Wahitimu wa kike kidato cha 6 bado wachache
IDADI ya wahitimu wa kike wa kidato cha sita ni ndogo kuliko wahitimu wa kiume na serikali imekuwa ikifanya juhudi za makusudi kukabiliana na changamoto hizo, kupandisha uwiano wa wanafunzi wa kike na kiume vyuoni kwa asilimia 50 kwa 50.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 May
‘Wahitimu wa kike bado wachache’
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenister Mhagama, amesema idadi ya wahitimu wa kike wa kidato cha sita ni ndogo kuliko wahitimu wa kiume. Amesema serikali imekuwa ikifanya...
10 years ago
Michuzi10 Nov
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA AHMED .Z. MSANGI-SACP ANAWATANGAZIA WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA MWAKA 2014 NA KIDATO CHA NNE MWAKA 2013 WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI BAADA YA USAILI KUKAMILIKA
11 years ago
Habarileo22 May
Wahitimu 24,000 Kidato cha 4 hawana matokeo
WATAHINIWA 24,204 wa Kidato cha Nne mwaka 2013, hadi sasa hawajawasilisha malipo ya ada zao kwa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), ili kupatiwa matokeo yao, Bunge limefahamishwa. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa alisema hayo bungeni mjini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Kuruthum Mchuchuli (CUF).
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uErcoZ1KdnJKj6GYQvxxOszZzXbZARbmjXLHH3*Zg-BF3tE6xMt8MM3VOD-Hp03NmsUgpeyqJeJ-jcg5M4ALyMbpBeGW5PII/images.jpg)
AJIRA: UTARATIBU WA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI WAHITIMU KIDATO CHA SITA 2014
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-2ybTIpW6Zds/VTtn-nb0aaI/AAAAAAAHTFs/qabxbNS_f1E/s1600/01.jpg)
WAHITIMU KIDATO CHA SITA JANGWANI WAASWA KUTUMIA ELIMU KAMA SILAHA YA UKOMBOZI
11 years ago
Michuzi17 Mar
Taarifa Kwa Wahitimu Wa Kidato cha Sita 2014 ya Kujiunga na Jeshi la Polisi Nchini
![](https://4.bp.blogspot.com/-4Yiax1JDMTE/UyYNa54A5PI/AAAAAAACr14/_Ym-C60Upe8/s1600/wwwwww.jpg)
Baada ya kujazwa kikamilifu wakabidhi fomu kwa wakuu wa shule ambao watazirejeshe kwa Makamada wa Polisi wa mikoa kabla ya tarehe 17.03.2014. Wahitimu wa kidato cha nne...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v2_XIJ9S1Ug/VeARqSfYtZI/AAAAAAAH0l8/ZYMzXcWZXHc/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-08-28%2Bat%2B10.44.17%2BAM.png)
Tangazo kwa wahitimu wa kidato cha nne, sita na JKT ambao wamechaguliwa kujiunga na mafunzo ya awali ya Polisi
![](http://1.bp.blogspot.com/-v2_XIJ9S1Ug/VeARqSfYtZI/AAAAAAAH0l8/ZYMzXcWZXHc/s640/Screen%2BShot%2B2015-08-28%2Bat%2B10.44.17%2BAM.png)
KILA MMOJA ATATAKIWA KUWA NA NAULI YA KUMWEZESHA KUSAFIRI TOKA MAKAO MAKUU YA MKOA ANAKOANZIA KUSAFIRI HADI SHULE YA POLISI MOSHI NA ATAREJESHEWA NAULI ATAKAPOFIKA...
10 years ago
Dewji Blog03 Feb
Wanafunzi 66 kidato cha tatu Muungano bado kufika shule
Mwenyekiti wa bodi ya shule ya sekondari ya muungano kata ya Iseke wilaya Ikungi mkoa wa Singida, Rajabu Ali, akifafanua jambo kwenye mkutano wa wazazi wa shule ya sekondari hiyo uliofanyika kwenye chumba cha darasa katika shule hiyo. Kulia ni mkuu wa shule ya sekondari muungano Mwl. Augustino Mkhotya na kushoto ni mmoja wa walimu wa shule hiyo.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
WANAFUNZI 66 waliopaswa kuanza kidato cha tatu katika shule ya Sekondari Muungano kata ya Iseke wilaya ya Ikungi mkoa wa...
11 years ago
Mwananchi31 May
Wahitimu wa kike wapungua