MOblog inawatakia kila la kheri wanafunzi wote wanaofanya mitihani yao ya kumaliza elimu ya msingi leo
Habari watanzania wenzangu, kwa niaba ya MOdewjiblog Team napenda kuchukua nafasi hii kuwatakia kila la kheri wanafunzi wote wa darasa la saba wanaofanya mitihani yao ya mwisho ya kumaliza elimu ya msingi hivi leo.
Mola awape wepesi wa kuelewa vyema mitihani yao.
Elimu bora ndio msingi wa Taifa Letu!
Kila la kheri wanafunzi!
Mungu ibariki Tanzania na wabariki vijana wetu pia.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV09 Sep
Hali ya Wanafunzi wa darasa la 7 wanaofanya mitihani yao ya mwisho
Ikiwa ni siku ya kwanza ya watahiniwa wa Darasa la Saba kufanya mtihani wao wa kuhitimu elimu ya msingi nchi nzima, baadhi ya Shule za msingi jijini Dar Es Salaam zimeoneka kuwa katika hali ya utulivu na amani .
Wanafunzi wameendelea na maandalizi ya mtihani huo, wengine wakiwa wamekaa katika makundi wakijadiliana namna walivyoanza mtihani wengi wao wakiwa na matarajio ya kufanza vyema katika mitihani hiyo.
StarTv imepita katika Shule ya Msingi Kinondoni iliyopo katika Manispaa ya...
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-GLpJ-JFTFYY/VFvaJzg8rfI/AAAAAAAAcsI/n-D51P_Pa_Q/s1600/dd.jpg)
MSHINDI WA TMT 2014 MWANAAFA MWINZAGU AFAULU MITIHANI YAKE YA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI MWAKA 2014
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-gJbWw6qkIvY/VCMWDtQ0jaI/AAAAAAAAD1k/xAbNwU7d4Eg/s72-c/MAHELA.jpg)
WANAFUNZI ABAKWA NA KUSABABISHWA KUTOFANYA MTHIANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI
![](http://1.bp.blogspot.com/-gJbWw6qkIvY/VCMWDtQ0jaI/AAAAAAAAD1k/xAbNwU7d4Eg/s640/MAHELA.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/77DaykjQvug/default.jpg)
9 years ago
Press14 Nov
TAASISI ZA ELIMU ZAHIMIZWA KUWATHAMINI WAHITIMU WANAOFANYA VIZURI KATIKA MASOMO YAO.
Mwanafunzi wa mwaka 3 wa Chuo cha CBE Bw.Wilson Magembe anayesomea Utawala wa BIashara akitoa ufafanuzi kwa wageni mbalimbali waliotembelea banda la Maonesho la Utawala wakiongozwa na Mkuu wa Chuo hicho Prof.Emanuel Mjema (kulia)wakati wa hafla ya Utoaji wa Tuzo na Zawadi mbalimbali kwa wahitimu wa chuo hicho mwaka 2015.
Picha na 2. Bw. James Mkuwa – Muhadhiri Msaidizi Idara ya uongozi wa Biashara CBE akitoa ufafanuzi kwa wageni mbalimbali kuhusu elimu ya Biashara wanayoitoa...
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Taasisi za Elimu zahimizwa kuwathamini wahitimu wanaofanya vizuri katika masomo yao!
Mwanafunzi wa mwaka 3 wa Chuo cha CBE Bw. Wilson Magembe anayesomea Utawala wa BIashara akitoa ufafanuzi kwa wageni mbalimbali waliotembelea banda la Maonesho la Utawala wakiongozwa na Mkuu wa Chuo hicho Prof. Emanuel Mjema (kulia)wakati wa hafla ya Utoaji wa Tuzo na Zawadi mbalimbali kwa wahitimu wa chuo hicho mwaka 2015.
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Kila la kheri Yanga leo
JANA tuliandika tahariri kuwatakia kila la kheri wawakilishi pekee katika michuano ya soka ya kimataifa, mabingwa wa soka nchini, Yanga, ambao leo wana kibarua kigumu cha kuwafunga mabingwa watetezi wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ZjgHPMwTw0g/VFs9FZxvRHI/AAAAAAAC9To/zmfsnS7rRG4/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-11-06%2Bat%2B9.19.00%2BAM.png)
MATOKEO YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI MWAKA 2014.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZjgHPMwTw0g/VFs9FZxvRHI/AAAAAAAC9To/zmfsnS7rRG4/s1600/Screen%2BShot%2B2014-11-06%2Bat%2B9.19.00%2BAM.png)
ARUSHADAR ES SALAAMDODOMAIRINGAKAGERAKIGOMAKILIMANJAROLINDIMARAMBEYAMOROGOROMTWARAMWANZAPWANIRUKWARUVUMASHINYANGASINGIDATABORATANGAMANYARAGEITAKATAVINJOMBESIMIYU Chagua mkoa hapo Juu na kisha ubonyeze kucheki shule yako
10 years ago
Michuzi06 Nov
MATOKEO YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI MWAKA 2014
Chagua mkoa hapo Juu na kisha ubonyeze kucheki shule yako