Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafunzi 808,111 wa darasa la saba kufanya mitihani leo


NA RACHEL KYALASERIKALI imewataka wakaguzi wa elimu katika ngazi zote nchini, kuhakikisha idadi ya wanafunzi 808,111 wanaopaswa kufanya mtihani wa darasa la saba inatimia.Aidha, imewataka wakaguzi hao kuchukua hatua kali dhidi ya wazazi na walezi watakaowaelekeza wanafunzi hao kufanya vibaya katika mitihani hiyo kama ambavyo imekuwa ikitokea kwa sababu zisizo za msingi.Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, alisema jana kuwa, kumekuwa na tabia ya baadhi ya wazazi na...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Mitihani darasa la saba yaanza leo

mtihaniNA JONAS MUSHI, DAR ES SALAAM

BARAZA la Taifa la Mitihani   (NECTA) limesema watahiniwa 775,729 wakiwamo wasichana 414,227 na wavulana 361,502, wanatarajiwa   kufanya mitihani ya taifa ya kuhitimu darasa la saba leo katika shule 16,096 za Tanzania bara.

Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Charles Msonde  alisema jana kuwa mitihani hiyo itafanyika kwa siku mbili  (leo na kesho) na itahusisha masomo matano ya Kiswahili, Kiingereza, Hisabati, Sayansi na Maarifa ya Jamii.

“Maandalizi yote ya mitihani...

 

11 years ago

Mwananchi

Nusu ya wanafunzi darasa la saba hawawezi Kiingereza cha darasa la pili

>Asilimia 24 ya wanafunzi wa darasa la saba nchini hawawezi kusoma hadithi rahisi iliyoandikwa kwa lugha ya Kiswahili kwa ajili ya wanafunzi wa darasa la pili ambapo asilimia 50 ya wanafunzi hao, hawawezi kusoma hadithi ya Kiingereza ya darasa la pili.

 

9 years ago

Mwananchi

Watahiniwa darasa la saba zaidi ya 700,000 kuanza mitihani kesho

Wanafunzi 775,729 walioandikishwa kufanya mtihani wa darasa la saba nchini, kesho wanaanza kufanya mtihani huo, huku idadi ya watahiniwa ikipungua ukilinganisha na walioandikishwa mwaka jana.

 

9 years ago

StarTV

Hali ya Wanafunzi wa darasa la 7 wanaofanya mitihani yao ya mwisho

Ikiwa ni siku ya kwanza ya watahiniwa wa Darasa la Saba kufanya mtihani wao wa kuhitimu elimu ya msingi nchi nzima, baadhi ya Shule za msingi jijini Dar Es Salaam zimeoneka kuwa katika hali ya utulivu na amani .

Wanafunzi wameendelea na maandalizi ya mtihani huo, wengine wakiwa wamekaa katika makundi wakijadiliana namna walivyoanza mtihani wengi wao wakiwa na matarajio ya kufanza vyema katika mitihani hiyo.

StarTv imepita katika Shule ya Msingi Kinondoni iliyopo katika Manispaa ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

21,540 kufanya mtihani darasa la saba

WANAFUNZI 21,540 watafanya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi mkoani Iringa mwaka huu ikiwa ni pungufu ya waliofanya mtihani huo mwaka jana. Mwaka jana wanafunzi 23,149 mkoani hapa walifanya mtihani...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi kambini Syria kufanya mitihani

Makubaliano yamefikiwa nchini Syria ili kuwaruhusu wanafunzi wanaoishi katika kambi inayokumbwa na vita ya Yarmouk kufanya mitihani yao.

 

9 years ago

Mwananchi

Kila la heri wanafunzi darasa la saba

Wanafunzi wa darasa la saba nchini, leo wanatarajiwa kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi, huku wakiwa na shauku kubwa kufanya mtihani huo kwa kutumia mfumo mpya wa ufanyaji na usahihishaji wa mitihani ambao ulianza kutumika nchini miaka mitatu iliyopita.

 

9 years ago

Mwananchi

Pongezi Kanda ya Ziwa kufanya vizuri darasa la saba

Jana Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), lilitangaza matokeo ya mtihani wa kumaliza darasa la saba mwaka 2015.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani