Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasomi wapinga mfumo Serikali 3

Mkurugenzi Mtendaji wa Mpango wa Utafiti wa Vyuo Vikuu Kusini Mashariki mwa Afrika (ESAURP), Profesa Ted Maliyamkono (kulia) akikabidhi kitabu cha Katiba Bora Tanzania kwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samia Suluhu Hassan wakati yeye na wanataaluma wenzake walipokutana na Makamu Mwenyekiti huyo mjini Dodoma jana. (Na Mpigapicha Wetu).WASOMI wamepinga muundo wa Serikali tatu na kusisitiza zibaki Serikali mbili, huku maandalizi yakifanyika kuelekea Serikali moja.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wasomi, wanasiasa wapinga kauli ya JK

Makundi mbalimbali ya wasomi, wanaharakati na wanasiasa nchini wamepinga kauli ya Rais Jakaya Kikwete ya kuzuia kampeni za utoaji wa elimu juu ya Katiba Inayopendekezwa wakisema yeye mwenyewe na chama chake ndiyo waliohusika kuanza kampeni mapema hivyo hana haki ya kuzuia makundi mengine.

 

11 years ago

Habarileo

Wasomi watetea mfumo wa Muungano

WASOMI mbalimbali wa vyuo vikuu vya Dodoma (UDOM) na Dar es Salaam (UDSM), wametetea mfumo wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kudumisha amani na utulivu licha ya changamoto zinazojitokeza.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wapinga serikali tatu

KAMATI ya vijana wapenda amani na viongozi wa dini ya Kiislamu wametoa wito kwa vijana kupinga pendekezo la serikali tatu lililomo kwenye rasimu ya pili ya Katiba. Akizungumza na waandishi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu Chunya wapinga kaulimbiu ya serikali

WALIMU wilayani Chunya mkoani Mbeya, wamepinga kaulimbiu ya serikali ya Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now – BRN), kwa madai kuwa serikali haiwathamini. Wakizungumza na Tanzania Daima kwa nyakati tofauti...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasomi waponda serikali tatu

WASOMI nchini  wamezidi kukataa muundo wa serikali tatu wakidai hauna manufaa kwa Watanzania. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Profesa Bonaventure Rutinwa  wa  Chuo Kikuu cha Dar...

 

11 years ago

Habarileo

Wasomi washikilia Serikali moja

WASOMI wa Taasisi ya Utafiti ya Umoja wa Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki na Kusini (ESAURP) , wametoa msimamo wao na kutaka mfumo wa Serikali moja, huku wakipinga wa Serikali tatu uliopendekezwa katika Rasimu ya Katiba iliyotolewa hivi karibuni na Tume ya Marekebisho ya Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali iunge mkono wajasiriamali wasomi

Serikali imeshauriwa kuwaunga mkono wahitimu wanaomaliza vyuo vikuu, ambao huamua kujiajiri, ili kuwapa hamasa ya kujiendeleza kimaisha.

 

11 years ago

Habarileo

Wasomi wasisitiza utaifa unawezekana serikali 2

MKOA wa Vyuo vya Elimu ya Juu Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) umesema misingi ya utaifa na umoja wake inawezekana tu nchini hapa kwa kuwa na mfumo wa serikali mbili. Aidha, Mkoa huo umesema kwamba fikira za waasisi wa aina ya Muungano zililenga mbali zaidi ya ushirikiano na hivyo ipo haja ya kuendelea kuenzi muundo huo kwa manufaa ya taifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasomi wanalilia serikali tatu, tunawaelewa?

VUTA nikuvute ya Katiba mpya imefika pazuri ambapo ingekuwa ligi ya soka tungesema imefikia ‘patamu’. Hoja hii inatokana na mivutano inayoendelea chini kwa chini kutoka vyama vya siasa na makundi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani