Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matokeo kidato cha 6 Tanzania

Kwa mujibu wa bodi ya mitihani wanafunzi mwaka huu wamefanya vyema ikilinganishwa na mwaka jana. Je ni kiini macho?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Maajabu matokeo kidato cha nne

MATOKEO ya kidato cha nne yaliyotangazwa hivi karibuni yameendelea kuibua mkanganyiko kutokana na kuwapo kwa utofauti wa madaraja kwa pointi zinazolingana. Mkanganyiko huo unatokana na kuwepo kwa hali ya sintofahamu...

 

10 years ago

Mwananchi

Matokeo kidato cha nne yakamilika

Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limesema usahihishaji wa mitihani ya kidato cha nne uliofanyika Novemba mwaka jana, umekamilika.

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA YA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE

Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limesema usahihishaji wa mitihani ya kidato cha nne uliofanyika Novemba mwaka jana, umekamilika.Katibu mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde aliliambia gazeti hili wiki hii kuwa “usahihishaji umekamilika na baraza lipo katika uchambuzi wa kuyapanga na tutakapokamilisha tutayatangaza”.Alipoulizwa ni lini hasa matokeo hayo yatatangazwa, Dk Msonde alisema: “Tumemaliza kusahihisha na mchakato wa kuyapanga ukikamilika tutawaeleza hivyo msiwe na shaka.”Katika...

 

10 years ago

GPL

MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2015

 BOFYA HAPA KUTAZAMA MATOKEO HAYA>>>

 

11 years ago

GPL

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2014 YATANGAZWA

Matokeo ya mtihani wa kidato cha 6 yaliyofanyika tarehe Mei 5 – 21, yametoka.
Jumla ya watahiniwa 38,905 sawa na asilimia 95.98 ya watahiniwa waliofanya mtihani kidato cha 6 wamefaulu. Wasichana waliofaulu ni 12,080 na wavulana waliofaulu ni 26,825
Watahiniwa waliopata division IV ni 4,420 sawa na asilimia 12.54
Watahiniwa waliopata zero (0) ni 612 sawa na asilimia 1.74.
SHULE 10 ZILIZOONGOZA
1. Igowole
2. Feza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

BAVICHA: Matokeo kidato cha nne ni ya kisiasa

BARAZA la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) limesema matokeo ya kidato cha nne yaliyotangazwa na serikali juzi ni ya kisiasa zaidi. Katibu Mkuu wa BAVICHA, Deogratias Munishi,...

 

11 years ago

Habarileo

Wahitimu 24,000 Kidato cha 4 hawana matokeo

WATAHINIWA 24,204 wa Kidato cha Nne mwaka 2013, hadi sasa hawajawasilisha malipo ya ada zao kwa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), ili kupatiwa matokeo yao, Bunge limefahamishwa. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa alisema hayo bungeni mjini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Kuruthum Mchuchuli (CUF).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani