Wadau watetea wanyamapori London
Wahifadhi wakuu wa mazingira kutoka kote duniani wanakutana mjini London Uingereza kubuni mikakati ya kukomesha Uwindanji haramu wa wanyama pori walio katika hatari ya kuangamia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mV5vxset7xA/Uz02JKnELNI/AAAAAAAFYGk/3_r2DyKnejg/s72-c/t3.jpg)
dkt hussein mwinyi na wadau wa london
![](http://3.bp.blogspot.com/-mV5vxset7xA/Uz02JKnELNI/AAAAAAAFYGk/3_r2DyKnejg/s1600/t3.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Wapinzani watetea wanajeshi wastaafu
KAMBI rasmi ya upinzani bungeni, imeitaka serikali kuwa makini na maisha ya wanajeshi wastaafu ambao wamekuwa wakiishi kwa kuombaomba. Kutokana na mwenendo huo, kambi hiyo imepanga kufanya maandamano nchi nzima...
11 years ago
Habarileo11 Mar
Wasomi watetea mfumo wa Muungano
WASOMI mbalimbali wa vyuo vikuu vya Dodoma (UDOM) na Dar es Salaam (UDSM), wametetea mfumo wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kudumisha amani na utulivu licha ya changamoto zinazojitokeza.
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Watetea Machinga kuondolewa Mbeya
10 years ago
Habarileo10 Sep
Watetea viongozi kufungua akaunti nje
BAADHI ya wajumbe wa Bunge la Katiba wametetea viongozi kufungua akaunti nje ya nchi wakisema uongozi si utumwa.
10 years ago
Habarileo21 Jul
Madiwani 10 Monduli watetea nafasi CCM
MADIWANI 10 kati ya 15 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kata za wilaya ya Monduli mkoani Arusha, waliodaiwa kukihama chama hicho, wamechukua fomu za kutetea nafasi zao kwa tiketi ya CCM na kuzirejesha.
9 years ago
Habarileo28 Oct
Wabunge Nkasi watetea nafasi zao
WABUNGE wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliomaliza muda wao katika majimbo ya Nkasi Kaskazini na Kusini mkoani Rukwa, wametetea nafasi zao baada ya kuibuka washindi katika uchaguzi.
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Waamuzi Tanzania watetea beji za FIFA
SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA), limewapa beji waamuzi 10 wa Tanzania kwa mwaka 2014. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa Shirikisho la...
11 years ago
Habarileo04 Apr
Watetea mjadala wa Katiba mpya nje ya Bunge
MJADALA kuhusu Rasimu ya Katiba mpya nje ya bunge umetajwa kuwa ni muhimu na unasaidia wajumbe wa Bunge Maalumu kujadili kwa upana na kuweka hoja vizuri au kuzibadilisha.