MATOKEO YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI MWAKA 2014.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZjgHPMwTw0g/VFs9FZxvRHI/AAAAAAAC9To/zmfsnS7rRG4/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-11-06%2Bat%2B9.19.00%2BAM.png)
ARUSHADAR ES SALAAMDODOMAIRINGAKAGERAKIGOMAKILIMANJAROLINDIMARAMBEYAMOROGOROMTWARAMWANZAPWANIRUKWARUVUMASHINYANGASINGIDATABORATANGAMANYARAGEITAKATAVINJOMBESIMIYU Chagua mkoa hapo Juu na kisha ubonyeze kucheki shule yako
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi06 Nov
MATOKEO YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI MWAKA 2014
Chagua mkoa hapo Juu na kisha ubonyeze kucheki shule yako
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-GLpJ-JFTFYY/VFvaJzg8rfI/AAAAAAAAcsI/n-D51P_Pa_Q/s1600/dd.jpg)
MSHINDI WA TMT 2014 MWANAAFA MWINZAGU AFAULU MITIHANI YAKE YA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI MWAKA 2014
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/77DaykjQvug/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-gJbWw6qkIvY/VCMWDtQ0jaI/AAAAAAAAD1k/xAbNwU7d4Eg/s72-c/MAHELA.jpg)
WANAFUNZI ABAKWA NA KUSABABISHWA KUTOFANYA MTHIANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI
![](http://1.bp.blogspot.com/-gJbWw6qkIvY/VCMWDtQ0jaI/AAAAAAAAD1k/xAbNwU7d4Eg/s640/MAHELA.jpg)
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
Taasisi ya IEP yatoa matokeo ya mtihani wa dini wa darasa la saba mwaka huu
Na Ally Daud-MAELEZO
Jopo la Elimu ya Kiislamu nchini (IEP) limetangaza matokeo ya wanafunzi waliofanya mtihani wa dini hiyo wa kuhitimu darasa la saba Agosti 12 mwaka huu.
Kauli hiyo imetolewa na Afisa Mwandamizi wa jopo hilo Bw. Suleimani Daud alipokuwa akiongea na Waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
Bw. Suleimani amesema kuwa wanafunzi ambao walifanya mtihani huo idadi yao ilikuwa 86,613 kati ya wanafunzi 93,101 waliojisajili nchini kutoka shule 3094 ambazo wanafunzi walifanya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2jkinPjC750/Uw0RWUJiBNI/AAAAAAAFPlk/I0VWtMRTiAI/s72-c/download.jpg)
NECTA yatoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wadau wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne
![](http://4.bp.blogspot.com/-2jkinPjC750/Uw0RWUJiBNI/AAAAAAAFPlk/I0VWtMRTiAI/s1600/download.jpg)
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wadau wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne yaliyotangazwa Februari 21 mwaka huu ambayo ni viwango vya ufaulu, alama ya chini ya ufaulu na ufaulu wa jumla wa mtahiniwa.
Akitoa ufafanuzi huo kwa waandishi wa habari jijini Dar es salaam Kaimu Katibu mtendaji wa Baraza hilo Dakta CHARLES MSONDE amesema viwango vya ufaulu ni makundi ya alama yanayopangwa ili kuweka pamoja...
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
MOblog inawatakia kila la kheri wanafunzi wote wanaofanya mitihani yao ya kumaliza elimu ya msingi leo
Habari watanzania wenzangu, kwa niaba ya MOdewjiblog Team napenda kuchukua nafasi hii kuwatakia kila la kheri wanafunzi wote wa darasa la saba wanaofanya mitihani yao ya mwisho ya kumaliza elimu ya msingi hivi leo.
Mola awape wepesi wa kuelewa vyema mitihani yao.
Elimu bora ndio msingi wa Taifa Letu!
Kila la kheri wanafunzi!
Mungu ibariki Tanzania na wabariki vijana wetu pia.
11 years ago
GPL![](http://i2.wp.com/sammisago.com/wp-content/uploads/2014/06/242.jpg?resize=618%2C153)
MATOKEO NA WAFUNGAJI WA MECHI ZOTE ZA KOMBE LA DUNIA LA MWAKA 2014 NCHINI BRAZIL
10 years ago
TZtoday![](http://www.tanzaniatoday.co.tz/uploads/thumb83.jpg)
AJIRA MPYA YA MAFUNDI SANIFU WA MAABARA NA WALIMU KWA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2014/15
OFISI YA WAZIRI MKUU
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (OWM - TAMISEMI)
AJIRA MPYA YA MAFUNDI SANIFU WA MAABARA NA WALIMU KWA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2014/15
A: Orodha ya Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Ajira Mpya
Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza ajira ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu na mafundi sanifu maabara katika mamlaka ya Serikali za Mitaa kama ifuatavyo:-
i. walimu wa cheti (Daraja IIIA)...