Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania:Kidato cha 4 wafaulu zaidi 2013

Kiwango cha kufaulu kwa wanafunzi wa kidato cha nne waliofanya mitihani mwaka 2013 kimeongezeka zaidi ikilinganishwa na 2012.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Asilimia 58.25 ya wanafunzi wafaulu Kidato cha Nne.

Josephine Mwaiswaga,

Dar Es Salaam

 

Baraza la Mitihani la Taifa NECTA limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2014 ambapo jumla ya watahiniwa 235,227 sawa na asilimia 58.25 wamefaulu.

 

Kiwango cha ufulu kimeonekana kupanda kwa asilimia 10.08 ikilinganiwa na matokeo ya Mwaka jana.

 

Ufaulu kati ya wasichana na wavulana haujatofuatiana sana ikilinganishwa na kipindi cha nyumba ambapo kati ya watahiniwa wote 196,805 waliofanya mtihani huo, jumla ya wasichana 89,845 sawa na...

 

10 years ago

Michuzi

KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA AHMED .Z. MSANGI-SACP ANAWATANGAZIA WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA MWAKA 2014 NA KIDATO CHA NNE MWAKA 2013 WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI BAADA YA USAILI KUKAMILIKA

Maelekezo Muhimu.

Wahitimu wa kidato cha sita mwaka 2014, kidato cha nne mwaka 2013 na JKT Mafinga, Mlale, Ruvu, Mgambo, Bulombola, Kanembwa, Itende, Nachingwea, Mbweni, Maramba, Chita, Makutupola, Mtabila, Msange, Mgulani, Oljoro, Rwankoma na Kimbiji wamechaguliwa kujiunga na mafunzo ya awali ya Jeshi la Polisi.

Wahitimu hawa waliochaguliwa wanatakiwa kuripoti tarehe 28/11/2014 kwa Makamanda wa Polisi wa Mikoa kama ilivyooneshwa kwenye jedwali hapa chini ili...

 

11 years ago

GPL

PATA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013

KUONA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013 INGIA: HAPA

 

10 years ago

Mwananchi

Bryan: Jina linalopendwa zaidi mwaka 2013/14 Tanzania

Baada ya miaka michache, majina ya Bryan, kwa wanaume, na Rahma kwa wasichana, yatakuwa yakisikika kila kona nchini kutokana na wazazi wengi kuyateua kwa ajili ya kuwabatiza watoto wao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Matokeo kidato cha 6 Tanzania

Kwa mujibu wa bodi ya mitihani wanafunzi mwaka huu wamefanya vyema ikilinganishwa na mwaka jana. Je ni kiini macho?

 

10 years ago

Michuzi

Maofisa wanane wa Benki Kuu Tanzania (BOT) kizimbani kwa mashitaka 14 ya kufoji vyeti vya kidato cha nne

Habari na Mwene Said wa Globu ya Jamii  Maofisa wanane wa Benki Kuu Tanzania (BOT) wamekutwa na kesi ya kujibu na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salam, dhidi ya mashitaka 14 ya kughushi na kuwasilisha vyeti vya kidato cha nne vilivyoghushiwa.  Uamuzi huo ulitolewa na Hakimu Mkazi Nyigulila Mwaseba baada ya upande wa Jamhuri kufunga ushahidi wao, dhidi ya washtakiwa Justina Mungai, Christina Ntemi, Siamini Kombakono, Janeth Mahengena Beatha Masawe, Jacquiline Juma, Philimina...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani