Tanzania-waamuzi 11 kwenye orodha ya FIFA
Shirikisho la soka ulimwenguni FIFA limetoa orodha mpya ya waamuzi linaowatambua ,Kwenye orodha hiyo kuna jumla ya waamuzi 18 kutoka Tanzania.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Waamuzi Tanzania watetea beji za FIFA
SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA), limewapa beji waamuzi 10 wa Tanzania kwa mwaka 2014. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa Shirikisho la...
9 years ago
Habarileo19 Aug
TFF yatangaza orodha ya waamuzi wa semina
KAMATI ya waamuzi imetangaza orodha ya waamuzi watakaoshiriki kwenye semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza Agosti 21- 25, 2015 jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Bongo503 Oct
Hii orodha mpya ya viwango vya soka duniani FIFA, Tanzania yashika nafasi ya 136
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Fifa watua kuchunguza waamuzi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7hCPgjHmbjg/VKu1U64mB7I/AAAAAAAG7ps/DtSzqdVM0xM/s72-c/MMGM0605.jpg)
Waamuzi 11 nchini wapata Beji za FIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-7hCPgjHmbjg/VKu1U64mB7I/AAAAAAAG7ps/DtSzqdVM0xM/s1600/MMGM0605.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-55Fx2NlJNAE/VKu1VvSbOuI/AAAAAAAG7pw/dHqtojnZfLA/s1600/MMGM0613.jpg)
9 years ago
Michuzi01 Oct
MALINZI AFUNGA KOZI YA WAAMUZI WA FIFA
![](http://tff.or.tz/images/refereecoz.png)
9 years ago
StarTV19 Aug
IJUE ORODHA YA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA ..
WAAMUZI WA LIGI KUU YA VODACOM
Kamati ya Waamuzi nchini imetangaza orodha ya waamuzi wanaotakiwa kushiriki Semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza tarehe 21- 25 Agosti, 2015 jijini Dar es salam, Waamuzi hao na sehemu wanaozotekea katika mabano ni Alex Mahagi (Mwanza), Hashim Abdallah (Dsm), Athony Kayombo (Rukwa), Amon Paul (Mara), Ahamada Simba (Kagera), Athuman Lazi (Morogoro), Abdallah Kambuzi (Shinyanga), Martin Saanya (Morogoro), Israel Nkongo (Dsm), Zakaria Jacob (Pwani), Michael...
10 years ago
Michuzi06 Jan