MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-V4xbcFkPbIA/Uv01CghqUWI/AAAAAAAFNCM/8w_piVeR7HA/s72-c/unnamedZ.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Fadhili Manongi na Mkurugenzi Msaidizi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga wa China (CAAC)Li Jian wapili kutoka (kulia) wakisaini mkataba wa ushirikiano wa maswala ya Usafiri wa Anga , ambapo Ndege zinazotengenezwa nchini China zitaruhusiwa kutua katika Anga ya Tanzania. Mkataba huo uliosainiwa jijinia Dar es Salaam, utawawezesha Mamlaka hiyo hapa nchini kuweza kujenga kwa wataalam kuweza kudhibiti Ubora wa Ndege hizo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tAII3Goltr4/Uvz58MZl4bI/AAAAAAAFM-Y/kmC9Tzi1cAo/s72-c/unnamed+(1).jpg)
MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATBA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-tAII3Goltr4/Uvz58MZl4bI/AAAAAAAFM-Y/kmC9Tzi1cAo/s1600/unnamed+(1).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CGKNR-wzmwY/U-JYpnhDJ9I/AAAAAAAF9o0/tpxE0iVk_4Q/s72-c/unnamed+(52).jpg)
Mamlaka ya usafiri wa anga Tanzania TCAA, Watoa Elimu ya Anga Nane Nane Dodoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-CGKNR-wzmwY/U-JYpnhDJ9I/AAAAAAAF9o0/tpxE0iVk_4Q/s1600/unnamed+(52).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y0gDsaPRkVk/U-JYppaGlrI/AAAAAAAF9pA/_tmDlheYzgY/s1600/unnamed+(53).jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Sep
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imekamilisha kituo cha kupokea na kutuma mawasiliano ya Ndege
Afisa Habari wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Bi. Bestina Magutu akiwaeleza waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu kukamilika kwa maboresho ya kituo cha Mawasiliano ya Radio kwa ajili ya usafiri wa anga kilichopo Mnyusi mkoani Tanga, kilichojengwa na kampuni ya JATRON ya Norway, wakati wa Mkutano Uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mhandisi Mkuu toka Mamlaka Hiyo Bi. Valentine Kayombo.
Frank Mvungi-Maelezo
Mamlaka ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Lz3bsx15UtY/VCVrIZfGg8I/AAAAAAACrtk/UErHV49IRoA/s72-c/2.jpg)
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) yakamilisha kituo cha kupokea na kutuma mawasiliano ya Ndege
![](http://1.bp.blogspot.com/-Lz3bsx15UtY/VCVrIZfGg8I/AAAAAAACrtk/UErHV49IRoA/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cxWdBTRN8no/VCVrLmNTE7I/AAAAAAACrts/pgONz9Z0_HQ/s1600/3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0ymaUXgznnI/U6LgX6CbRMI/AAAAAAAFru0/4O3IA-C7cgI/s72-c/unnamed+(6).jpg)
MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA TCAA YATIA FOLA KATIKA MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-0ymaUXgznnI/U6LgX6CbRMI/AAAAAAAFru0/4O3IA-C7cgI/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qR6Qe-SJQjs/U6LgYFxHPII/AAAAAAAFru4/zUanGEVp0as/s1600/unnamed+(7).jpg)
10 years ago
MichuziMAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) WALIVYOADHIMISHA WIKI YA MAZINGIRA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJOIRy4*jb49RUaP0OBtwtIEfw9atEpYPCnW88Q4O3jbWGVkgZifizfosJHPb*n2zjECAZ8-omvxObjkhJNiVGxP/01.jpg?width=650)
WAZIRI WA UCHUKUZI DK.HARRISON MWAKYEMBE AFANYA ZIARA YA KIKAZI KATIKA MAKAO MAKUU YA OFISI ZA MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-kZS20DUu8-8/Vd38vc6FJxI/AAAAAAABUdg/BfTegII9Mfo/s72-c/CHOPA%2BCUF%2B2.jpg)
MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) YAKATAZA KURUSHA CHOPA BILA KIBALI KWA WAGOMBEA KATIKA UCHAGUZI MKUU 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-kZS20DUu8-8/Vd38vc6FJxI/AAAAAAABUdg/BfTegII9Mfo/s640/CHOPA%2BCUF%2B2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Jan
Wafanyakazi wa Mamlaka ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) pamoja na familia zao waukaribisha mwaka 2015
Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Usafiri wa anga Tanzania TCAA wakishindana kukimbia kwenye ufukwe wa bahari ya hindi kunduchi beach wakati wa siku ya family Day iliyowahusisha wafanyakazi na familia zao.
Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Usafiri wa anga Tanzania TCAA wakishindana kukimbia kwenye ufukwe wa bahari ya hindi kunduchi beach ikiwa ni sehemu ya shamlashamla za family day iliyowahusisha wafanyakazi na familia zao.
Kaimu Mmkurugenzi wa Mamlaka ya usafiri wa anga...