Wahasibu 813 wafaulu mitihani ya NBAA
Watahiniwa 813 ambao ni sawa na asilimia 14.3, wamefaulu mitihani ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) iliyofanyika Novemba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo03 Jul
Asilimia 30 ya watahiniwa NBAA wafaulu
BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) imesema asilimia 30.2 ya watahiniwa waliofanya mitihani ya Bodi wamefaulu.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2XOv1Vybj2E/VDF8g1KgskI/AAAAAAAGoEU/XSLm2GmNIZI/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
Mahafali ya 36 ya Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi (NBAA) yafana
![](http://2.bp.blogspot.com/-2XOv1Vybj2E/VDF8g1KgskI/AAAAAAAGoEU/XSLm2GmNIZI/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sS12c9XxDdI/VDF8g_f-C6I/AAAAAAAGoEg/XOu311ZrtxY/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
10 years ago
MichuziGEPF WASAINI MKATABA NA BODI YA WAHASIBU NA WAKAGUZI (NBAA) WA UWEKEZAJI WA PAMOJA KATIKA ENEO LA BUNJU MJINI DAR
10 years ago
Michuziwatahiniwa 2,175 washindwa kufaulu mitihani ya Bodi ya Uhasibu na Ukaguzi (NBAA)
Imeelezwa kuwa watahiniwa 2,175 sawa na asilimia 46.9 wameshindwa kufaulu mitihani ya Bodi ya Uhasibu na Ukaguzi (NBAA).
Katika taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa NBAA,Pius Maneno ilisema kuwa mitihani hiyo ya kwanza katika mfumo mpya wa elimu wa mafunzo unaozingatia weledi na matokeo hayo hayalinganishwi na matokeo ya nyuma ilifanyika katika mfumo wa kukazia maarifa.
Kwa mujinu wa Maneno,watahiniwa waliojisajili ni 6,464 kati ya hao 678 sawa...
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Upandikishaji wa uume wafaulu A.Kusini
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Nusu wafaulu darasa la saba
10 years ago
StarTV15 Feb
Asilimia 58.25 ya wanafunzi wafaulu Kidato cha Nne.
Josephine Mwaiswaga,
Dar Es Salaam
Baraza la Mitihani la Taifa NECTA limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2014 ambapo jumla ya watahiniwa 235,227 sawa na asilimia 58.25 wamefaulu.
Kiwango cha ufulu kimeonekana kupanda kwa asilimia 10.08 ikilinganiwa na matokeo ya Mwaka jana.
Ufaulu kati ya wasichana na wavulana haujatofuatiana sana ikilinganishwa na kipindi cha nyumba ambapo kati ya watahiniwa wote 196,805 waliofanya mtihani huo, jumla ya wasichana 89,845 sawa na...
11 years ago
BBCSwahili24 Feb
Tanzania:Kidato cha 4 wafaulu zaidi 2013
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Maafali ya 36 ya NBAA yafana
Baadhi ya wahitimu wa NBAA wakiwa katika maandamano ya kitaaluma wakati wa maafali ya 36 yaliyofanyika katika kituo cha NBAA Mbweni jijini Dar es Salaam jana ambapo jumla ya wahitimu 855 walipata Degrii ya juu ya uhasibu (CPA) na wahitimu 82 walitunukiwa cheti cha utunzaji wa hesabu (ATEC.)
Mgeni rasmi ambaye pia ni Naibu Waziri wa Viwanda Mhe. Janeth Mbene akiongea na wahitimu (hawapo pichani) wakati wa maafali ya 36 yaliyofanyika katika kituo cha NBAA Mbweni jijini Dar es Salaam jana.