Watahiniwa darasa la saba zaidi ya 700,000 kuanza mitihani kesho
Wanafunzi 775,729 walioandikishwa kufanya mtihani wa darasa la saba nchini, kesho wanaanza kufanya mtihani huo, huku idadi ya watahiniwa ikipungua ukilinganisha na walioandikishwa mwaka jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL16 Nov
10 years ago
Mwananchi12 Dec
Watahiniwa kidato cha nne kuanza mitihani rasmi
9 years ago
Mtanzania09 Sep
Mitihani darasa la saba yaanza leo
NA JONAS MUSHI, DAR ES SALAAM
BARAZA la Taifa la Mitihani (NECTA) limesema watahiniwa 775,729 wakiwamo wasichana 414,227 na wavulana 361,502, wanatarajiwa kufanya mitihani ya taifa ya kuhitimu darasa la saba leo katika shule 16,096 za Tanzania bara.
Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Charles Msonde alisema jana kuwa mitihani hiyo itafanyika kwa siku mbili (leo na kesho) na itahusisha masomo matano ya Kiswahili, Kiingereza, Hisabati, Sayansi na Maarifa ya Jamii.
“Maandalizi yote ya mitihani...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/77DaykjQvug/default.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
Wanafunzi 808,111 wa darasa la saba kufanya mitihani leo
NA RACHEL KYALASERIKALI imewataka wakaguzi wa elimu katika ngazi zote nchini, kuhakikisha idadi ya wanafunzi 808,111 wanaopaswa kufanya mtihani wa darasa la saba inatimia.Aidha, imewataka wakaguzi hao kuchukua hatua kali dhidi ya wazazi na walezi watakaowaelekeza wanafunzi hao kufanya vibaya katika mitihani hiyo kama ambavyo imekuwa ikitokea kwa sababu zisizo za msingi.Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, alisema jana kuwa, kumekuwa na tabia ya baadhi ya wazazi na...
10 years ago
Habarileo09 Sep
Darasa la saba kuanza mtihani wa mwisho Jumatano
WANAFUNZI 808,111 wa Darasa la Saba kesho wanaanza mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi utakaofanyika kwa siku mbili mfululizo.
11 years ago
Habarileo24 Feb
‘Elimu ya msingi iwe zaidi ya darasa la saba’
MJUMBE mteule wa Bunge Maalumu, Zainab Gama ametaka Katiba itamke elimu ya msingi iwe zaidi ya darasa la saba kuwezesha wanaohitimu kuwa wamevuka umri wa hatari ya kupata mimba za utotoni.
9 years ago
StarTV03 Nov
Watahiniwa kidato cha nne waanza mitihani
Wanafunzi wa kidato cha nne nchini wameanza mitihani ya Taifa ya kuhitimu elimu ya sekondari huku hali ya utulivu ikitawala katika vituo vyote vya kufanyia mitihani hiyo.
Mitihani hiyo imeanza Novemba 2 hadi 27 na jumla ya watahiniwa 4,634 ndiyo wanaofanya mitihani hiyo huku 960 wakiwa ni watahiniwa wa kujitegemea.
Startv imetembelea katika baadhi ya shule ambapo mitihani hiyo inafanyika na kushuhudia wanafunzi wakiwa wanajisomea kwa ajili ya kujikumbusha kile walichofundishwa.
Monica...
10 years ago
Michuziwatahiniwa 2,175 washindwa kufaulu mitihani ya Bodi ya Uhasibu na Ukaguzi (NBAA)
Imeelezwa kuwa watahiniwa 2,175 sawa na asilimia 46.9 wameshindwa kufaulu mitihani ya Bodi ya Uhasibu na Ukaguzi (NBAA).
Katika taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa NBAA,Pius Maneno ilisema kuwa mitihani hiyo ya kwanza katika mfumo mpya wa elimu wa mafunzo unaozingatia weledi na matokeo hayo hayalinganishwi na matokeo ya nyuma ilifanyika katika mfumo wa kukazia maarifa.
Kwa mujinu wa Maneno,watahiniwa waliojisajili ni 6,464 kati ya hao 678 sawa...