DK HUSSEIN MWINYI ARUDISHA FOMU YA KUOMBA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-1TRNC_WEaXc/XvTF-JE0kFI/AAAAAAAEYhA/NL3csahi_bQmctxa092YxxjipVPu_qLXACLcBGAsYHQ/s72-c/HUSSEIN%2BMWINYI%2B%25281%2529.jpg)
Waziri wa Ulinzi na Kujenga Taifa Dk Hussein Mwinyi akisalimiana na Katibu wa Idara ya Oganizeshi ya CCM Zanzibar Ndg. Galoso Nyimbo wakati akirudisha fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM leo
Katibu wa Idara ya Oganizeshi ya CCM Zanzibar Ndg. Galoso Nyimbo akipokea Fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar Mhe. Hussein Mwinyi am,bayo tayari imeshajazwa leo Afis Kuu ya CCM Kisiwandui
Waziri wa Ulinzi na Kujenga Taifa Dk Hussein Mwinyi akiongea na wanahabari baada ya kurejesha fomu ya...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-0_dxyVLpYLk/XusPA4QQPWI/AAAAAAABMc8/fRQPASsntNQz9pvTJWFhsHlj0mqkNefNgCLcBGAsYHQ/s72-c/Mwinyi.jpg)
DK HUSSEIN MWINYI ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS KUPITIA CCM ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-0_dxyVLpYLk/XusPA4QQPWI/AAAAAAABMc8/fRQPASsntNQz9pvTJWFhsHlj0mqkNefNgCLcBGAsYHQ/s400/Mwinyi.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9-vjTr6yeAs/XuoA-mv6zYI/AAAAAAALuOU/-ZcSZ-TUboIbgKlts3xi68kTAQUTAjfnACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B1.53.05%2BPM.jpeg)
DK.HUSSEIN MWINYI:NIMECHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS, NIACHENI NIKAPITIE YALIYOMO NDIO NIZUNGUMZE
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dk.Hussein Mwinyi amechukua fomu ya kugombea urais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibara kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Dk.Mwinyi ambaye ni mtoto wa pili wa Rais mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi amechukua fomu hiyo leo Juni 17,mwaka 2020 katika ofisi za CCM Zanzibar huku akiomba radhi kwa waandishi wa habari baada ya kueleza kuwa hajajiandaa kuzungumza na vyombo vya habari kwasababu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2G3mYbFO8ko/VYjlnENqebI/AAAAAAAHioM/9FlK2tzE7HA/s72-c/unnamed%2B%252865%2529%2B-%2BCopy.jpg)
WAZIRI MAGUFULI ARUDISHA FOMU ZA KUOMBA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CCM MARA BAADA YA KUKAMILISHA ZOEZI LA KUPATA WADHAMINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-2G3mYbFO8ko/VYjlnENqebI/AAAAAAAHioM/9FlK2tzE7HA/s640/unnamed%2B%252865%2529%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-laWDp0u2wjM/VYjlndsCbBI/AAAAAAAHioQ/TucGqV3_NSA/s640/unnamed%2B%252866%2529%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-64M6uLD_OFo/VYjlnO4pnHI/AAAAAAAHioU/7RcMNnw12sc/s640/unnamed%2B%252867%2529%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NODrx5G4V1w/VYjln_mOoNI/AAAAAAAHioo/ECfeYXZYxhg/s640/unnamed%2B%252868%2529%2B-%2BCopy.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-1fXx4_XPTLw/XvXYQgIk-EI/AAAAAAABMnI/9hugSqJ5SIEmzqSi9vKKvqW2-ILG3PjsACLcBGAsYHQ/s72-c/EbboVv2UcAAV-O9.jpeg)
PROF. MAKAME MBARAWA AREJESHA FOMU ZA KUOMBA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-1fXx4_XPTLw/XvXYQgIk-EI/AAAAAAABMnI/9hugSqJ5SIEmzqSi9vKKvqW2-ILG3PjsACLcBGAsYHQ/s400/EbboVv2UcAAV-O9.jpeg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-3EXlot6MIpk/Xu9I68qFTcI/AAAAAAABDS0/7EgPcZnGYn0nA9aek8qB0gmOYr1FVsoVQCNcBGAsYHQ/s72-c/2%2B2.jpg)
WAZIRI WA ZAMANI WA FEDHA ZANZIBAR, ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUGOMBEA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-3EXlot6MIpk/Xu9I68qFTcI/AAAAAAABDS0/7EgPcZnGYn0nA9aek8qB0gmOYr1FVsoVQCNcBGAsYHQ/s400/2%2B2.jpg)
Aliyekuwa Waziri wa Fedha na mipango Zanzibar, Dk Khalid Salum Mohammed amekuwa mgombea wa 15 kujitokeza kuchukua Fomu ya kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM.
5 years ago
MichuziMASAUNI ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUTEULIWA KUGOMBEA URAIS WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
10 years ago
MichuziQS Muhonda arudisha Fomu ya kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Kinondoni
QS amesema kuwa ameamua kuchukua fomu na kugombea nafasi hiyo ili kuleta maendeleo ya jimbo hilo na pia anauwezo na ufanisi mkubwa wa kuleta maendeleo katika jimbo hilo la Kinondoni, Lakini pia una ushawishi mkubwa kwa vijana ambao ni taifa la leo kuwafanya kuwa nguvu kazi ya Taifa hususan vijana wengi wa kinondoni ambao hawana ajira...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-f3-uPrOt2ho/Xuzd25FypcI/AAAAAAAEXmg/9nNroCr7Rx85sThyjxbmtfSXr0etcYyfACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200619_145210.jpg)
KADA WA 13 WA CCM, DK. ABDULHALIM MOHAMMED ALI ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUTEULIWA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-f3-uPrOt2ho/Xuzd25FypcI/AAAAAAAEXmg/9nNroCr7Rx85sThyjxbmtfSXr0etcYyfACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200619_145210.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QPD_IEY9Zkc/XuzfF37iQkI/AAAAAAAEXnI/RcEArucm0_o9W50x7uy16PUttCijD9VMACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200619_141918.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XzWQky-Gxrs/VYLBrV7nlKI/AAAAAAAHg94/Pde5XIWQ8Tc/s72-c/unnamed%2B%252861%2529.jpg)
NDEREMO ZATAWALA WAKATI Dk.Ali Mohamed Shein AKICHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-XzWQky-Gxrs/VYLBrV7nlKI/AAAAAAAHg94/Pde5XIWQ8Tc/s640/unnamed%2B%252861%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TdGleaVgujs/VYLBrn3J45I/AAAAAAAHg98/zgA6VLwesQg/s640/unnamed%2B%252862%2529.jpg)