watahiniwa 2,175 washindwa kufaulu mitihani ya Bodi ya Uhasibu na Ukaguzi (NBAA)
Na Chalila Kibuda na Globu ya Jamii
Imeelezwa kuwa watahiniwa 2,175 sawa na asilimia 46.9 wameshindwa kufaulu mitihani ya Bodi ya Uhasibu na Ukaguzi (NBAA).
Katika taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa NBAA,Pius Maneno ilisema kuwa mitihani hiyo ya kwanza katika mfumo mpya wa elimu wa mafunzo unaozingatia weledi na matokeo hayo hayalinganishwi na matokeo ya nyuma ilifanyika katika mfumo wa kukazia maarifa.
Kwa mujinu wa Maneno,watahiniwa waliojisajili ni 6,464 kati ya hao 678 sawa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo03 Jul
Asilimia 30 ya watahiniwa NBAA wafaulu
BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) imesema asilimia 30.2 ya watahiniwa waliofanya mitihani ya Bodi wamefaulu.
11 years ago
Mwananchi19 Jul
NBAA yabadili mitalaa kozi za uhasibu
9 years ago
StarTV03 Nov
Watahiniwa kidato cha nne waanza mitihani
Wanafunzi wa kidato cha nne nchini wameanza mitihani ya Taifa ya kuhitimu elimu ya sekondari huku hali ya utulivu ikitawala katika vituo vyote vya kufanyia mitihani hiyo.
Mitihani hiyo imeanza Novemba 2 hadi 27 na jumla ya watahiniwa 4,634 ndiyo wanaofanya mitihani hiyo huku 960 wakiwa ni watahiniwa wa kujitegemea.
Startv imetembelea katika baadhi ya shule ambapo mitihani hiyo inafanyika na kushuhudia wanafunzi wakiwa wanajisomea kwa ajili ya kujikumbusha kile walichofundishwa.
Monica...
10 years ago
Mwananchi12 Dec
Watahiniwa kidato cha nne kuanza mitihani rasmi
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Watahiniwa darasa la saba zaidi ya 700,000 kuanza mitihani kesho
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Wahasibu 813 wafaulu mitihani ya NBAA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2XOv1Vybj2E/VDF8g1KgskI/AAAAAAAGoEU/XSLm2GmNIZI/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
Mahafali ya 36 ya Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi (NBAA) yafana
![](http://2.bp.blogspot.com/-2XOv1Vybj2E/VDF8g1KgskI/AAAAAAAGoEU/XSLm2GmNIZI/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sS12c9XxDdI/VDF8g_f-C6I/AAAAAAAGoEg/XOu311ZrtxY/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
10 years ago
MichuziGEPF WASAINI MKATABA NA BODI YA WAHASIBU NA WAKAGUZI (NBAA) WA UWEKEZAJI WA PAMOJA KATIKA ENEO LA BUNJU MJINI DAR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-48LrqjpX1TI/XmN7GqXMBzI/AAAAAAALhsw/jZD9K0bIaT8opdOBYo8XmfrEG6k-rei3ACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_4751-768x512.jpg)
BODI YA USHAURI TAA YARIDHISHWA NA UKAGUZI WA CORONA TB3
![](https://1.bp.blogspot.com/-48LrqjpX1TI/XmN7GqXMBzI/AAAAAAALhsw/jZD9K0bIaT8opdOBYo8XmfrEG6k-rei3ACLcBGAsYHQ/s640/DSC_4751-768x512.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Dkt Masatu Chiguma akipimwa joto la mwili na Afisa Afya, Yusta Malisa wakati bodi hiyo ilipotembelea Jengo la Tatu la Abiria la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA-TB3), kwa ziara ya kikazi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_4819.jpg)
Wajumbe wa Bodi ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), wakiangalia moja ya begi likipita kwenye mkanda ikiwa ni hatua ya tatu kwa ukaguzi kabla halijafika hatua ya mwisho...