Wasomi wasisitiza utaifa unawezekana serikali 2
MKOA wa Vyuo vya Elimu ya Juu Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) umesema misingi ya utaifa na umoja wake inawezekana tu nchini hapa kwa kuwa na mfumo wa serikali mbili. Aidha, Mkoa huo umesema kwamba fikira za waasisi wa aina ya Muungano zililenga mbali zaidi ya ushirikiano na hivyo ipo haja ya kuendelea kuenzi muundo huo kwa manufaa ya taifa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Wasomi waponda serikali tatu
WASOMI nchini wamezidi kukataa muundo wa serikali tatu wakidai hauna manufaa kwa Watanzania. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Profesa Bonaventure Rutinwa wa Chuo Kikuu cha Dar...
11 years ago
Habarileo10 Apr
Wasomi wapinga mfumo Serikali 3
WASOMI wamepinga muundo wa Serikali tatu na kusisitiza zibaki Serikali mbili, huku maandalizi yakifanyika kuelekea Serikali moja.
11 years ago
Habarileo19 Feb
Wasomi washikilia Serikali moja
WASOMI wa Taasisi ya Utafiti ya Umoja wa Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki na Kusini (ESAURP) , wametoa msimamo wao na kutaka mfumo wa Serikali moja, huku wakipinga wa Serikali tatu uliopendekezwa katika Rasimu ya Katiba iliyotolewa hivi karibuni na Tume ya Marekebisho ya Katiba.
11 years ago
Mwananchi29 May
Serikali iunge mkono wajasiriamali wasomi
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Wasomi wagawanyika kuhusu Serikali Tatu
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Wasomi wanalilia serikali tatu, tunawaelewa?
VUTA nikuvute ya Katiba mpya imefika pazuri ambapo ingekuwa ligi ya soka tungesema imefikia ‘patamu’. Hoja hii inatokana na mivutano inayoendelea chini kwa chini kutoka vyama vya siasa na makundi...
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Wasomi wanavyokosoa mahesabu ya Serikali tatu
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Upandikishaji wa kichwa sasa unawezekana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q0eTF77DOC7pOEH4eiW3*9g2rsPlMxNNycXks1kcQhAXRiyyyY-8pffkHzF574iRoDXYV6Uv-vXYI9rbJnh*MFH/money2lastspartan.jpg?width=650)
UTAJIRI MWAKA HUU UNAWEZEKANA?