Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upandikishaji wa kichwa sasa unawezekana

Wanasayansi wanaamini upasuaji wa upandikishaji wa kichwa cha mwanadamu katika mwili mwengine huenda ukafanikiwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Ukawa sasa pasua kichwa

LICHA ya agizo la Rais Jakaya Kikwete la kuwataka viongozi wa vyama vya siasa na wafuasi wao, wanaounda kundi la Umoja wa Katiba ya wananchi (UKAWA), kuacha kususa na kurejea katika vikao vya Bunge Maalumu la Katiba ili kuendelea na mchakato huo, kufikia jana hakukuwa na mwelekeo wa kulegeza msimamo wao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Upandikishaji wa uume wafaulu A.Kusini

Kundi la madaktari wa upasuaji kutoka Afrika kusini limefanikiwa upandikishaji wa uume wa mwanadamu.

 

11 years ago

GPL

UTAJIRI MWAKA HUU UNAWEZEKANA?

MWANDISHI, ERIC SHIGONGO KUNA mkanganyiko mkubwa sana kwa watu unapotamka neno utajiri. Wengi wana tafsiri zisizofanana unapotaka maana halisi ya neno hili ambalo kila mmoja analihitaji sana. Kitu kikubwa kinachochukuliwa na kila mmoja katika kutafsiri neno hili ni kuishi bila kuwa na matatizo ya kifedha, kwa sababu kutokuwa nazo ni sawa na kuishi katika ndoto mbaya sana. Unajihisi vibaya na hata utendaji wako wa kazi pale ulipo...

 

11 years ago

Mwananchi

Utalii wa kijiografia unawezekana Mwanza

Nilikuwa Mwanza wiki iliyopita na moja ya jambo nililonivutia ni jiografia ya Mkoa wa Mwanza kwani unaweza kuwa kivutio kizuri cha utalii bila kutoka nje ya mkoa.

 

11 years ago

Habarileo

Wasomi wasisitiza utaifa unawezekana serikali 2

MKOA wa Vyuo vya Elimu ya Juu Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) umesema misingi ya utaifa na umoja wake inawezekana tu nchini hapa kwa kuwa na mfumo wa serikali mbili. Aidha, Mkoa huo umesema kwamba fikira za waasisi wa aina ya Muungano zililenga mbali zaidi ya ushirikiano na hivyo ipo haja ya kuendelea kuenzi muundo huo kwa manufaa ya taifa.

 

10 years ago

Mtanzania

Escro Pasua Kichwa

proftibaijukaElizabeth Mjatta na Aziza Masoud,Dar es Salaam
KAULI ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka kwamba hatojiuzulu na kwamba yeye na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo bado wanategemewa na Rais Jakaya Kikwete imeonekana kutibua nyongo za wasomi, wanasiasa na watu wa kada mbalimbali.
Mbali na wasomi, wanasiasa na watu wa kada mbalimbali waliozungumza na gazeti hili, kuhusiana na kauli hiyo aliyoitoa juzi mbele ya waandishi wa habari...

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa pasua kichwa

Lazaro-Nyalandu1Na Absalom Kibanda, Dar es salaam

SASA ni bayana kwamba tumeingia kwa kishindo mwaka wa Uchaguzi Mkuu ambao Watanzania tunaratajia kupata safu mpya ya viongozi wa kisiasa na wa kiserikali watakaoliongoza taifa kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Kauli za kushtusha, kushangaza, za maana na za kipuuzi zimeanza kusikika kutoka katika kila kona ya taifa hili zote zikigusia kwa namna moja au nyingine kile ambacho kinaweza kikabadili mwelekeo wa siasa za Tanzania kwa miaka mingi ijayo.bTumewasikia...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Urais pasua kichwa

RIPOTI ya utafiti ya Taasisi isiyo ya kiserikali ya Twaweza yenye kichwa cha habari, ‘Tanzania kuelekea 2015’, imevuruga mijadala ya kitaifa inayoendelea nchini. Ripoti hiyo iliyozinduliwa Dar es Salaam wiki...

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa ni pasua kichwa (2)

Edward Lowassa

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa

Na Absalom Kibanda,
TAIFA linazidi kujongea kuelekea katika kilele cha kelele za shangwe na majonzi yatakayotokana na uteuzi wa wagombea na baadaye matokeo ya ama kushinda au kushindwa katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Kwa maneno mengine, hali hiyo inaeleza kuwadia kwa msimu wa Uchaguzi Mkuu ambao kwa utamaduni wa miaka ya hivi karibuni hutawaliwa na kila aina ya vituko vinavyohusisha na kugusa watu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani