Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bryan: Jina linalopendwa zaidi mwaka 2013/14 Tanzania

Baada ya miaka michache, majina ya Bryan, kwa wanaume, na Rahma kwa wasichana, yatakuwa yakisikika kila kona nchini kutokana na wazazi wengi kuyateua kwa ajili ya kuwabatiza watoto wao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Hadi kufikia mwaka 2013, hii ndio ilikuwa list ya mastaa wa soka wanaopendwa zaidi duniani …

Mtu wangu wa nguvu najua unafahamu kama mchezo wa soka ndio mchezo unaoongoza kwa kupendwa duniani. Katika soka kuna list ya wachezaji ambao wanapendwa na mashabiki kutokana na vitu ambavyo wanafanya uwanjani. Imenifikia TOP 5 ya mastaa wa soka wanaoongoza kwa kupendwa duniani. Lionel Messi ambaye anaichezea klabu ya FC Barcelona ya Hispania ndio anatufungulia list […]

The post Hadi kufikia mwaka 2013, hii ndio ilikuwa list ya mastaa wa soka wanaopendwa zaidi duniani … appeared first on...

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE ACHAGULIWA KUWA KIONGOZI MWENYE MCHANGO MKUBWA ZAIDI KATIKA MAENDELEO BARANI AFRIKA KWA MWAKA 2013

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe akiongea na maafisa na wageni mbalimbali katika ubalozi wa Tanzania nchini Marekani  mjini Washington DC, Marekani, ambako atapokea tuzo ya Africa’s Most Impactful Leader of the Year kwa niaba ya Mhe. Jakaya Mrisho
Kikwete, Rais wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania mjini humo leo April 9, 2014. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tanzania:Kidato cha 4 wafaulu zaidi 2013

Kiwango cha kufaulu kwa wanafunzi wa kidato cha nne waliofanya mitihani mwaka 2013 kimeongezeka zaidi ikilinganishwa na 2012.

 

11 years ago

Mwananchi

Mambo yaliyotikisa anga ya siasa za Tanzania mwaka 2013

Leo tunaanza mwaka mpya, huku tukiwa na kumbukumbu ya mambo yaliyotikisa anga za siasa hapa nchini katika mwaka 2013 kama yafuatayo:

 

11 years ago

GPL

VODACOM MWAJIRI BORA TANZANIA MWAKA 2013‏

Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilal (wa pili kushoto) akikabidhi kwa Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim kombe la Mwajiri Bora wa Mwaka 2013 mara baada ya kampuni hiyo kutangazwa kuwa mwajiri bora wa mwaka 2013 iliyotolewa na Chama Cha Waajiri Tanzania (ATE). Nyuma ya Makamu wa Rais ni Makamu Mwenyekiti wa ATE Zuhura Sinare. Wengine pichani ni wafanyakazi wa Vodacom Tuzo hizo zimetolewa Wakati wa chakula cha usiku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani