Madiwani 10 Monduli watetea nafasi CCM
MADIWANI 10 kati ya 15 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kata za wilaya ya Monduli mkoani Arusha, waliodaiwa kukihama chama hicho, wamechukua fomu za kutetea nafasi zao kwa tiketi ya CCM na kuzirejesha.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo28 Oct
Wabunge Nkasi watetea nafasi zao
WABUNGE wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliomaliza muda wao katika majimbo ya Nkasi Kaskazini na Kusini mkoani Rukwa, wametetea nafasi zao baada ya kuibuka washindi katika uchaguzi.
11 years ago
Habarileo22 Jun
Madiwani Monduli wamsikitisha Lowassa
MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa ameelezea kusikitishwa kwake na utendaji usioridhisha wa madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli, akitolea mfano kushindwa kutekeleza maamuzi ya vikao vya Baraza la Madiwani.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-bfnO97HbatE/Vao76j47x3I/AAAAAAAATQI/_335TRmIXAs/s72-c/IMG-20150718-WA0005.jpg)
9 years ago
VijimamboMGOMBEA WA NAFASI YA UBUNGE JIMBO LA DODOMA MJINI KUPITIA CCM ANTHON MAVUNDE AMECHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA NAFASI HIYO
10 years ago
MichuziBREAKING NEWZZZZ: MWIGULU NCHEMBA AJIUZULU NAFASI YA NAIBU KATIBU MKUU WA CCM, RAJABU LUHWAVI ACHUKUA NAFASI YAKE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dKfI1FkFCRw/Xn4nRNP6kfI/AAAAAAALlVI/e6baoVGoscsPUN9fpfK5vVyJk1Cu0yFRACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200327_120911_3.jpg)
MAHAKAMA IRINGA YAONDOA ZUIO LA KUPINGA MCHAKATO WA MADIWANI KUMNG'OA MEYA ALEX KIMBE NAFASI YAKE KWA TUHUMA MBALIMBALI
MAHAKAMA ya hakimu mkazi Iringa imeondoa mahakamani hapo shauri dogo namba 5 la mwaka 2020 lililofikishwa katika mahakama hiyo na mstahiki meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA ) Alex Kimbe ya kupinga mchakato wa madiwani wa chama cha mapinduzi (CCM) kutoka kumung'oa katika nafasi yake ya umeya kwa tuhuma mbali mbali zikiwemo za matumizi mabaya ya madaraka.
Akisoma hukumu ya kesi hiyo...
11 years ago
GPLLOWASSA ASHIRIKI MAZISHI YA KADA WA CCM MONDULI
10 years ago
Habarileo16 Dec
CCM yashinda viti vyote Monduli, Lowassa atamba
CHAMA Cha Mapinduzi wilayani Monduli imechukua nafasi zote katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, vitongoji na vijiji.
10 years ago
Dewji Blog20 Mar