Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waamuzi Tanzania watetea beji za FIFA

SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA), limewapa beji waamuzi 10 wa Tanzania kwa mwaka 2014. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa Shirikisho la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Waamuzi 11 nchini wapata Beji za FIFA

 Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),Jamal Malinzi akizungumza na Waandishi wa Habari pamoja na baadhi ya waamuzi waliopata hadhi ya kuwa waamuzi wenye beji za FIFA katika hafla fupi ya kukabidhi Beji hizo,iliyofanyika leo kwenye Viwanja vya Karume Mchikichini,Jijini Dar es salaam.Jumla ya waamuzi 11 wamepata Beji ya FIFA mwaka huu na kupelekea idadi ya waamuzi wote nchini wenye Beji hizo kufikia 18.Picha zote na Othman Michuzi. Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),Jamal Malinzi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania-waamuzi 11 kwenye orodha ya FIFA

Shirikisho la soka ulimwenguni FIFA limetoa orodha mpya ya waamuzi linaowatambua ,Kwenye orodha hiyo kuna jumla ya waamuzi 18 kutoka Tanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Fifa watua kuchunguza waamuzi

Ujumbe maalumu wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) umetua nchini kwa siri kuchunguza tuhuma za upangaji matokeo unaowakabili waamuzi watatu waliosimamishwa tangu mwaka jana.

 

9 years ago

Michuzi

MALINZI AFUNGA KOZI YA WAAMUZI WA FIFA

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Jamal Malinzi leo amefunga kozi ya waamuzi chipukizi wasiokuwa na beji za FIFA katika hoteli ya Holiday, ambapo jumla ya waamuzi 30 kutoka nchi 28 barani Afrika walihudhuria.Akiongea wakati wa kufunga kozi hiyo Malinzi alitoa wito kwa wahitimu wajikite kwenye maadili kwa kuzingatia mafunzo waliyopata ili katika kipindi kifupi wote wapate beji za FIFA na waonekane kweye mashindano makubwa kama fainali za AFCON na mashindano ya Kombe la...

 

10 years ago

Mwananchi

Wazazi wa Miss Tanzania watetea urai wa binti yao

Wazazi wa Miss Tanzania, Lilian Kamazima, Mzee Deus na mkewe Eva Kamazima (pichani kushoto) wameibuka na kueleza kuwa binti yao ni Mtanzania halisi.

 

10 years ago

Bongo5

Wazazi wa Miss Tanzania mpya Lilian Kamazima watetea urai wa mtoto wao

Wazazi wa Miss Tanzania 2014 mpya Lilian Kamazima, Mzee Deus na mkewe Eva Kamazima wameibuka na kueleza kuwa binti yao ni Mtanzania halisi. Miss Tanzania 2014 Lilian Mzee Kamazima anayeishi Arusha aliibuka jana na kutoa tamko kuhusiana na tetesi zinazohusu utata wa uraia wa binti yake na kueleza kuwa Lilian ni mzawa halisi wa Tanzania […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Waamuzi wa Tanzania wateuliwa na CAF

CAF limewateua waamuzi wa kike wa Tanzania kuchezesha Fainali za Kombe la Dunia U-20 mwaka 2016 kati ya Congo DR dhidi ya Gabon.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani