Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upandikishaji wa uume wafaulu A.Kusini

Kundi la madaktari wa upasuaji kutoka Afrika kusini limefanikiwa upandikishaji wa uume wa mwanadamu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Upandikishaji wa kichwa sasa unawezekana

Wanasayansi wanaamini upasuaji wa upandikishaji wa kichwa cha mwanadamu katika mwili mwengine huenda ukafanikiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Nusu wafaulu darasa la saba

Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba mwaka 2014 yakionyesha kuwa zaidi ya nusu ya wanafunzi waliofanya mtihani huo Septemba mwaka huu, wamefaulu.

 

11 years ago

Habarileo

Asilimia 30 ya watahiniwa NBAA wafaulu

BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) imesema asilimia 30.2 ya watahiniwa waliofanya mitihani ya Bodi wamefaulu.

 

9 years ago

Mwananchi

Wahasibu 813 wafaulu mitihani ya NBAA

Watahiniwa 813 ambao ni sawa na asilimia 14.3, wamefaulu mitihani ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) iliyofanyika Novemba.

 

11 years ago

BBCSwahili

Tanzania:Kidato cha 4 wafaulu zaidi 2013

Kiwango cha kufaulu kwa wanafunzi wa kidato cha nne waliofanya mitihani mwaka 2013 kimeongezeka zaidi ikilinganishwa na 2012.

 

10 years ago

StarTV

Asilimia 58.25 ya wanafunzi wafaulu Kidato cha Nne.

Josephine Mwaiswaga,

Dar Es Salaam

 

Baraza la Mitihani la Taifa NECTA limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2014 ambapo jumla ya watahiniwa 235,227 sawa na asilimia 58.25 wamefaulu.

 

Kiwango cha ufulu kimeonekana kupanda kwa asilimia 10.08 ikilinganiwa na matokeo ya Mwaka jana.

 

Ufaulu kati ya wasichana na wavulana haujatofuatiana sana ikilinganishwa na kipindi cha nyumba ambapo kati ya watahiniwa wote 196,805 waliofanya mtihani huo, jumla ya wasichana 89,845 sawa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana wa miaka 17 apunguzwa uume

Mvulana mmoja amefanyiwa kile madaktari wanasema ni upasuaji wa kwanza wa kupunguza uume wake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Madaktari kupandikiza uume Marekani

Madaktari katika Hospitali ya chuo kikuu cha Hopkins nchini Marekani wamepanga kufanya upasuaji kwa ajili ya kupandikiza uume kwa mpiganaji wa zamani aliejeruhiwa

 

10 years ago

GPL

INAUMA SANA: MTOTO AKATWA UUME!

Deogratias mongela/Ijumaa
MTOTO aitwaye Badru Muhidin mwenye umri wa miaka miwili, amepata pigo kubwa baada ya kukatwa uume wake kimakosa na babu yake aliyekuwa amempeleka kutahiriwa kienyeji huko Mbagala jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita. Mtoto aitwaye Badru Muhidin akiwa na mama yake. Mama mzazi wa mtoto huyo, Mwajuma Hussein ambaye ni mkazi wa Yombo jijini Dar, alisema aliishi na mwanaye peke yake bila baba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani