Wahitimu 24,000 Kidato cha 4 hawana matokeo
WATAHINIWA 24,204 wa Kidato cha Nne mwaka 2013, hadi sasa hawajawasilisha malipo ya ada zao kwa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), ili kupatiwa matokeo yao, Bunge limefahamishwa. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa alisema hayo bungeni mjini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Kuruthum Mchuchuli (CUF).
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi10 Nov
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA AHMED .Z. MSANGI-SACP ANAWATANGAZIA WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA MWAKA 2014 NA KIDATO CHA NNE MWAKA 2013 WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI BAADA YA USAILI KUKAMILIKA
11 years ago
Habarileo31 May
Wahitimu wa kike kidato cha 6 bado wachache
IDADI ya wahitimu wa kike wa kidato cha sita ni ndogo kuliko wahitimu wa kiume na serikali imekuwa ikifanya juhudi za makusudi kukabiliana na changamoto hizo, kupandisha uwiano wa wanafunzi wa kike na kiume vyuoni kwa asilimia 50 kwa 50.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uErcoZ1KdnJKj6GYQvxxOszZzXbZARbmjXLHH3*Zg-BF3tE6xMt8MM3VOD-Hp03NmsUgpeyqJeJ-jcg5M4ALyMbpBeGW5PII/images.jpg)
AJIRA: UTARATIBU WA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI WAHITIMU KIDATO CHA SITA 2014
10 years ago
PMORALG01 Jul
11 years ago
BBCSwahili18 Jul
Matokeo kidato cha 6 Tanzania
11 years ago
Michuzi17 Mar
Taarifa Kwa Wahitimu Wa Kidato cha Sita 2014 ya Kujiunga na Jeshi la Polisi Nchini
![](https://4.bp.blogspot.com/-4Yiax1JDMTE/UyYNa54A5PI/AAAAAAACr14/_Ym-C60Upe8/s1600/wwwwww.jpg)
Baada ya kujazwa kikamilifu wakabidhi fomu kwa wakuu wa shule ambao watazirejeshe kwa Makamada wa Polisi wa mikoa kabla ya tarehe 17.03.2014. Wahitimu wa kidato cha nne...
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-2ybTIpW6Zds/VTtn-nb0aaI/AAAAAAAHTFs/qabxbNS_f1E/s1600/01.jpg)
WAHITIMU KIDATO CHA SITA JANGWANI WAASWA KUTUMIA ELIMU KAMA SILAHA YA UKOMBOZI
10 years ago
GPL10 years ago
Mwananchi08 Feb
Matokeo kidato cha nne yakamilika