Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


dkt hussein mwinyi na wadau wa london

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi akipata selfie na wadau wa London waliomtembelea hotelini kwake ili kumpa zawadi ya kitabu. Dkt Mwinyi alikuwa katika msafara wa Rais Kikwete alipofanya ziara ya kiserikali ya siku tatu Uingereza kwa mwaliko wa Waziri mkuu David Cameron

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

“We will not hesitate to contribute more peacekeepers” — Dr Hussein Mwinyi

 DSC_0024

IN Action; Ms.Usia Nkhoma Ledama from UNIC take part in inviting various guests.(All Photo by Zainul Mzige of modewjiblog)

By Damas Makangale, MOblog Tanzania

The Tanzanian government has reassured the United Nations (UN) that it will not hesitate to contribute more peacekeepers to UN Peacekeeping operations.

Tanzania already contributes 2,259 peacekeepers in Darfur, Lebanon, Abyei, South Sudan and Democratic Republic Congo (DRC) for peacekeeping missions but has promised a larger...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Saada Mkuya, Hussein Mwinyi Fight for Nomination in Isles


Saada Mkuya, Hussein Mwinyi Fight for Nomination in Isles
AllAfrica.com
Zanzibar — The Minister for Finance, Ms Saada Salum Mkuya and the Minister for Defence and National Service, Dr Hussein Mwinyi, are among several Chama Cha Mapinduzi (CCM) candidates fighting tirelessly to be nominated as flag bearers on the ...

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Hussein Mwinyi, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

Historia yake Dk Hussein Mwinyi alizaliwa Desemba 23, 1966 huko Unguja, Zanzibar (Desemba mwaka huu atatimiza miaka 49). Dk Mwinyi ni mtoto wa Mzee Ali Hassan Mwinyi (Rais wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) na mama Sitti Mwinyi. Kwa sasa Dk Mwinyi ni Mbunge wa Kwahani Zanzibar na ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

5 years ago

CCM Blog

DK HUSSEIN MWINYI ARUDISHA FOMU YA KUOMBA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR

 Waziri wa Ulinzi na Kujenga Taifa Dk Hussein Mwinyi akisalimiana na Katibu wa Idara ya Oganizeshi ya CCM Zanzibar Ndg. Galoso Nyimbo wakati akirudisha  fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM leoKatibu wa Idara ya Oganizeshi ya CCM Zanzibar Ndg. Galoso Nyimbo akipokea Fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar Mhe. Hussein Mwinyi am,bayo tayari imeshajazwa leo Afis Kuu ya CCM Kisiwandui
 Waziri wa Ulinzi na Kujenga Taifa Dk Hussein Mwinyi akiongea na wanahabari baada ya kurejesha fomu ya...

 

11 years ago

GPL

“WE WILL NOT HESITATE TO CONTRIBUTE MORE PEACEKEEPERS” – DR HUSSEIN MWINYI‏

Guest of Honour Minister of Defense and National Service, Hon. Dr. Hussein Mwinyi gives an opening remarks and the commitment made by the government of Tanzania through UN Peacekeeping missions. Acting Resident Coordinator and Country Representantive of the United Nations Children’s Fund in Tanzania (UNICEF) Hon. Dr. Jama Gulaid, speaks during the commemoration… ...

 

5 years ago

CCM Blog

DK HUSSEIN MWINYI ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS KUPITIA CCM ZANZIBAR

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, katika Serikali ya Awamu ya Tano, Dkt. Hussein Mwinyi akichukua fomu kwa lengo la kuwania nafasi ya urais wa Zanzibar katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kisiwandui mjini Unguja.

 

5 years ago

Michuzi

DK.HUSSEIN MWINYI:NIMECHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS, NIACHENI NIKAPITIE YALIYOMO NDIO NIZUNGUMZE

Na Said Mwishehe, Michuzi TV .
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dk.Hussein Mwinyi amechukua fomu ya kugombea urais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibara kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Dk.Mwinyi ambaye ni mtoto wa pili wa Rais mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi amechukua fomu hiyo leo Juni 17,mwaka 2020 katika ofisi za CCM Zanzibar huku akiomba radhi kwa waandishi wa habari baada ya kueleza kuwa hajajiandaa kuzungumza na vyombo vya habari kwasababu...

 

9 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI SERIKALI YA JPM?: Dk Hussein Mwinyi – Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

Dk Hussein Mwinyi ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa katika Serikali ya Awamu ya Tano, ameteuliwa katika baraza la mwanzo la mawaziri la Rais John Magufuli. Kiongozi huyu pia ni mbunge wa jimbo la Kwahani lililoko Unguja, Zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani