

Mwananchi

‘BRN yaonyesha mafanikio’

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), umeonyesha mafanikio makubwa licha ya baadhi ya watu kuutilia shaka uanzishwaji wake.

 

9 years ago

IPPmedia

Big Results Now (BRN)


IPPmedia
Big Results Now (BRN)
IPPmedia
The government's Big Results Now (BRN) initiative is said to be affecting Local Government Capital Development Grant (LGCDG) projects in that the money used to implement it is that meant for the latter projects. Presenting a paper on Efficiency and ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani