Mambo 4 yaliyotikisa 2013
Katika harakati za Mapinduzi ya kiuchumi nchini hayawezi kuepuka matumizi ya rasilimali watu, maliasili na rasrimali za taifa, Miundombinu endelevu, ushindani wa kibiashara, vyanzo vya ukusanyaji mapato na njia nyingine.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Mambo yaliyotikisa anga ya siasa za Tanzania mwaka 2013
Leo tunaanza mwaka mpya, huku tukiwa na kumbukumbu ya mambo yaliyotikisa anga za siasa hapa nchini katika mwaka 2013 kama yafuatayo:
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Matukio yaliyotikisa na kuzua gumzo 2013
>Zimebaki siku chache kabla ya kuuaga mwaka 2013, mwaka ambao umekuwa na matukio mengi yaliyoitikisa nchi ya Tanzania, huku mengine yakiipa sifa kubwa.
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Mambo kumi yaliyotikisa Bunge la Katiba
Hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha, ni usemi wa zamani wa wahenga wenye maana ya kila jambo lenye mwanzo, lazima litakuwa na mwisho.
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Mambo yaliyotikisa uchumi wa Tanzania 2014
 ‘Fumbo’ pekee lililokosa majibu mpaka sasa kwa mtanzania maskini ni pale anapotazama utofauti mkubwa wa takwimu kati ya umaskini wake na ukuaji uchumi wa Taifa.
10 years ago
GPLMATUKIO YALIYOTIKISA NCHI MWAKA 2014
Msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akiwa na mshindi wa shindano la Big Brothers Idris. MWAKA 2014 unafikia tamati leo. Kwa Watanzania, kuna matukio mbalimbali yaliyojitokeza ambayo yameacha kumbukumbu kubwa kwao. Hata hivyo, yafuatayo ndiyo mambo yaliyotia fora zaidi. Viungo vingi vya binadamu vikiwa vimetupwa katika machimbo ya kokoto yaliyopo Bunju, Dar.
VIUNGO VYA BINADAMU VYASHTUA… ...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Di1bom0kdP4/Xu4ej5xogpI/AAAAAAABoPI/lsB9c2G_GA8vjo4brqUgw4CYCb5cW8MmQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC1734.jpg)
RAIS SHEIN ATAJA MATUKIO YALIYOTIKISA UTAWALA WAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Di1bom0kdP4/Xu4ej5xogpI/AAAAAAABoPI/lsB9c2G_GA8vjo4brqUgw4CYCb5cW8MmQCLcBGAsYHQ/s400/DSC1734.jpg)
Mwaka huu Rais Shein anamaliza muda wake wa vipindi viwili kuiongoza Zanzibar (2010/2015 na 2015/2020), tangu alipoingia madarakani mwezi Novemba 2010.
Akihutubia wakati anavunja shughuli za Baraza la Tisa la Wawakilishi la Zanzibar, leo Jumamosi tarehe 20 Juni 2020, Rais Shein amesema utawala wake uliongoza kwa kuwa upandikizwaji chuki, dharau na...
10 years ago
Mwananchi06 May
Bernard Kamillius Membe: Waziri wa Mambo wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Historia yake
Benard Membe alizaliwa Novemba 9, 1953 katika Kijiji cha Rondo-Chiponda, Wilaya ya Lindi hivyo atatimiza miaka 62, Novemba mwaka huu. Ni mtoto wa pili kati ya saba wa familia ya Mzee Kamillius Anton Ntanchile na mama Cecilia John Membe. Hivi sasa ni Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MUUNGANO WA VISIWA VYA COMORO ATEMBELEA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA MATAIFA
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU MAMBO YA NDANI AFUNGUA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania