AJIRA MPYA YA MAFUNDI SANIFU WA MAABARA NA WALIMU KWA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2014/15
![](http://www.tanzaniatoday.co.tz/uploads/thumb83.jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (OWM - TAMISEMI)
AJIRA MPYA YA MAFUNDI SANIFU WA MAABARA NA WALIMU KWA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2014/15
A: Orodha ya Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Ajira Mpya
Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza ajira ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu na mafundi sanifu maabara katika mamlaka ya Serikali za Mitaa kama ifuatavyo:-
i. walimu wa cheti (Daraja IIIA)...
TZtoday
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi17 Mar
AJIRA MPYA YA WALIMU WAPYA KWA AJILI YA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2013/14
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA- TAMISEMI
![](https://3.bp.blogspot.com/-WCb8axvmjEU/UyXRn4sRKuI/AAAAAAACrv0/o6DU52j0s1o/s1600/200px-Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
A: OFISI YA WAZIRI MKUU TAMISEMI INATANGAZA ORODHA YA WANACHUO WAHITIMU WA MAFUNZO YA UALIMU KAMA IFUATAVYO:-
i. Walimuwa Cheti (Daraja IIIA) kwa ajili ya shule za msingi 17,928
ii. Walimu wa Stashahada kwa ajili ya shule za sekondari 5,416
iii. Walimu wa Shahada kwa ajili ya shule za sekondari 12,677
Walimu hawa wamepangwa katika Halmashauri na shule za mazoezi za vyuo vya ualimu Tanzania...
10 years ago
Michuzi24 Mar
10 years ago
Habarileo12 Mar
Mafundi sanifu 10,000 kupata ajira Tamisemi
WIZARA ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imepata kibali kutoka menejimenti ya utumishi wa umma wa kuajiri mafundi sanifu zaidi ya 10,000 watakaosaidia uendeshaji wa maabara katika shule mbalimbali za sekondari nchini.
10 years ago
Michuzi12 Apr
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-S4MqRFRPo4w/VXbBDPElPDI/AAAAAAAHdUE/6WC6_IypbFs/s72-c/unnamed%2B%252893%2529.jpg)
MILIONI 40 ZACHANGISHWA KWA UJENZI WA MAABARA YA SHULE YA SEKONDARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-S4MqRFRPo4w/VXbBDPElPDI/AAAAAAAHdUE/6WC6_IypbFs/s640/unnamed%2B%252893%2529.jpg)
Na Beatrice Lyimo- Maelezo
Bahari Rotary Klabu ikishirikiana na HANSA GROUP wamefanya harambee ya tano kwa ajili ya kuchangia Shule ya Sekondari Mtakuja iliyopo Kunduchi jijini Dar es Salaam.
Harambee hiyo iliyofanyika katika Viwanja vya Gymkhana kwa kuwa shindanisha washiriki kucheza...
10 years ago
MichuziTPDC YACHANGIA UJENZI WA MAABARA KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA MTWARA VIJIJINI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lypTsg4xuL0/VFoGMedM3GI/AAAAAAAGvmU/I9zr7wHnENM/s72-c/unnamed.jpg)
DCB yatoa msaada wa vifaa vya maabara kwa ajili ya Shule ya Sekondari Kinyerezi
![](http://2.bp.blogspot.com/-lypTsg4xuL0/VFoGMedM3GI/AAAAAAAGvmU/I9zr7wHnENM/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Nov
Tigo kusaidia mpango wa kujenga na kutoa vifaa kwa maabara ya shule za sekondari wilayani Mtwara
Meneja wa Tigo kanda ya kusini, Bw.Daniel Mainoya (katikati) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu harambee inayojulikana kama Tigo Mtwara Benefit Gala kwa ajili ya ujenzi wa maabara katika wilaya ya Mtwara, kushoto kwake ni mkuu wa wilaya hiyo,Bw. Wilman Ndile na kulia ni Meneja maendeleo ya bishara kampuni ya 361 Degrees,Hamis Omary.
Tigo Tanzania leo imetangaza kwamba itasaidia kujenga na kuchangia vifaa katika maabara ya shule za sekondari ambazo zimekwisha jengwa wilayani Mtwara....