Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mambo yaliyotikisa anga ya siasa za Tanzania mwaka 2013

Leo tunaanza mwaka mpya, huku tukiwa na kumbukumbu ya mambo yaliyotikisa anga za siasa hapa nchini katika mwaka 2013 kama yafuatayo:

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mambo 4 yaliyotikisa 2013

Katika harakati za Mapinduzi ya kiuchumi nchini hayawezi kuepuka matumizi ya rasilimali watu, maliasili na rasrimali za taifa, Miundombinu endelevu, ushindani wa kibiashara, vyanzo vya ukusanyaji mapato na njia nyingine.

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo yaliyotikisa uchumi wa Tanzania 2014

 ‘Fumbo’ pekee lililokosa majibu mpaka sasa kwa mtanzania maskini ni pale anapotazama utofauti mkubwa wa takwimu kati ya umaskini wake na ukuaji uchumi wa Taifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Matukio yaliyotikisa na kuzua gumzo 2013

>Zimebaki siku chache kabla ya kuuaga mwaka 2013, mwaka ambao umekuwa na matukio mengi yaliyoitikisa nchi ya Tanzania, huku mengine yakiipa sifa kubwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo kumi yaliyotikisa Bunge la Katiba

Hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha, ni usemi wa zamani wa wahenga wenye maana ya kila jambo lenye mwanzo, lazima litakuwa na mwisho.

 

11 years ago

Michuzi

MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Fadhili Manongi na Mkurugenzi Msaidizi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga wa China (CAAC)Li Jian wapili kutoka (kulia) wakisaini mkataba wa ushirikiano wa maswala ya Usafiri wa Anga , ambapo Ndege zinazotengenezwa nchini China zitaruhusiwa kutua katika Anga ya Tanzania. Mkataba huo uliosainiwa jijinia Dar es Salaam, utawawezesha Mamlaka hiyo hapa nchini kuweza kujenga kwa wataalam kuweza kudhibiti Ubora wa Ndege hizo...

 

11 years ago

Michuzi

MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATBA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA

   Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga  Tanzania (TCAA) Fadhili  Manongi  na  Mkurugenzi Msaidizi wa  Mamlaka ya Usafiri wa  Anga wa China (CAAC)Li Jian  wapili kutoka (kulia) wakisaini mkataba wa  ushirikiano wa maswala ya Usafiri wa Anga , ambapo  Ndege zinazotengenezwa nchini China  zitaruhusiwa  kutua katika Anga ya Tanzania. Mkataba huo uliosainiwa jijinia Dar es Salaam, utawawezesha   Mamlaka hiyo hapa nchini  kuweza  kujenga  kwa wataalam kuweza kudhibiti Ubora wa Ndege...

 

10 years ago

GPL

MATUKIO YALIYOTIKISA NCHI MWAKA 2014

Msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akiwa na mshindi wa shindano la Big Brothers Idris. MWAKA 2014 unafikia tamati leo. Kwa Watanzania, kuna matukio mbalimbali yaliyojitokeza ambayo yameacha kumbukumbu kubwa kwao. Hata hivyo, yafuatayo ndiyo mambo yaliyotia fora zaidi. Viungo vingi vya binadamu vikiwa vimetupwa katika machimbo ya kokoto yaliyopo Bunju, Dar.
VIUNGO VYA BINADAMU VYASHTUA… ...

 

11 years ago

GPL

VODACOM MWAJIRI BORA TANZANIA MWAKA 2013‏

Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilal (wa pili kushoto) akikabidhi kwa Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim kombe la Mwajiri Bora wa Mwaka 2013 mara baada ya kampuni hiyo kutangazwa kuwa mwajiri bora wa mwaka 2013 iliyotolewa na Chama Cha Waajiri Tanzania (ATE). Nyuma ya Makamu wa Rais ni Makamu Mwenyekiti wa ATE Zuhura Sinare. Wengine pichani ni wafanyakazi wa Vodacom Tuzo hizo zimetolewa Wakati wa chakula cha usiku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani