Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasomi watetea mfumo wa Muungano

WASOMI mbalimbali wa vyuo vikuu vya Dodoma (UDOM) na Dar es Salaam (UDSM), wametetea mfumo wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kudumisha amani na utulivu licha ya changamoto zinazojitokeza.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wasomi wapinga mfumo Serikali 3

Mkurugenzi Mtendaji wa Mpango wa Utafiti wa Vyuo Vikuu Kusini Mashariki mwa Afrika (ESAURP), Profesa Ted Maliyamkono (kulia) akikabidhi kitabu cha Katiba Bora Tanzania kwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samia Suluhu Hassan wakati yeye na wanataaluma wenzake walipokutana na Makamu Mwenyekiti huyo mjini Dodoma jana. (Na Mpigapicha Wetu).WASOMI wamepinga muundo wa Serikali tatu na kusisitiza zibaki Serikali mbili, huku maandalizi yakifanyika kuelekea Serikali moja.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasomi Zanzibar waunga Muungano

Wanachuo Zanzibar wapinga hatua yoyote inayoweza kuvunja Muungano wa Tanzania

 

11 years ago

Habarileo

Wasomi wajadili hoja za Muungano bila jazba -RC

WASOMI nchini wametakiwa kujadili hoja za muungano kwa umakini na busara na waepuke jazba ambazo hazina maslahi kwa Taifa.

 

11 years ago

Mwananchi

James Mbatia awachambua wasomi, wanaCCM, hoja za Muungano

 Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, James Mbatia, jana amewashambua wajumbe waliowengi bungeni na wasomi, kwa kulipotosha taifa katika mchakato wa kupata Katiba Mpya kutokana na kutumia takwimu na taarifa zisizo sahihi na kufanya propaganda katika suala la Katiba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Eti wasomi nao wamejiingiza kwenye siasa za Muungano?

EBO! Eti nasikia kuna watu wanaoitwa wasomi wameibuka kwenye siasa siku hizi? Lakini hata mimi nakosea kusema siku hizi, maana tangu kitambo tulishawaona wakikimbia profesheni zao na kwenda kula bata....

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBF yabadili mfumo Kombe la Muungano

SHIRIKISHO la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), limesema mashindano ya Kombe la Muungano kwa mwaka huu yatafanyika kwa mfumo wa ligi itakayokuwa na timu 16. Mashindano hayo yaliyopangwa kuanza Juni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfumo Bora wa Muungano — Serikali Mbili Zenye Ngazi Tatu

TATIZO moja kubwa la mjadala wa muundo wa Muungano ulivyo sasa, ni kuwa kama taifa tunalazimishwa kufikiria kati ya aina mbili tu za muundo – ama serikali mbili zilivyo sasa...

 

11 years ago

Mwananchi

Watetea Machinga kuondolewa Mbeya

Wamiliki wa maduka jijini hapa wameunga mkono hatua za mamlaka kuvunja vibanda vilivyokuwa kwenye barabara kuu ya Dar es Salaam kwenda Zambia katika maeneo ya Mafiati, Mwanjelwa, Kabwe hadi Mama John.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wadau watetea wanyamapori London

Wahifadhi wakuu wa mazingira kutoka kote duniani wanakutana mjini London Uingereza kubuni mikakati ya kukomesha Uwindanji haramu wa wanyama pori walio katika hatari ya kuangamia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani