Tigo kusaidia mpango wa kujenga na kutoa vifaa kwa maabara ya shule za sekondari wilayani Mtwara
Meneja wa Tigo kanda ya kusini, Bw.Daniel Mainoya (katikati) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu harambee inayojulikana kama Tigo Mtwara Benefit Gala kwa ajili ya ujenzi wa maabara katika wilaya ya Mtwara, kushoto kwake ni mkuu wa wilaya hiyo,Bw. Wilman Ndile na kulia ni Meneja maendeleo ya bishara kampuni ya 361 Degrees,Hamis Omary.
Tigo Tanzania leo imetangaza kwamba itasaidia kujenga na kuchangia vifaa katika maabara ya shule za sekondari ambazo zimekwisha jengwa wilayani Mtwara....
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Cw5v9eOZUDA/VX6YWG_LxuI/AAAAAAAC6rM/YsCRE0zuycY/s72-c/Picture%2B1.jpg)
TIPER YASAIDIA VIFAA VYA MAABARA VYENYE THAMANI YA SH. ML 20/- KWA SEKONDARI WILAYANI RUFIJI
Kampuni ya kuhifadhi mafuta nchini,...
10 years ago
MichuziTPDC YACHANGIA UJENZI WA MAABARA KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA MTWARA VIJIJINI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lypTsg4xuL0/VFoGMedM3GI/AAAAAAAGvmU/I9zr7wHnENM/s72-c/unnamed.jpg)
DCB yatoa msaada wa vifaa vya maabara kwa ajili ya Shule ya Sekondari Kinyerezi
![](http://2.bp.blogspot.com/-lypTsg4xuL0/VFoGMedM3GI/AAAAAAAGvmU/I9zr7wHnENM/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
DC Makonda atembelea na kukagua miradi ya maabara shule za sekondari wilayani kwake
Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akisaini kitabu cha wageni katika shule ya sekondari Turian iliyopo katika wilaya ya Kinondoni wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya Maabara katika sekondari za Wilaya yake. Aliyesimama nyuma yake ni Mkuu wa shule ya sekondari Turiani Mwalimu Beatrice Mhando. (PICHA ZOTE NA CATHBERT KAJUNA WA KAJUNASON BLOG).
Mkuu wa shule ya sekondari Turiani Mwalimu Beatrice Mhando akitoa maelezo machache juu ya shule yake mbele ya Mkuu wa Wilaya...
10 years ago
VijimamboCHIKAWE AKABIDHI MIFUKO YA SARUJI 900 WILAYA YA NACHINGWEA KUJENGA MAABARA SHULE ZA SEKONDARI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-S4MqRFRPo4w/VXbBDPElPDI/AAAAAAAHdUE/6WC6_IypbFs/s72-c/unnamed%2B%252893%2529.jpg)
MILIONI 40 ZACHANGISHWA KWA UJENZI WA MAABARA YA SHULE YA SEKONDARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-S4MqRFRPo4w/VXbBDPElPDI/AAAAAAAHdUE/6WC6_IypbFs/s640/unnamed%2B%252893%2529.jpg)
Na Beatrice Lyimo- Maelezo
Bahari Rotary Klabu ikishirikiana na HANSA GROUP wamefanya harambee ya tano kwa ajili ya kuchangia Shule ya Sekondari Mtakuja iliyopo Kunduchi jijini Dar es Salaam.
Harambee hiyo iliyofanyika katika Viwanja vya Gymkhana kwa kuwa shindanisha washiriki kucheza...
5 years ago
MichuziNMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA SHULE VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 15 KWA SHULE TATU ZA SEKONDARI JIJINI DAR
Hafla ya kukabidhi msaada huo ilifanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Kibamba, ambako Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Badru Idd alimkabidhi msaada huo Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Kisare Makori (aliyekuwa mgeni rasmi).
Alisema Kibamba Sekondari yenye...
10 years ago
Habarileo15 Nov
Tigo yachangia maabara sekondari
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Tigo, imetangaza kuchangia vifaa katika maabara ya shule za sekondari ambazo zimekwishajengwa wilayani Mtwara.
10 years ago
TZtoday![](http://www.tanzaniatoday.co.tz/uploads/thumb83.jpg)
AJIRA MPYA YA MAFUNDI SANIFU WA MAABARA NA WALIMU KWA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2014/15
OFISI YA WAZIRI MKUU
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (OWM - TAMISEMI)
AJIRA MPYA YA MAFUNDI SANIFU WA MAABARA NA WALIMU KWA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2014/15
A: Orodha ya Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Ajira Mpya
Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza ajira ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu na mafundi sanifu maabara katika mamlaka ya Serikali za Mitaa kama ifuatavyo:-
i. walimu wa cheti (Daraja IIIA)...