Wasomi wapinga mfumo Serikali 3
WASOMI wamepinga muundo wa Serikali tatu na kusisitiza zibaki Serikali mbili, huku maandalizi yakifanyika kuelekea Serikali moja.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Wasomi, wanasiasa wapinga kauli ya JK
11 years ago
Habarileo11 Mar
Wasomi watetea mfumo wa Muungano
WASOMI mbalimbali wa vyuo vikuu vya Dodoma (UDOM) na Dar es Salaam (UDSM), wametetea mfumo wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kudumisha amani na utulivu licha ya changamoto zinazojitokeza.
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Wapinga serikali tatu
KAMATI ya vijana wapenda amani na viongozi wa dini ya Kiislamu wametoa wito kwa vijana kupinga pendekezo la serikali tatu lililomo kwenye rasimu ya pili ya Katiba. Akizungumza na waandishi...
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Walimu Chunya wapinga kaulimbiu ya serikali
WALIMU wilayani Chunya mkoani Mbeya, wamepinga kaulimbiu ya serikali ya Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now – BRN), kwa madai kuwa serikali haiwathamini. Wakizungumza na Tanzania Daima kwa nyakati tofauti...
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Wasomi waponda serikali tatu
WASOMI nchini wamezidi kukataa muundo wa serikali tatu wakidai hauna manufaa kwa Watanzania. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Profesa Bonaventure Rutinwa wa Chuo Kikuu cha Dar...
11 years ago
Habarileo19 Feb
Wasomi washikilia Serikali moja
WASOMI wa Taasisi ya Utafiti ya Umoja wa Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki na Kusini (ESAURP) , wametoa msimamo wao na kutaka mfumo wa Serikali moja, huku wakipinga wa Serikali tatu uliopendekezwa katika Rasimu ya Katiba iliyotolewa hivi karibuni na Tume ya Marekebisho ya Katiba.
11 years ago
Mwananchi29 May
Serikali iunge mkono wajasiriamali wasomi
11 years ago
Habarileo08 Apr
Wasomi wasisitiza utaifa unawezekana serikali 2
MKOA wa Vyuo vya Elimu ya Juu Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) umesema misingi ya utaifa na umoja wake inawezekana tu nchini hapa kwa kuwa na mfumo wa serikali mbili. Aidha, Mkoa huo umesema kwamba fikira za waasisi wa aina ya Muungano zililenga mbali zaidi ya ushirikiano na hivyo ipo haja ya kuendelea kuenzi muundo huo kwa manufaa ya taifa.
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Wasomi wanalilia serikali tatu, tunawaelewa?
VUTA nikuvute ya Katiba mpya imefika pazuri ambapo ingekuwa ligi ya soka tungesema imefikia ‘patamu’. Hoja hii inatokana na mivutano inayoendelea chini kwa chini kutoka vyama vya siasa na makundi...