Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BODI YA USHAURI TAA YARIDHISHWA NA UKAGUZI WA CORONA TB3


Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Dkt Masatu Chiguma akipimwa joto la mwili na Afisa Afya, Yusta Malisa wakati bodi hiyo ilipotembelea Jengo la Tatu la Abiria la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA-TB3), kwa ziara ya kikazi.
Wajumbe wa Bodi ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), wakiangalia moja ya begi likipita kwenye mkanda ikiwa ni hatua ya tatu kwa ukaguzi kabla halijafika hatua ya mwisho...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

BODI YA USHAURI TAA YAIANGUKIA SERIKALI ISAIDIE TAA KATIKA KIPINDI HIKI CHA JANGA LA COVID 19





Na Bahati Mollel,TAA

BODI ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), imeiangukia serikali iisaidie TAA kuigharama huduma mbalimbali za uendeshaji kwenye viwanja vya ndege kutokana na kuathiriwa kwa asilimia 100 na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID19), inayoambukizwa na virusi vya corona.

Mwenyekiti wa MAB, Dkt. Masatu Chiguma, ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki kwenye kikao cha dharura cha Bodi hiyo, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la Watu...

 

5 years ago

CCM Blog

BODI YA USHAURI TAA YAIANGUKIA SERIKALI ISAIDIE TAA KATIKA KIPINDI HIKI CHA JANGA LA COVID 19



Na Bahati Mollel,TAA
BODI ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), imeiangukia serikali iisaidie TAA kuigharama huduma mbalimbali za uendeshaji kwenye viwanja vya ndege kutokana na kuathiriwa kwa asilimia 100 na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID19), inayoambukizwa na virusi vya corona.
Mwenyekiti wa MAB, Dkt. Masatu Chiguma, ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki kwenye kikao cha dharura cha Bodi hiyo, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la Watu Mashuhuri...

 

10 years ago

Vijimambo

BODI YA USHAURI YA MAMLAKA YA HALI YA HEWA YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI MBALIMBALI JIJINI MWANZA

Mhandisi wa huduma za Radar Bw. Lemmy Mganga akitoa maelezo ya eneo la mradi kwa wajumbe wa Bodi ya Ushauri ya TMA walipotembelea mradi huo mkoani Mwanza katika milima ya Kiseke-Ilemela : Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya TMA Bw. Morisson Mlaki akipata maelezo ya kina kutoka kwa mtaalam toka UfaransaMhandisi wa huduma za Radar Bw. Lemmy Mganga akiendelea kutoa maelezo zaidi ya utendaji kazi wa radar ya hali ya hewa iliyopo MwanzaMwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya TMA Bw. Morisson Mlaki pamoja...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA BODI ZA PAROLE NCHINI

Mwenyekiti wa Parole Taifa, Mhe. Dkt. Augustino Mrema akisoma taarifa fupi kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi azindue Bodi ya Taifa Parole leo Mei 14, 2020 jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mhe. Hamad Masauni(Mb) akitoa hotuba katika hafla fupi ya uzinduzi wa Bodi ya Taifa Parole Taifa, leo Mei 14, 2020 katika Ukumbi wa Chuo cha Mipango, jijini Dodoma.Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Suleiman Mzee ambaye pia ni Katibu wa Bodi ya Taifa Parole akitoa maelezo...

 

5 years ago

Michuzi

BODI YA NISHATI VIJIJINI YAKAGUA UTEKELEZAJI WA MRADI WA TAA ZA BARABARANI WILAYA YA RUANGWA



Kamati ya Ufundi ya Bodi ya Nishati Vijijini imekagua utekelezaji wa mradi wa kujenga taa za barabarani katika Halimashauri ya Wilaya ya Ruangwa na kushauri Halimashauri hiyo kuchukua tahadhari ya usalama wa nguzo za taa hizo.

Ushauri huo umetolewa tarehe 03/04/2020 na Mwenyekiti wa Kamati ya Ufundi ya Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhandisi Styden Rwebangira wakati wa ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya kusambaza nishati vijijini katika Mkoa wa Lindi. “Mfikirie jinsi gani ya kukinga...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Seif azindua bodi ya ushauri huduma za afya

WAJUMBE wapya wa bodi ya ushauri ya uongozi wa hospitali binafsi, wametakiwa kuhakikisha sheria inayosimamia vituo vya kutolea huduma za afya inafanyiwa maboresho ili usimamizi uwe na ufanisi zaidi. Akizungumza...

 

10 years ago

GPL

MAMA LORAA: BONGO MOVIES IMEKOSA BODI YA USHAURI

Deogratius Mongela  
MLEZI wa Klabu ya Bongo Movies, Catherine Ambakisye ‘Mama Loraa’ amefunguka kuwa matatizo na mifarakano inayotokea ndani ya klabu hiyo ni kutokana na kukosa bodi ya ushauri. Mlezi wa Klabu ya Bongo Movies, Catherine Ambakisye ‘Mama Loraa’. Akilonga na Uwazi, Mama Loraa alisema wasanii mbalimbali ambao waliwahi kuiongoza klabu hiyo miaka ya nyuma ndiyo tatizo na kwamba Bongo Movies...

 

10 years ago

Michuzi

BODI YA TPDC YAKAMILISHA UKAGUZI WA MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA

Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania ikiongozwa na Mwenyekiti wake Bw. Michael Mwanda, imekamilisha ziara ya kukagua miundombinu ya kuchakata gesi asilia na bomba la gesi asilia katika Mikoa ya Lindi, Mtwara na Dar es salaam. Katika ziara hiyo Bodi ya TPDC ilipata fursa ya kujionea na kufanya ukaguzi wa hatua za mwisho za ujenzi wa miundombinu hiyo.Moja ya kisima gesi asili kinacho endelea kufanyiwa utafiti, kilichopo kisiwa cha Songo Songo ambacho kinacho endeshwa na...

 

10 years ago

Michuzi

CAG AONGOZA KIKAO CHA BODI YA UKAGUZI YA UMOJA WA MATAIFA

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali na ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Ukaguzi ya Umoja wa Mataifa, Bw.Mussa Juma Assad akizungumza wakati wa hitimisho la mkutano wa siku mbili wa Bodi hiyo uliofanyika hapa Umoja wa Mataifa kuanzia Julai 22-23. Kushoto kwake ni Bw. Fransis Kitauli, Mkurugenzi wa Ukauzi wa Nje na Mwenyekiti wa Kamati ya Operesheni za Ukaguzi ( AOC) Akiwa Mwenyekiti wa AOC Bw. Kitauli ambaye alishika nafasi hiyo tangu mwaka 2012 amefanikisha utoaji wa ripoti za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani