sherehe za miaka hamsini ya Jamhuri ya Muungano waTanzania kwa muda wa siku mbili kuanzia tarehe 25 hadi 26 Aprili, 2014 nchini Ujerumani
![](http://4.bp.blogspot.com/-qV1zkeXzhnk/U0echaCdJxI/AAAAAAAFZ6g/GTV4ObKqlsA/s72-c/New+Picture.png)
KARIBUNI WOTE
Kama mnavyofahamu kuwa siku ya tarehe 26 Aprili, 2014 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatimiza miaka hamsini (50), kwa lugha nyingine ni “Golden Jubilee”.
Katika kuadhimisha sherehe hii kubwa na muhimu, Ubalozi umeamua kuandaa Kongamano la Biashara (Investment Forum) kwa siku ya tarehe 25 Aprili, 2014 pamoja na siku ya terehe 26 Aprili, 2014 kuwa siku ya mdahalo (Scholars' day) mjini Berlin, Ujerumani.
Madhumuni makubwa ya Kongamano hili ni kuwatangazia na kuwaonyesha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi25 Apr
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UhcQEJn1XYQ/VHn9rV-JTnI/AAAAAAAG0Qk/TtyPew4En98/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WAKATI WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO WA 16 NA 17 WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 29 NOVEMBA, 2014
Mheshimiwa Spika,1. Leo tunahitimisha shughuli za Mkutano wa Kumi na Sita na Kumi na Saba wa Bunge lako Tukufu. Ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu mwenye wingi wa Rehema kwa kutufikisha salama siku ya leo.
Mheshimiwa Spika,2. Mkutano huu ulijumuisha kujadili kazi kubwa zifuatazo:
Kwanza: Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2015/2016;
Pili:Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi wa Mwaka 2014 [The Tax Administration...
10 years ago
Michuzi22 Apr
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-X2DNaxarANM/VFUHYeseI1I/AAAAAAAGun0/dCwZg7UqNpw/s72-c/images.jpg)
MDAHALO WA KUJADILI UMUHIMU WA KUZINGATIA MAMBO YA MSINGI KATIKA KATIBA INAYOPENDEKEZWA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA UTAKAOFANYIKA KWENYE HOTELI YA BLUE PEARL, UBUNGO PLAZA DAR ES SALAAM JUMAPILI TAREHE 2 NOVEMBA 2014 KUANZIA SAA 9.00 MCHANA MPAKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-X2DNaxarANM/VFUHYeseI1I/AAAAAAAGun0/dCwZg7UqNpw/s1600/images.jpg)
Lengo ni kutoa fursa kwa washiriki wa mdahalo na wananchi kwa ujumla kujielimisha kuhusu...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-l007pmAjufo/VfzMHtLJfkI/AAAAAAAD7wc/VKZIzBuGhWc/s72-c/eid-grand-mosque-in-mecca.jpg)
SHEREHE ZA EID AL HAJJ NEW YORK SIKU YA SEPTEMBER 24 SIKU YA ALHAMIS KUANZIA SAA 7 MCHANA HADI 4 USIKU
![](http://3.bp.blogspot.com/-l007pmAjufo/VfzMHtLJfkI/AAAAAAAD7wc/VKZIzBuGhWc/s640/eid-grand-mosque-in-mecca.jpg)
Jumuiya ya Waislam Watanzania wa NY, NJ, CT MA, PA na DE (NEMTA) ina furaha kuwaalika Watanzania wote wanaishio katika majimbo tajwa kuhudhuria tafrija ya kusherehekea Eid Al Hajj. Ndugu waalikwa tunawaomba kufika kwa wakati ili tuweze kufaidika na kuwafaidisha watoto wetu kusherehekea siku hii adhimu. Kuhudhuria kwako itakuwa ni ushirikiano mkubwa katika kufanikisha sherehe hii. Mahala husika ambapo sherehe itafanyika ni Madina Hall Kuanzia saa 7 Mchana hadi 4 usiku Watanzania wote...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/77DaykjQvug/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QvqAwdkCol0/VDLPvPv4fFI/AAAAAAAAk7o/FmRxoqrS0hU/s72-c/4.jpg)
Tafrija ya Miaka 24 ya Jamhuri ya Muungano wa Ujerumani yafana
![](http://1.bp.blogspot.com/-QvqAwdkCol0/VDLPvPv4fFI/AAAAAAAAk7o/FmRxoqrS0hU/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2VVMtCawmlA/VDLPyOYBXtI/AAAAAAAAk70/9Gu6hKjk6jc/s1600/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3vCHxTpwauk/VDLPxQoysMI/AAAAAAAAk7w/aI-cdxnObMs/s1600/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wLpsnvXIIvs/VDLP4DiR-FI/AAAAAAAAk8A/Knq5tZFW2h8/s1600/7.jpg)
11 years ago
Michuzi01 Aug