Dk Hussein Mwinyi, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Historia yake Dk Hussein Mwinyi alizaliwa Desemba 23, 1966 huko Unguja, Zanzibar (Desemba mwaka huu atatimiza miaka 49). Dk Mwinyi ni mtoto wa Mzee Ali Hassan Mwinyi (Rais wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) na mama Sitti Mwinyi. Kwa sasa Dk Mwinyi ni Mbunge wa Kwahani Zanzibar na ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Jan
NANI NI NANI SERIKALI YA JPM?: Dk Hussein Mwinyi – Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ewtGeW3gRL8/U3I8blUm5qI/AAAAAAAFhXg/bmZ07ztr6nQ/s72-c/unnamed+(74).jpg)
DR MWINYI AWASILISHA Bajeti ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
![](http://4.bp.blogspot.com/-ewtGeW3gRL8/U3I8blUm5qI/AAAAAAAFhXg/bmZ07ztr6nQ/s1600/unnamed+(74).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QSHRaITrTPY/U3I8d8PxKHI/AAAAAAAFhXo/TEqabO2l3yI/s1600/unnamed+(77).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OFNqiqyWoic/U3I8f083JdI/AAAAAAAFhXw/_JZwPu4iPgY/s1600/unnamed+(72).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g-xFnhFtUY0/U3I8hOjThkI/AAAAAAAFhX4/bzb09JPz_Gk/s1600/unnamed+(75).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TJQ7QH8ZCmU/VhzpUGIVi1I/AAAAAAAH_ug/3Kp63Lglsh8/s72-c/1.jpg)
WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA YAENDELEA NA JUHUDI ZA KUWAINUA WANANCHI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-TJQ7QH8ZCmU/VhzpUGIVi1I/AAAAAAAH_ug/3Kp63Lglsh8/s640/1.jpg)
9 years ago
MichuziRUVU JKT ILIVYOWAKILISHA WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KUONYESHA MAFANIKIO YA SHUGHULI MBALIMBALI ZA MAJESHI NCHINI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D4F2_tYapDQ/UwcKx22R87I/AAAAAAAAFCQ/Cb6v2bM4nj8/s72-c/IMG_0259.jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA JOB MASIMA AKAMILISHA ZIARA YAKE KWA KISHINDO MKOANI RUKWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-D4F2_tYapDQ/UwcKx22R87I/AAAAAAAAFCQ/Cb6v2bM4nj8/s1600/IMG_0259.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-EJcChQceXls/Xuh09KR6A-I/AAAAAAABMY4/1lhpUIKWvFUKUuFPWtc2uck4_o2b9hcjACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpeg)
NMB YAMPONGEZA MEJA JENERALI CHARLES MBUGE KUWA MKUU WA JESHI LA KUJENGA TAIFA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EJcChQceXls/Xuh09KR6A-I/AAAAAAABMY4/1lhpUIKWvFUKUuFPWtc2uck4_o2b9hcjACLcBGAsYHQ/s400/1.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Cq2WHBCHxIA/Xuh09KHd_3I/AAAAAAABMY8/e8i7TA_Lsy8eQkXlD2ag6zSN-bj7dBxuwCLcBGAsYHQ/s400/2.jpeg)
10 years ago
Dewji Blog29 Jun
Kaimu RC Singida, Alli Kamanzi, aaga vijana 279 wanaokwenda kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa
Kaimu mkuu wa mkoa wa Singida, Alli Kamanzi, akitoa nasaha zake za kuwaaga vijana 279 waliochaguliwa kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) katika kambi mbalimbali nchini. Kushoto ni Mwenyekiti wa kikosi cha JWTZ kanda ya kati, meja Kakwayu.
Baadhi ya vijana kutoka mkoa wa Manyara, Dodoma na Singida, waliochaguliwa kujiunga na Jeshi la kujenga taifa (JKT) kwenye kambi mbalimbali nchini na safari yao imeanza jana baada ya kuagwa na Kaimu Mkuu wa mkoa wa Singida,A lli Kamanzi.(Picha na...
11 years ago
Michuzi13 May
UTARATIBU WA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA VIJANA WA MUJIBU WA SHERIA WANAOMALIZA KIDATO CHA SITA MEI 2014.
![](https://1.bp.blogspot.com/-mTxTgBNHbnU/U3DUsBVSmpI/AAAAAAAAsGk/lVHeBjiiXKA/s1600/dsc_0063.jpg)
AWAMU YA PILI; VIJANA 14450 WATARIPOTI KWENYE MAKAMBI YA MAFUNZO YA JKT KUANZIA TAREHE 11 SEPTEMBA 2014 NA KUANZA RASMI MAFUNZO TAREHE 18 SEPTEMBA 2014 NA KUMALIZA TAREHE 17 DESEMBA 2014. ORODHA YAO ITAANZA...