Zaidi ya wanafunzi laki 7 wa darasa la 7 wanatarajiwa kuanza mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kwa muda wa siku mbili kuanzia kesho.
![](http://img.youtube.com/vi/77DaykjQvug/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi06 Nov
MATOKEO YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI MWAKA 2014
Chagua mkoa hapo Juu na kisha ubonyeze kucheki shule yako
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ZjgHPMwTw0g/VFs9FZxvRHI/AAAAAAAC9To/zmfsnS7rRG4/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-11-06%2Bat%2B9.19.00%2BAM.png)
MATOKEO YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI MWAKA 2014.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZjgHPMwTw0g/VFs9FZxvRHI/AAAAAAAC9To/zmfsnS7rRG4/s1600/Screen%2BShot%2B2014-11-06%2Bat%2B9.19.00%2BAM.png)
ARUSHADAR ES SALAAMDODOMAIRINGAKAGERAKIGOMAKILIMANJAROLINDIMARAMBEYAMOROGOROMTWARAMWANZAPWANIRUKWARUVUMASHINYANGASINGIDATABORATANGAMANYARAGEITAKATAVINJOMBESIMIYU Chagua mkoa hapo Juu na kisha ubonyeze kucheki shule yako
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W8gEAVDN3SA/Xmvp8KicMjI/AAAAAAALjBQ/24ZEbO6W-e4EpurtgnwcTj0DNaAILYUrACLcBGAsYHQ/s72-c/1-33-768x432.jpg)
SHIRIKA LA OCODE LAWAJENGEA DARASA JIPYA KWA WANAFUNZI WA ELIMU YA AWALI SHULE YA MSINGI KIBWEGERE
![](https://1.bp.blogspot.com/-W8gEAVDN3SA/Xmvp8KicMjI/AAAAAAALjBQ/24ZEbO6W-e4EpurtgnwcTj0DNaAILYUrACLcBGAsYHQ/s640/1-33-768x432.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qV1zkeXzhnk/U0echaCdJxI/AAAAAAAFZ6g/GTV4ObKqlsA/s72-c/New+Picture.png)
sherehe za miaka hamsini ya Jamhuri ya Muungano waTanzania kwa muda wa siku mbili kuanzia tarehe 25 hadi 26 Aprili, 2014 nchini Ujerumani
![](http://4.bp.blogspot.com/-qV1zkeXzhnk/U0echaCdJxI/AAAAAAAFZ6g/GTV4ObKqlsA/s1600/New+Picture.png)
Kama mnavyofahamu kuwa siku ya tarehe 26 Aprili, 2014 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatimiza miaka hamsini (50), kwa lugha nyingine ni “Golden Jubilee”.
Katika kuadhimisha sherehe hii kubwa na muhimu, Ubalozi umeamua kuandaa Kongamano la Biashara (Investment Forum) kwa siku ya tarehe 25 Aprili, 2014 pamoja na siku ya terehe 26 Aprili, 2014 kuwa siku ya mdahalo (Scholars' day) mjini Berlin, Ujerumani.
Madhumuni makubwa ya Kongamano hili ni kuwatangazia na kuwaonyesha...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-gJbWw6qkIvY/VCMWDtQ0jaI/AAAAAAAAD1k/xAbNwU7d4Eg/s72-c/MAHELA.jpg)
WANAFUNZI ABAKWA NA KUSABABISHWA KUTOFANYA MTHIANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI
![](http://1.bp.blogspot.com/-gJbWw6qkIvY/VCMWDtQ0jaI/AAAAAAAAD1k/xAbNwU7d4Eg/s640/MAHELA.jpg)
11 years ago
Habarileo24 Feb
‘Elimu ya msingi iwe zaidi ya darasa la saba’
MJUMBE mteule wa Bunge Maalumu, Zainab Gama ametaka Katiba itamke elimu ya msingi iwe zaidi ya darasa la saba kuwezesha wanaohitimu kuwa wamevuka umri wa hatari ya kupata mimba za utotoni.
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Watahiniwa darasa la saba zaidi ya 700,000 kuanza mitihani kesho
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
MOblog inawatakia kila la kheri wanafunzi wote wanaofanya mitihani yao ya kumaliza elimu ya msingi leo
Habari watanzania wenzangu, kwa niaba ya MOdewjiblog Team napenda kuchukua nafasi hii kuwatakia kila la kheri wanafunzi wote wa darasa la saba wanaofanya mitihani yao ya mwisho ya kumaliza elimu ya msingi hivi leo.
Mola awape wepesi wa kuelewa vyema mitihani yao.
Elimu bora ndio msingi wa Taifa Letu!
Kila la kheri wanafunzi!
Mungu ibariki Tanzania na wabariki vijana wetu pia.
10 years ago
Habarileo09 Sep
Darasa la saba kuanza mtihani wa mwisho Jumatano
WANAFUNZI 808,111 wa Darasa la Saba kesho wanaanza mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi utakaofanyika kwa siku mbili mfululizo.